Kafiri moga hatari. Kwanza kufa anaogopa ndio maana anatumia silha nzito na kuomba msaada kila pande. Muislam kufa kwake faraja hasa akiwa anapigania haki yake.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kafiri moga hatari. Kwanza kufa anaogopa ndio maana anatumia silha nzito na kuomba msaada kila pande. Muislam kufa kwake faraja hasa akiwa anapigania haki yake.
Kuu;liwa watoto hakujaanza leo wala jana. Miaka zaidi ya 70 sasa.Hapa ni narrative, malengo yao hayajafanikiwa na si kwasababu hamas ni wazuri but idadi ya raia wasio na hatia wanao uwawa and lastly wana loose international support kwa speed ya 4g
Huko kusomea ujinga na kutokusomea ujinga hakukufanyi wewe usiwe mjingaUsifikiri vita vinapiganwa kwenye nedani tu.
Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
Hii inadhihirisha kauli ya Hamas kuwa hao mazayuni wanajitowa Ghaza kwa kichapo cha kushtukiza wanachozea kila kukicha. Jionee:
View: https://youtu.be/XNy-XaadLlg?si=TNKF0jLLgMSPc1RT
Kama hujaelewa siyo tatizo langu, ni shule ulienda kusomea ujinga.
Uhur gan unapigania ww dada 😂😂 mchango Gani ww unautoa kwenye kupigania uo uhuru unajulikana wap ww je umefika hatua gan hadi sasa uyo osama wa hamas hata anakujua je hapa tz ushawai simama barabarn umebeba hata bango la free Palestine au kujulikana Jf unavimba et unapigania uhuru uko humu kupasha watu habari. Ndio kazi Yako endelea nayo sio useme umepigania uhuru ww na Mandela ni sawa maana yeye alipigania ww umepigania wa wapi tuweke sanam Yako pale postaHivi huelewi kuwa wapigania uhuru wa dunia nzima tupo kwenye hii vita?
Ni kwel wanaume ila kuacha wamama na watoto na wasio na hatia kufa wao wamejificha na mateka ni coward strategyHamas ni Wanaume
Kwa majibu yako tu, imedhihirisha kuwa kazi niifanyayo imefanikiwa.Uhur gan unapigania ww dada 😂😂 mchango Gani ww unautoa kwenye kupigania uo uhuru unajulikana wap ww je umefika hatua gan hadi sasa uyo osama wa hamas hata anakujua je hapa tz ushawai simama barabarn umebeba hata bango la free Palestine au kujulikana Jf unavimba et unapigania uhuru uko humu kupasha watu habari. Ndio kazi Yako endelea nayo sio useme umepigania uhuru ww na Mandela ni sawa maana yeye alipigania ww umepigania wa wapi tuweke sanam Yako pale posta
Akavae yeye bikira? Useme awai mume? Maana wanaume wanapata bikira 72 yeye ajilipue afe atapata nini na uzee wakeBi Faiza! Mbona upo hapa badala ya kwenda kuvaa mabomu huko Gaza mama
Gaza imeharibiwa vibaya na zaidi ya eka 980 zimetekwa na Israel alafu analeta siasaMungu akunyime yote ila sio Akili, makobaz akili hakuna kabisa, au Gaza hujui mwanzo na sasa? Akili hakuna kabisa, hali ya Gaza which is Hell on earth as UN said at the moment, unategemea maneno ya IDF Chief ndio upate faraja? It seems akili huna, huoni, umejifunika ujinga mkubwa kutoona how Gaza has been destroyed and almost is the Hell on earth, alafu unasema IDF imeshindwa vita? Na kujitapa, hii sio akili huna tu, huenda ushakufa ubongo muda mrefu upo upo tu..!! Dead woman walking..!!
Allahu Akbar.
Mkuu wa majeshi ya Israel kwa kauli yake mwenyewe, amekiri kushindwa vita na Hamas.
Israel imethibitisha kuwa imeshindwa kufikia malengo yake ya vita katika Ukanda wa Gaza wakati waasi wa IDF wakijiondoa kutoka sehemu kubwa ya eneo la Palestina baada ya mapigano ya miezi kadhaa. Mkuu wa majeshi, Luteni Jenerali Herzi Halevi amesema malengo hayo bado hayajafikiwa kikamilifu katika Ukanda wa Gaza na hiyo ni pamoja na kurejea kwa mateka wote, kurejea kwa wakaazi wote wa kaskazini na kusini katika makazi yao kwa usalama, na kusambaratisha Hamas katika Ukanda mzima wa Gaza. Tazama video kwa zaidi. HABARI ZA KIMATAIFA
View: https://youtu.be/x9VSIMjK2Ho?si=CWTf6IY4PcFXgCpm
Ataenda kuchezea kende za moody huko.Akavae yeye bikira? Useme awai mume? Maana wanaume wanapata bikira 72 yeye ajilipue afe atapata nini na uzee wake
Allahu Akbar.
Mkuu wa majeshi ya Israel kwa kauli yake mwenyewe, amekiri kushindwa vita na Hamas.
Israel imethibitisha kuwa imeshindwa kufikia malengo yake ya vita katika Ukanda wa Gaza wakati waasi wa IDF wakijiondoa kutoka sehemu kubwa ya eneo la Palestina baada ya mapigano ya miezi kadhaa. Mkuu wa majeshi, Luteni Jenerali Herzi Halevi amesema malengo hayo bado hayajafikiwa kikamilifu katika Ukanda wa Gaza na hiyo ni pamoja na kurejea kwa mateka wote, kurejea kwa wakaazi wote wa kaskazini na kusini katika makazi yao kwa usalama, na kusambaratisha Hamas katika Ukanda mzima wa Gaza. Tazama video kwa zaidi. HABARI ZA KIMATAIFA
View: https://youtu.be/x9VSIMjK2Ho?si=CWTf6IY4PcFXgCpm
Hahahahahaaaaa wewe umepigaje hapo.Ataenda kuchezea kende za moody huko.