Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
PhD.Ni daktari tabibu au daktari PhD?
kichwa bado mpaka tuone kavaa sare akiwa anafyatua matofali na kubeba zegeMzee wa chovya chovya kaliwa kichwa
Samia angekuwa na speed hii ya kutumbua kwenye mengine kama kubadili katiba tungekuwa mbali sana.Pongezi kwake Rais,kiongozi anapaswa kuchukua hatua haraka kwa wateule wake inapotokea mteule kutuhumiwa kwa tuhuma kubwa na mbaya kama ya huyo RC siyo yule mwingine mteule wake anavamia ofisi ya watu na mabunduki halafu mteuzi anajifanya haoni! Uwa nashangaa sana baadhi ya watu wanapodai eti ndiye kiongozi aliyefaa sijui mzalendo! Alikuwa ovyo tu.
PhD.
Jamaa ana sifa balaa. Anapenda kujikweza mno. Alipokuwa Mkuu wa Wilaya ya Tabora, nilishafanya naye kazi moja.
Ni mjivuni na mpenda wanawake. A very shallow candidate!.
Kwamba atakaa temu tatu?Wont happen,yupo hadi 2035,believe me
Hao wanakula mademu wa chuo ina maana huwa hawaoni mashangazi waliijaa huku mitaani?Dah
Atakua hana hamu tena na madem wa chuo
🙏Pongezi kwake Rais, kiongozi anapaswa kuchukua hatua haraka kwa wateule wake inapotokea mteule kutuhumiwa kwa tuhuma kubwa na mbaya kama ya huyo RC siyo yule mwingine mteule wake anavamia ofisi ya watu na mabunduki halafu mteuzi anajifanya haoni! Huwa nashangaa sana baadhi ya watu wanapodai eti ndiye kiongozi aliyefaa sijui mzalendo! Alikuwa ovyo tu.
YesKwamba atakaa temu tatu?
Hio ni katiba mpya?
Tutapeleka mswada bungeni unaopendekeza kubdili terms za uraisHio ni katiba mpya?