zwenge ndaba
JF-Expert Member
- Aug 16, 2016
- 2,037
- 3,598
Sasa hao ni tofauti na hawaLabda anamaanisha wale Swahili-suna wa kule Msumbiji.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa hao ni tofauti na hawaLabda anamaanisha wale Swahili-suna wa kule Msumbiji.
Na wewe sukuma gang huwezi aminiWe mfuasi wa kindakindaki wa lisu, lazima uamini wazungu
Wewe jamaa unataka watu wasichukue tahadhari?Kama nchi iko salama!
Iweje mkuu wa majeshi anaongelea kutoka site ya front line, Songea.
Ambako ni Mpakani mwa Tanzania na Msumbiji??
Na huko ndiko tumetaharishwa kuweza kutokea uvamizi wa Islamic jihadist?
Kwani we mmwisenge unaamini nini?Na wewe sukuma gang huwezi amini
Tumuogope mungu na tuwe wakweri ...Mungu ndiyo anatuweka salama......hapo hata fyataki kuchomoka tuu patakuwa nduki hakuna cha Jenerali wataisi ni alshababy ....Mkuu wa majeshi ya ulinzi nchini jenerali Jacob John Mkunda amesema Tanzania ipo salama.
Jenerali Mkunda ameyasema hayo leo mjini Songea katika kikao cha kawaida cha makamanda wa vikosi kilichofanyika katika Brigade ya Kusini mjini Songea.
Umbile lake, sura yake, sauti yake pamoja na posture vyote vinaendana kabisa na maneno anayotamka kwamba Nchi iko salama. Hupati shida kumwelewa au kumwamini. Mungu ambariki sanaMkuu wa majeshi ya ulinzi nchini jenerali Jacob John Mkunda amesema Tanzania ipo salama.
Jenerali Mkunda ameyasema hayo leo mjini Songea katika kikao cha kawaida cha makamanda wa vikosi kilichofanyika katika Brigade ya Kusini mjini Songea.
Msikilize CDF kwenye clip hiyo hapo juu. Hadi ameenda akatoa misaada lukuki kwa shule za Msingi na Sekondari; kuonyesha kuwa safari yake haikuwa ya shari bali salama. Kwenye misaada amewazidi hadi vyama vya upinzaniNchi haiko salama wiki ilopita zilipita gari ndogo za jeshi zaidi ya mia kwenda Songea...kuna nn zilikuwa gari za wakubwa tu
wewe ni certified f..lCDF Jenerali Mkunda ni kweli kabisa na nakubaliana nawe ( tena 100% ) kuwa Nchi ipo Salama ndiyo maana kuna hata Tishio la Shambulio la Kigaidi kama tulivyotahadharishwa na Marekani ambayo huwa haibeti ( haiongopi wala Kukosea ) linapokuja Suala la Ulinzi na Usalama na utoaji wake / wao wa Taarifa hiyo.
wao wangefanyia kazi taarifa na ninaamini vyomba vya usalama vinafanyia kazi. Huwezi pewa taarifa na USA ukabezaKwahiyo ubalozi wa Marekani ni waongo?