Richard spencer
JF-Expert Member
- Feb 22, 2021
- 1,225
- 1,993
Samia anaambiwa mambo mazito anaingiza comedy za uchaguzi, dah Rais kweli tunae.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni wamepenyezwa Mkuu!!Sorry mkuu, naomba kuuliza:
Hivi ni "kujipenyeza" au "kupenyezwa"??
Wanawezaje kujipatia hizo nafasi nyeti bila kupatiwa?
Inaonaonekana huko juu kuna fraud ya hali ya juu sana,kuanzia vyeti vya kuzaliwa, vyeti vya shule, hadi vyeti vya Uraia, ni full udanganyifu kila nyanja!!CDF ameongea mambo mazito mno kuhusu wakimbizi na walowezi wengine kujipenyeza serikalini kwenye nafasi nyeti, ni maajabu amiri jeshi mkuu kwenye hotuba yake ameonesha kuwa yeye anawaza uchaguzi tu na namna ya kulitumia jeshi kuvuka.
Inawezekana wamemwambia sana huko sirini lakini hana muda na hilo, wameamua kuweka mambo hadharani wananchi tujue, wakijua labda SSH atapata msukumo wa kulivali njuga.
Na Serikali ya CCMKumbe watanzania wanakosa ajira kwenye nchi yao sababu kuna wasengerema wameweka wakimbizi kwenye nafasi..blshit
Hahaha tiss wa bongo wanakuzwa tu nikueleze polisi wetu wapo vizuri kwenye upelelezi kuliko hao tisskwani hakuna TISS hadi inakuwa hivyo? wanashindwa nini kukamata mmoja mmoja kimya kimya na kumhoji na kumrudisha nchini kwake kimyakimya?
Inaonaonekana huko juu kuna fraud ya hali ya juu sana,kuanzia vyeti vya kuzaliwa, vyeti vya shule, hadi vyeti vya Uraia, ni full udanganyifu kila nyanja!!
Wameru wa kenya na wa Tanzania ni tofauti kabisa. Kwanza wameru wa Bongo ni wakimbizi wa kichagga na mchanganyiko kidogo wa kimasai. Hao murume wa Kenya tofauti kabisa.Sasa,nadhani haya maneno yataleta taharuki kwa wakimbizi.
Labda Mhe. Januari Makamba naye pia atazungumzia hili swala,kwa sababu ni jambo linashangiliwa na baadhi ya watu,lakini haielekei kama linaendana na Foreign Policy ya Tanzania ya miaka sitini iliyopita,traditional Foreign Policy yetu ya kusema Afrika ni moja.
Economic migrants wasiendekezwe. Echoes of the xenophobia in South Africa.
UNHCR ,wao wamesema nini? Wamesema wanasumbuliwa na mzigo wa wakimbizi? Wamesema wanasumbuliwa na economic migrants? Wamesema wanasumbuliwa na wakimbizi 138,149 waliofika mwaka jana?
Siyo tu wakimbizi wanahatarisha usalama wa nchi,lakini pia madawa ya kulevya yanahatarisha usalama wa nchi. Pia,matumizi mabaya ya mitandao ya kijamii inahatarisha usalama wa nchi.
Bila kusahau vijana wanarubuniwa kwenda kufanya ugaidi nchi za nje ambapo labda watajikuta Mtanzania anapigana na Mtanzania.
Lakini hili swala la ajira za wakimbizi.
Yaani,wakimbizi wameaj8tiwa serikalini. Sasa,unatala kuwaachisha kazi,au inawaita majasusi au vipi?
Nilikuwa juzi natazama video YouTube kuhusu Wameru. Kumbe Wameru wanaozungumziwa ni Wameru wa Kenya. Haya mambo ya uraia lazima yawe handled carefully.
Mtoto wa rais rais. Mtoto wa waziri anaitwa Prince. Hawa ni Prince by birth.
Waziri anaitwa Prince wa nchi. Kwa hiyo tunatumaini watu wowote walioitumikia nchi hii wataheshimiwa.
Na hili nalo mkaliangalieCDF ameongea mambo mazito mno kuhusu wakimbizi na walowezi wengine kujipenyeza serikalini kwenye nafasi nyeti, ni maajabu amiri jeshi mkuu kwenye hotuba yake ameonesha kuwa yeye anawaza uchaguzi tu na namna ya kulitumia jeshi kuvuka.
Inawezekana wamemwambia sana huko sirini lakini hana muda na hilo, wameamua kuweka mambo hadharani wananchi tujue, wakijua labda SSH atapata msukumo wa kulivali njuga.
Wengi sanaWameajiriwa
BalaaWengi sana
asante sana intel ya jwtz kwa kazi nzuri na kubwa mliyoifanya kubaini mliyoyabaini na kwa wenye akili tumegundua kuwa sasa tuna rotten tiss kwani kama ingekuwa imara isingekaa kimya mpaka intel ya jwtz imeweza kubaini nyeti yaliyojificha
shame on you tiss na dgis wenu
Kabsaa.Balaa
Ila wao ndio wamewapa ajira kwa rushwa na kujuana