Mkuu wa Majeshi wa Uingerleza ameyataka Majeshi yake kujiandaa kuingia vitani ndani kwenye ardhi ya Urusi

Mkuu wa Majeshi wa Uingerleza ameyataka Majeshi yake kujiandaa kuingia vitani ndani kwenye ardhi ya Urusi

Gama

JF-Expert Member
Joined
Jan 9, 2010
Posts
13,265
Reaction score
4,735
Mkuu mpya wa majeshi ya Uingeleza ameyataka majeshi yake kujiandaa kuingia vitani katika ardhi ya Urusi

Ametoa ujumbe huo tarehe 16 Juni kwa wanajeshi wa vyeo na ngazi zote na kusema uvamizi wa Urusi kwa Ukrain unaashiria kuwa "kunahaja ya kuilinda UK na kuwa tayari kupigana na kushinda vita ya radhini. Aliongeza pia kuwa Jeshi na washirika wake lazima wawe tayari kupigana na kuishinda Moscow. Alidokeza pia kuwa yeye ni mkuu wa majeshi wa kwaza kukabidhiwa jukumu hilo huku kukiwa na vita inahusisha Taifa kubwa tangu mwaka 1941

New UK Army chief issues Russia rallying cry​

The new head of the British Army has issued a rallying cry to troops - telling them they need to be ready to face Russia on the battlefield.

Gen Sir Patrick Sanders, who started the job last week, addressed all ranks and civil servants in an internal message on 16 June, seen by the BBC.

Russia's invasion of Ukraine shows the need "to protect the UK and be ready to fight and win wars on land", he says.
He adds the Army and allies must now be "capable of...defeating Russia".

A defence source told the BBC's defence correspondent Jonathan Beale the tone of the message - issued on the Ministry of Defence's internal intranet - was unsurprising.

They said all armies train to fight, but the threat has clearly changed.

'Shadow of land war'​

Gen Sir Patrick noted in the message that he was the first Chief of the General Staff "since 1941 to take command of the Army in the shadow of a land war in Europe involving a major continental power".

He added: "Russia's invasion of Ukraine underlines our core purpose - to protect the UK and to be ready to fight and win wars on land - and reinforces the requirement to deter Russian aggression with the threat of force."

He noted "the world has changed since the 24th February and there is now a burning imperative to forge an Army capable of fighting alongside our allies and defeating Russia in battle".

Gen Sir Patrick also set out his goal to "accelerate the mobilisation and modernisation of the Army to reinforce Nato and deny Russia the chance to occupy any more of Europe… we are the generation that must prepare the Army to fight in Europe once again".

Sir Patrick Sanders is a former Commander of Strategic Command and has commanded operations in Bosnia, Iraq and Afghanistan

The Russian invasion of Ukraine has changed the outlook and context for the Army, which faces cuts to the workforce in the coming years.

In March 2021, the government announced a reduction in the number of soldiers it plans to have in the Army to 72,500 by 2025.

Defence spending in the UK has seen an increase of £3bn a year in real terms since 2016-17, following a real-terms cut in funding of £6.6bn between 2010 and 2017.

Russia spends about 4.14% of its gross domestic product on its military, while the UK spends about 2.33%, according to data from IISS Global Military Balance 2020.

Army full-time trained strength. . .
© Provided by BBC NewsArmy full-time trained strength. . .

Before Russia's invasion, Prime Minister Boris Johnson told MPs last November that he believed the era of tanks rolling through Europe was behind us.

Challenged over defence spending in light of growing Russian aggression, Mr Johnson said at the time: "We have to recognise that the old concepts of fighting big tank battles on European land mass are over and there are other better things we should be investing in."

He said enhanced air combat systems and cyber strategies were "how warfare in the future is going to be fought... and that is where we need to be".
 

Attachments

  • 1656323635055.png
    1656323635055.png
    68 bytes · Views: 3
Huyo anajifariji tu, Uingereza haina uwezo wowote kijeshi kupigana na jeshi Urusi,miaka ya Nyuma waliwahi kutolewa kamasi na jeshi la Argentina kwenye kisiwa cha Falkland, kama USA hisingeingilia kati kwa kuwapatia Waingereza taarifa za kiintelijensia basi Argentina ingewashinda Waingereza fasta,leo hii ndio wajifanye wana uwezo wa kushindana na jeshi la Putin?? Thubutu.
 
Hata marekani akiingia unadhani London haijawa majivu muda huo? Mpaka anaingia marekan itakua London ishaisha siku nyingi maana Vita hiyo itakua sio Vita ya kupigana miezi hiyo wiki tu Ila baraa lake Kama miaka
Wakurya wana methali "vita ni vita" vita haichukuliwi kwa wepesi hata siku moja ndio maana putin hajaigeuza majivu Ukraine 🇺🇦 mpaka leo. Although mimi ni mcremlin pure ila nakiri kuwa shughuli itakuwa pevu ukizingatia uingeleza ndie baba wa "mayuenking" wote duniani
 
Ni sahihi mkuu. Duniani kote, mkuu wa nchi ndiye mwenye mamlaka ya kaamuru nchi yake kuingia vitani na siyo mkuu wa majeshi. Hivyo kwa Wingereza mwenye mamlaka hayo ni mrembo no 1 wa Wingereza na si vinginevyo.

Sawa kabisa Mkuu
 
Back
Top Bottom