Peramiho yetu
JF-Expert Member
- May 25, 2018
- 5,303
- 14,983
Asisahau kuja na sisi kanisani kwetu kwa NABII TITO tunahitaji Sana hyo sadaka
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
#VIDEO:Picha
Sasa Yanga si ni timu ya serikali hiyo hiyo?Kwa umati ule wa yanga jana, hili taifa kwisha habari zake.
Issue muhimu inaendelea vijana wako bussy na kombe la mbuzi
Daah kwny pita pita zangu nikakutana nayo WASAFI TV live ,chalamila kamuwakilisha bi mkubwa kwa mwamposa na bahasha ya kaki imejaa mzigo,noma km oxygen yuko kila sehemuLeo kwenye ibada ya jumapili kwenye madhabau ya Arise and shine Rais Samia Suluhu Hassani amemtuma mkuu wa mkoa wa DR Chalamila kufikisha sadaka yake ya shukrani kwa Mwamposa.
Niongeze volume?
Mama anachanga karata zake vyema, ukikamata watu wa mpira na watu wa dini shughuri imekwisha.
Chalamila kasema alikua njian anaenda kanisani St Peters Oysterbay akapigiwa simu na wasaidiz wa mama kwmb ageuze apeleke maokoto ya kodi za wananchi kwa mwamposa km shukraniChalamila kajiongeza tu, amejua kwenda na upepo
Jana bungeni alivyokuwa anaongea Waitara huwezi kuamini kama ndio Waitara huyu huyu siku chache zilizopita alikuwa analia bungeni.........wabongo bana, kunya anye kuku, akinya bata kaharisha, waamini kila siku wanatoka sadaka lakini leo katoa mama imekuwa nongwa, tubadilike aisee na yeye nje ya urais ni binadamu ambaye anamuamini na kumuabudu Mungu, sijui nani kawaambia kiongozi akitoa pesa yake sehemu maana yake kakwapua BOT, umasikini umetuathiri hadi vichwani....
.......mama kama binadamu anaweza kuwa na mapungufu yake, lakini basi tuwe tunalalamika kwenye vitu vya msingi vinginevyo tunaonekana tuna gubu tu, yaani hadi sadaka duuh!!, sijui angesema anajenga kanisa ingekuwaje, yaani hadi mjadala umechange na kuingiza mambo ya yanga na bandari, hatari sana bongo kiongozi hana haki ya kushiriki social issues.....
Chalamila kasema alikua njian anaenda kanisani St Peters Oysterbay akapigiwa simu na wasaidiz wa mama kwmb ageuze apeleke maokoto ya kodi za wananchi kwa mwamposa km shukrani
Mbu mbu wanajulikana tu. Itawasaidia nini WAKATI WANAKUBALI NCHI KUNYONYWA KUUZWA KUIBA KUSAHAU RAIA WAO?!Mkuu wa mkoa wa DSM mh Albert Chalamila amesema ilimlazimu kukatiza ibada Kanisani Kwake Ili kushiriki maombezi kwa Mtume Mwamposa ambako Rais alituma Sadaka yake
Viongozi Wengi wa Serikali, CCM na hata Chadema walionekana Ibadani hapo Wakipokea Baraka za Roho Mtakatifu
Mungu wa mbinguni awabariki sana!
Kwani wewe ni Chadema zaidi ya Freeman?Yani bila kuitaja CHADEMA kwenye mada zako za kipuuzi huoni raha!
Sent using Jamii Forums mobile app