Sos21
JF-Expert Member
- Jul 25, 2021
- 507
- 2,183
Wanapenda huo mchezoAlafu baadae wanakimbilia kujificha viwandani
Sent from my LG-M200 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanapenda huo mchezoAlafu baadae wanakimbilia kujificha viwandani
Wewe sio mkremlinWakurya wana methali "vita ni vita" vita haichukuliwi kwa wepesi hata siku moja ndio maana putin hajaigeuza majivu Ukraine [emoji1255] mpaka leo. Although mimi ni mcremlin pure ila nakiri kuwa shughuli itakuwa pevu ukizingatia uingeleza ndie baba wa "mayuenking" wote duniani
Mkuu , tofautisha Vita ya Ukraine na vita hiyo Kama itatokea , Vita ya Ukraine mrusi anapiga kwa taadhari na anaongoeza nguvu kutokana na na uhitaji na bado anatumia silaha ya mwaka 60, maana yake URUSI hayupo vitani yupo kwenye opereshen maalum Kama ile ya Syria. Sasa ikitokea Vita ya Uingereza kaa ukijua silaha chaguo na moja itakua nyuklia na makombora hypasonic kwahiyo ikipigwa bomu moja tu hata marekan akiingilia tayari sio Uingereza tena.Wakurya wana methali "vita ni vita" vita haichukuliwi kwa wepesi hata siku moja ndio maana putin hajaigeuza majivu Ukraine [emoji1255] mpaka leo. Although mimi ni mcremlin pure ila nakiri kuwa shughuli itakuwa pevu ukizingatia uingeleza ndie baba wa "mayuenking" wote duniani
Wamemwacha amalize silaha zake zote, ndipo waingie wao...nakuhakikishia atachakazwa putini hutodhania...Kwanini mrusi watu hawamuogopi tena?
Wanajeshi wa Uingereza walikuwa Afghanistan wakisaidia USA kijeshi - mnajuwa kilicho tokea mwaka juzi? Ngoja niwachekeshe kidogo, ni hivi: Wamerikani walipo ona wamelemewa kwenye mapigano yao ya muda mrefu na Wataliban, Wamerika wakatuma ujumbe wa siri kwa Wataliban kwamba wakutane huko Qatar kwa lengo la kumaliza tofauti zao na kusitisha Vita.Ajaribu kwanza Iran kabla ya kwenda Urusi
Hahaaaaaa.. ...Alafu baadae wanakimbilia kujificha viwandani
Sure amebwatuka.Ukisikia kuropoka ndiyo huku sasa, Uingereza jeuri ya kuingiza majeshi yake kwenye ardhi ya Urusi anaitolea wapi? Labda kama anataka nchi yake igeuke magofu ya makumbusho.