Hawa watu wa kuokota okota hawa shida sana ndio maana enzi za zamani ili uwe kiongozi mkubwa lazima kuna ngazi fulani fulani za chini uwe umesha zipitia kwanza na kupata uzoefu wa social disputes na namna ya kuzi handle.
Hawa watu wa kuokota okota hawa shida sana ndio maana enzi za zamani ili uwe kiongozi mkubwa lazima kuna ngazi fulani fulani za chini uwe umesha zipitia kwanza nankuoata uzoefu wa social disputes na namna ya kuzi handle.
manyumbu ya CHADEMA utayajua tu, topic tofauti anazungumzia uchaguzi, mwl. ana impact gani ktkt uchaguzi wakati msimamizi ni mkurugenzi wa wilaya. CHADEMA hata miaka 100 ijayo hamtashika uongozi wa nchi hii hasa kwa akili km hizi zako.