Chukwu emeka
JF-Expert Member
- Jan 12, 2018
- 24,314
- 38,919
Sure,2000's ni shida kila kitu wanajuaVitoto vya afumbili...
Nyege mbele tu..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sure,2000's ni shida kila kitu wanajuaVitoto vya afumbili...
Nyege mbele tu..
Mnooooo fani imeppteza mbobeziiiMmepoteza mtu mdau
Alive?Hope the general is alive
Poleni sanaMnooooo fani imeppteza mbobeziii
Hiyo helcopter inayopaa futi elfu 30 kenya wameanza kuimiliki lini?Acha stories za kijiweni. Bila parachute huwezi pona toka futi 30,000.
Tusubiri Rais Ruto atangaze rasmi, maana kuna wengine pia wamo wamepona!!Ndugu zangu watanzania,
Habari ya kusikitisha kutoka nchini kenya inasema ya kuwa mkuu wa majeshi wa nchi hiyo jenerali Fransis Ogolla amefariki Dunia kutokana na ajali ya ndege.
Tuwaombee wakenya na kuwapa pole sana kwa msiba huo mzito kwa Taifa lao.
Mungu ailaze mahali pema peponi Roho ya marehemu.
Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.
Ni ngumu Sana mkuu....Usifananishe na muvi za shoziniga, vandamme au ramboHope the general is alive
Mama ako kausikaje kwenye kifo cha Huyo mtu hadi umtukuze..?Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.
Tayari katangaza rasmiTusubiri Rais Ruto atangaze rasmi, maana kuna wengine pia wamo wamepona!!