Mkuu wa mkoa Dar es Salaam nenda Mbagala katatue mgogoro mliouanzisha kuhusu soko la Zakhiem

Mkuu wa mkoa Dar es Salaam nenda Mbagala katatue mgogoro mliouanzisha kuhusu soko la Zakhiem

Hauwezi kufutwa kwani mikataba tayari walikwishapewa kwa maandishi na picha wafanyabiashara wa awali na mkuu wa mkoa alikazia hivyo kabla ya kubadili gia angani na kuwagawia ndugu zao.
Sawa, serikali huwa inafuta hata hati za viwanja ikiwa inavitaka, so nin issue ndogo tu.
Ifute iwape kwa ushindani, naskia kibanda hapa Zakhem ni laki moja kwa mwezi wakati vikitolewa kwa ushindani haitakuwa chini ya laki tano.
 
Back
Top Bottom