Hawa akina Nkunda ni watutsi.Mkuu wa majeshi ya ulinzi nchini jenerali Jacob Nkunda amesema Tanzania ipo salama.
Jenerali Nkunda ameyasema hayo leo mjini Songea katika kikao cha kawaida cha makamanda wa vikosi kilichofanyika katika Brigade ya Kusini mjini Songea.
Gari za Nchi Gani??Uganda au Kenya???Nchi haiko salama wiki ilopita zilipita gari ndogo za jeshi zaidi ya mia kwenda songea...kuna nn zilikuwa gari za wakubwa tu
Labda anamaanisha wale Swahili-suna wa kule Msumbiji.Yani waache kuchukua chakula kigoma au bukoba ,waende songea ?watafikaje,watakua wehu
Kwa hiyo HIMA EMPIRE wamefanikiwa kutuwekea kirusi kwenye system?Hawa akina Nkunda ni watutsi.
huyo ni Jacob John Mkunda maana yake anaependa hiyo ilikua misspelling sio NkundaKwa hiyo HIMA EMPIRE wamefanikiwa kutuwekea kirusi kwenye system?
Kagame kaupiga haswa hapo.Kwa hiyo HIMA EMPIRE wamefanikiwa kutuwekea kirusi kwenye system?
Umesoma mleta uzi kaelezea nini kuhusu Songea?Nchi haiko salama wiki ilopita zilipita gari ndogo za jeshi zaidi ya mia kwenda songea...kuna nn zilikuwa gari za wakubwa tu
Wazushi tu, mbona hawakuweza kung'amua machafuko kwenye Bunge lao?!Kwahiyo ubalozi wa marekani ni waongo?
huyo ni Mkunda maana yake anaependa au anaependwa, boss sio Nkunda acheni umakuKagame kaupiga haswa hapo.
spelling errors hapo huyo ni Mkunda sio NkundaHawa akina Nkunda ni watutsi.
HahahshasssKagame kaupiga haswa hapo.
Hovyoo!! , huyu ni Jenerali Mkunda sio wa kwenu NkundaHahahshasss
ameshatoa maelezo yake foreign Affairs pale juu kutoka jasho kila mahali, shati lake jeupe lililoa na ameloa ameloa ameloaBalozi alivuka mipaka, hangepashwa kutamka vile. Angetoa taarifa ndipo serikali itamke neno.
MNAJUA MAANA YA SECURITY ALERT..Wazushi waongo Marekani pia huwa wanaongopa sio malaika wale ni binadamu.
HUO NDO UKWELI, WaTz walipewa taarifa na waliifanyia kazi.Muwe mnaelewa mambo, hata mpaka US wanatangaza wanashirikiana na vyombo vyetu, na inawezekana waliokua wanajipanga Somalia ndio waliowahiwa
NakaziaKati ya mkuu wa majeshi na ubalozi wa Marekani, tumwamini nani? Mm namwamini Marekani.