Mkuu wa Majeshi nchini amesema nchi ipo salama

Mkuu wa Majeshi nchini amesema nchi ipo salama

Mkuu wa majeshi ya ulinzi nchini jenerali Jacob Nkunda amesema Tanzania ipo salama,Jenerali Nkunda ameyasema hayo leo mjini Songea katika kikao cha kawaida cha makamanda wa vikosi kilichofanyika katika Brigade ya kusini mjini Songea.
CDF Jenerali Mkunda ni kweli kabisa na nakubaliana nawe ( tena 100% ) kuwa Nchi ipo Salama ndiyo maana kuna hata Tishio la Shambulio la Kigaidi kama tulivyotahadharishwa na Marekani ambayo huwa haibeti ( haiongopi wala Kukosea ) linapokuja Suala la Ulinzi na Usalama na utoaji wake / wao wa Taarifa hiyo.
 
Kwenye masuala ya siasa kuna technique moja ambayo hata huko Marekani wameshaitumia. Kukiwa na vuguvugu la kisiasa ndani ya nchi linalohatarisha utawala uliopo au usalama wa nchi, tafuta adui wa nje na mkuze, nchi itatulia.

Si mara ya kwanza kuona kila joto la kisiasa likiongezeka nchini, huko Kusini tunapewa habari kuwa hali si nzuri. Is it a coincidence?

Nchi haiko salama wiki ilopita zilipita gari ndogo za jeshi zaidi ya mia kwenda songea...kuna nn zilikuwa gari za wakubwa tu
 
Kwenye masuala ya siasa kuna technique moja ambayo hata huko Marekani wameshaitumia. Kukiwa na vuguvugu la kisiasa ndani ya nchi linalohatarisha utawala uliopo au usalama wa nchi, tafuta adui wa nje na mkuze, nchi itatulia.

Si mara ya kwanza kuona kila joto la kisiasa likiongezeka nchini, huko Kusini tunapewa habari kuwa hali si nzuri. Is it a coincidence?
Kuna joto gani la kisiasa lililoongezeka nchini!?
 
Kama nchi iko salama!

Iweje mkuu wa majeshi anaongelea kutoka site ya front line, Songea.
Ambako ni Mpakani mwa Tanzania na Msumbiji??

Na huko ndiko tumetaharishwa kuweza kutokea uvamizi wa Islamic jihadist?

Nchi isipokuwa salama utajua tuu wala hakuna haja ya kutangaziwa.

Kwa sasa wewe unavyoona nchi Ipo salama au haipo Salama?
Ukiona unamacho lakini mpaka kitu uambiwe tazama ujue kitu hicho hakikuathiri Sana. Yaani hakipo.
 
Nchi haiko salama wiki ilopita zilipita gari ndogo za jeshi zaidi ya mia kwenda songea...kuna nn zilikuwa gari za wakubwa tu
We ni zuzu kabisa unasikia kabisa kulikua na kikao halafu unasema haiko salama tena kima we
 
Kumbe songea ndiyo front line eenh?

Ila usijal kule kuna viashiria vya wale m23 kuingia nchini kuja kuchukua chakula tu na wala siyo kuja kufanya ugaid!

Na pia huwa hawafanikiwi hata kupata hicho chakula[emoji16] kila anayejatibu kuvuka huwa hapati hata nafasi ya kurudi kwenda kuhadithia kilichompata!
Yani waache kuchukua chakula kigoma au bukoba ,waende songea ?watafikaje,watakua wehu
 
Mmarekani ndio anadhamana ya kukulinda?
Wabongo ni michosho tu. Huwa hawanaga taarifa zozote. Nakupa mifano miwili tu:

1. Vituo vya polisi kibao vidhawahi kuvamiwa na polisi wakanyang'anywa silaha. Kwann hakupata taarifa mapema?

2. Hamza 1 tu aliwapoka silaha askari waliokuwa lindo, akawapurura askari zaidi ya 9, na kuwajerhi wengine kibao. Kwann hawakupata taarifa za Hamza? Na kwann hawakummudu Hamza?
 
Wabongo ni michosho tu. Huwa hawanaga taarifa zozote. Nakupa mifano miwili tu:

1. Vituo vya polisi kibao vidhawahi kuvamiwa na polisi wakanyang'anywa silaha. Kwann hakupata taarifa mapema?

2. Hamza 1 tu aliwapoka silaha askari waliokuwa lindo, akawapurura askari zaidi ya 9, na kuwajerhi wengine kibao. Kwann hawakupata taarifa za Hamza? Na kwann hawakummudu Hamza?
Mkuu funguka,nakufuatilia kwenye comments zako nyuzi tofauti tofauti kuhusiana na hii issue,inaonekana una Jambo unafahamu ,weka dot kwa code Basi .
 
Labda ni kwa vile mwamba Nemes karudishwa kutoka Russia
 
Nchi haiko salama wiki ilopita zilipita gari ndogo za jeshi zaidi ya mia kwenda songea...kuna nn zilikuwa gari za wakubwa tu
Umeambiwa kulikuwa na kikao cha kawaida cha majenerali huko kusini, au ww husomi taarifa ukaielewa?
 
Back
Top Bottom