Hata mm niliwaza kama wewYani bila kuitaja CHADEMA kwenye mada zako za kipuuzi huoni raha!
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata mm niliwaza kama wewYani bila kuitaja CHADEMA kwenye mada zako za kipuuzi huoni raha!
Sent using Jamii Forums mobile app
WAGALATIA 1... mbweha wana mapango na ndege wa angani wana viota bali mwana wa mtu hana pahala pa kulaza kichwa chake! Manabii wa leo wanamiliki mali nyingi na majumba ya kifahari.
Mwamposa ni Mackenzie aliyepoaMkuu wa mkoa wa DSM mh Albert Chalamila amesema ilimlazimu kukatiza ibada Kanisani Kwake Ili kushiriki maombezi kwa Mtume Mwamposa ambako Rais alituma Sadaka yake
Viongozi Wengi wa Serikali, CCM na hata Chadema walionekana Ibadani hapo Wakipokea Baraka za Roho Mtakatifu
Mungu wa mbinguni awabariki sana!
Owaneni😄😄Hata mm niliwaza kama wew
Propaganda Ibadani bwasheeZaidi ya propaganda za kisiasa hamna kitu hapo!
Wajinga ndiyo waliowaoMkuu wa mkoa wa DSM mh Albert Chalamila amesema ilimlazimu kukatiza ibada Kanisani Kwake Ili kushiriki maombezi kwa Mtume Mwamposa ambako Rais alituma Sadaka yake
Viongozi Wengi wa Serikali, CCM na hata Chadema walionekana Ibadani hapo Wakipokea Baraka za Roho Mtakatifu
Mungu wa mbinguni awabariki sana!
Mtenda miujuza!Wajinga ndiyo waliowao
Mkuu wa mkoa wa DSM mh Albert Chalamila amesema ilimlazimu kukatiza ibada Kanisani Kwake Ili kushiriki maombezi kwa Mtume Mwamposa ambako Rais alituma Sadaka yake
Viongozi Wengi wa Serikali, CCM na hata Chadema walionekana Ibadani hapo Wakipokea Baraka za Roho Mtakatifu
Mungu wa mbinguni awabariki sana
Bado azma yetu ni Ile Ile! Tutafanya ibada ya maombolezo na kugonga kengele mara3 kuashiria msiba. Nchi hii tumepewa na Mungu,bandari,mbuga,madini no vinginevyo vingi. Leo hii vinatolewa kwa wageni Kwa manufaa ya wachache huku Wana wa Mungu aliowapa nchi wakiteseka,na wanaotutesa wakitujibu Kwa kiburi,kejeli,dharau na uongo. Mbele zake Mungu itajulijana sadaka ya mwenye haki ni ipi kama ilivyokuwa Kwa Kaini na Habili. Mungu hatanyamaza.Mkuu wa mkoa wa DSM mh Albert Chalamila amesema ilimlazimu kukatiza ibada Kanisani Kwake Ili kushiriki maombezi kwa Mtume Mwamposa ambako Rais alituma Sadaka yake
Viongozi Wengi wa Serikali, CCM na hata Chadema walionekana Ibadani hapo Wakipokea Baraka za Roho Mtakatifu
Mungu wa mbinguni awabariki sana!
KabsaMwamposa ni Mackenzie aliyepoa
Mtafanyaje sasa kila uchaguzi maneno ni hayahaya tuuMbu mbu wanajulikana tu. Itawasaidia nini WAKATI WANAKUBALI NCHI KUNYONYWA KUUZWA KUIBA KUSAHAU RAIA WAO?!
Tunawasubiri 2025!
Ubia kati ya watumishi wa Mungu na wanasiasa katika kuwapumbaza wananchiMkuu wa mkoa wa DSM mh Albert Chalamila amesema ilimlazimu kukatiza ibada Kanisani Kwake Ili kushiriki maombezi kwa Mtume Mwamposa ambako Rais alituma Sadaka yake
Viongozi Wengi wa Serikali, CCM na hata Chadema walionekana Ibadani hapo Wakipokea Baraka za Roho Mtakatifu
Mungu wa mbinguni awabariki sana!
Daah! Nimewaza sana nje ya nada. Hivi Ridh1 Kikwete akifanya ufisadi Samia atamtumbua? Hivi urafk wa kina Rostam na Kikwete ulishaisha? Hivi urafk wa Manji na Ridh 1 ulikuwa ni kwa ajili ya Yangu tu na sio makando kando mengeni ya Manji? Mama yetu alimainisha nn kuwaambia wasaidizi wake wale kwa urefu wa kamba zao? Au alikuwa anawatania? JE UREFU WA KAMBA YA MAMA HAIWEZI KUWA NI HII BANDARI YETU? Nimewaza tu jamaniSerikali ya Tanzania haina dini, ila wananchi wana dini zao.
Hii sadaka ya mheshimiwa Rais kwa Mwamposa ni ya kutoka serikalini au ni yake binafsi.
Kama ni yake binafsi, tangu lini alijiunga na kanisa hilo? Kwa nini hakupeleka kwenye nyumba yake ya ibada?
Hata hivyo, sadaka iliyo kuu kuliko zote kutoka kwa kiongozi wa serikali ni kuhudumia wananchi kwa kutumia Kodi zao.
Sielewi kwann nimesoma kichwa cha habar nikaangua kicheko 🤣🤣🤣🤣Mkuu wa mkoa wa DSM mh Albert Chalamila amesema ilimlazimu kukatiza ibada Kanisani Kwake Ili kushiriki maombezi kwa Mtume Mwamposa ambako Rais alituma Sadaka yake
Viongozi Wengi wa Serikali, CCM na hata Chadema walionekana Ibadani hapo Wakipokea Baraka za Roho Mtakatifu
Mungu wa mbinguni awabariki sana!
Hapa hoja ni sadaka, urafiki wa watu ni mengine tena.Daah! Nimewaza sana nje ya nada. Hivi Ridh1 Kikwete akifanya ufisadi Samia atamtumbua? Hivi urafk wa kina Rostam na Kikwete ulishaisha? Hivi urafk wa Manji na Ridh 1 ulikuwa ni kwa ajili ya Yangu tu na sio makando kando mengeni ya Manji? Mama yetu alimainisha nn kuwaambia wasaidizi wake wale kwa urefu wa kamba zao? Au alikuwa anawatania? JE UREFU WA KAMBA YA MAMA HAIWEZI KUWA NI HII BANDARI YETU? Nimewaza tu jamani
laiti watu wangalijua wanavyochezewa bongo zao..Ubia kati ya watumishi wa Mungu na wanasiasa katika kuwapumbaza wananchiView attachment 2655654
Zile sadaka katoa Rc mwenyewe mengine yote ni uongo mtupu anawahadaa wajinga watakaoamini maneno yakeKama chalamila hajajiongeza mwenyewe wala hakutumwa sijui... Maana chalamila ana mastory mengi. Huyu huyu mama samia aliyealikwa na wanawake katoliki siku yao akasubiri ibada iishe ndipo aingie leo akatoe sadaka kwa mwamposa... Labda.
Sema mama ni smart yule, aliona masuala ya bwana Yesu asifiwe hayawezi akaamua bora aje na salam ambayo si dhehebu lolote aka kazi iendelee