Mzee Wa Republican
JF-Expert Member
- Jul 20, 2013
- 1,666
- 847
Daah . . . . nchi nyingine zimestaarabika sana. Yaani mkuu wa majeshi anaomba radhi wananchi? mmmhhh sio Africa aiseeAlisema: "Sikustahili kuwa hapo. Uwepo wangu hapo wakati wa tukio hilo ilionesha taswira kwamba majeshi yanajihusisha na siasa za ndani ya nchi.
"Kama afisa mkuu wa majeshi ilikuwa makosa na nimepata funzo, natumai nimejifunza kutokana na tukio hilo."
Jenerali Milley aliongeza kusema: "Lazima tuhakikishe tunatenganisha jeshi letu na siasa ilituendelee kudumisha sifa yetu."