John Wickzer Mulholland
JF-Expert Member
- Apr 13, 2023
- 6,656
- 14,403
Chawa Mkuu MwandamiziLucas Mwashambwa ni mtu poa sana, msikivu, muelewa Nampenda kwakweli
Ila tatizo yeye anamuwaza mama Samia muda wote
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chawa Mkuu MwandamiziLucas Mwashambwa ni mtu poa sana, msikivu, muelewa Nampenda kwakweli
Ila tatizo yeye anamuwaza mama Samia muda wote
We unaonaje!?🙄🙄Kwa hiyo unataka kusemaje?😉
Umewahi kujiuliza kapteni John aliupataje huo ukapten ilhali mwalimu tu wa kwaya tena kibonge?Chifu hata kwa akili za kuzaliwa tu ni wapi huko kuna koneksheni ya ukomandoo bila msoto halali wa mafunzo ya kikomandoo kwa hatua zote?
Madhara yake yakoje kwa Jeshi zima la nchi yake kiujumla?
Hata sioni😉We unaonaje!?🙄🙄
Mwambie achague kati ya mama na ephenLucas Mwashambwa ni mtu poa sana, msikivu, muelewa Nampenda kwakweli
Ila tatizo yeye anamuwaza mama Samia muda wote
Nitakua namuonea jamani!Mwambie achague kati ya mama na ephen
Huyo jamaa (marehemu Komba) alikuwa kapteni wa jeshi la wananchi (JWTZ) kabla hajastaafu. Nilikuwa namsikia toka nilipokuwa Mgulani JKT mwaka 1979.😎Umewahi kujiuliza kapteni John aliupataje huo ukapten ilhali mwalimu tu wa kwaya tena kibonge?...
Helkopta kama USAFIR kwa waafrika sio za kuaminika sijui kwa Nini? R.i.p deo filikunjombe, Akukweti
Hili swali nimejiuliza pia, How is it possible??Helicopter ya jeshi, iliyobeba wanajeshe na iliyoebda eneo hatarishi inakosa parachute hata moja
Hata futi 5,000 huwezi pona.Helicopter gani inayohoover kwa 30k ft?
Mara nyingi tunafly kwa range ya 10k ft
Hata ikidondoka kutoka angani ktk altitude ya mita 100 tu kupona ni bahati.Hata futi 5,000 huwezi pona.
Naona mwanangu unapambana na jirani zako 😄 bampa 2 bampaHata sioni😉
[Personal Assistant wa Jenerali Ogola ni Major General David Kipkemboi Keter. Dhamira yangu ya kwanza ilikuwa kuangalia kama alikuwa akiandamana na bosi, hakuwepo. General kamili hasafiri na maofisa wenye cheo chini ya Major General, kwa sababu wasaidizi wake ni Major Generals.Yaani nimesoma nikawaza yangu
Kuna kitu, tutayasikia tu kama zilikuwa zinaiva na Rais au la
Inavyoonekana zilikuwa haziivi hata kidogo, isipokuwa walikuwa wanaishi kinafiki. How dangerous it was!!!?Yaani nimesoma nikawaza yangu
Kuna kitu, tutayasikia tu kama zilikuwa zinaiva na Rais au la
Ni sahihiHaiti wanaenda Polisi