Mkuu wa Majeshi nchini amesema nchi ipo salama

Mkuu wa Majeshi nchini amesema nchi ipo salama

Mkuu wa majeshi ya ulinzi nchini jenerali Jacob Nkunda amesema Tanzania ipo salama.

Jenerali Nkunda ameyasema hayo leo mjini Songea katika kikao cha kawaida cha makamanda wa vikosi kilichofanyika katika Brigade ya Kusini mjini Songea.
Hawa akina Nkunda ni watutsi.
 
Muwe mnaelewa mambo, hata mpaka US wanatangaza wanashirikiana na vyombo vyetu, na inawezekana waliokua wanajipanga Somalia ndio waliowahiwa
HUO NDO UKWELI, WaTz walipewa taarifa na waliifanyia kazi.

kilichowakera na US kuhadharisha raia wake
 
TUWE MAKINI KATIKA KUWAPINGA MABWANA ZETU.

HII KUPINGAPINGA HADHARANI NA KUTAKA KUWADHAKILISHA US NI HATARI KWETU.

CIA wakitaka kuwathibitishia kwa lazima, watatushambulia wao ili tu watuumbua. TUNAWAJUA VIZURI HAWA
 
Back
Top Bottom