Mkuu wa Majeshi ajuta na kuwaomba radhi wananchi wa Marekani kwa kuambatana na Rais katika ziara yenye utata ikihusishwa na siasa!

Mkuu wa Majeshi ajuta na kuwaomba radhi wananchi wa Marekani kwa kuambatana na Rais katika ziara yenye utata ikihusishwa na siasa!

Tofauti ni nini? Bado sijaelewa unachomaanisha unaweza kufanunua kama ukipenda, kama ni commander in chief US Military ana anaweza practice power yake muda wowote ule kwa mujibu wa Katiba ya USA, ni kipi kingine anataka kama Commander in Chief ? Huo ushawishi unaoungelea ni upi na unaathiri vipi majukumu ya Commander in chief?
Mbona unamtetea beberu sana
 
Back
Top Bottom