Ndugu yangu kwa kifupi inauma sana, unaposema awe mzalendo unafikiri ni mbongo huyo? Moyo unaumia mno kuna pahala pamevuja vibaya mno mno tena😔😔😌😌
..huyu askari amefariki ktk uwanja wa vita.
..pia ameuwawa na watu ambao sio Watanzania.
..pamoja na kwamba ni askari, lakini kifo chake kinatusikitisha wote.
..sasa hebu rudisha fikra zako hapa nyumbani.
..tunao vijana wa vyama vya upinzani wametekwa, wameteswa, wameuwawa, na Watanzania wenzetu.
..Mkuu wa majeshi ameomba radhi familia kwa kushindwa kuurejesha kwa wakati mwili wa Sajent Suleiman ili uhifadhiwe kwa taratibu za Kiislamu.
..Mwili wa Mzee Ali Kibao wa Chadema uliharibiwa na Watanzania wenzetu waliomteka na kumuua.
..nakuomba ufikirie machungu wanayopitia wapinzani. Je, ni halali kufanyiwa hivyo katika nchi yao?
..kama tuna hasira na M23 na Rwanda waliouwa askari wetu, je tunapaswa kuwa na hasira kiasi gani kwa Watanzania wanaoteka, kutesa, kuua, na hata kuharibu maiti za wapinzani?