Mkuu wa Mkoa Simiyu atenguliwa, Kenan Kihongosi achukua nafasi hiyo

Mkuu wa Mkoa Simiyu atenguliwa, Kenan Kihongosi achukua nafasi hiyo

Ulikuwa mjivuni sana mzee baba ,last time tu milioni twangu uligoma kututoa kisa dada Stella hapo masijala yako ,ukanitolea shombo mbele ya vimada vyako ofisini ,kwakuwa nakujua vyema classmate nikameza fundo la mate ,nisiharibu taswira yangu ya kesho ,Sasa njoo ground tuhusstle wote mwanangu , walisema Wana wa malkia Karma is bitch ,usiniulize maana yake maana unajua ni vipi kingereza nakiogopa 😃

Alhamdulilah
 
Ulikuwa mjivuni sana mzee baba ,last time tu milioni twangu uligoma kututoa kisa dada Stella hapo masijala yako ,ukanitolea shombo mbele ya vimada vyako ofisini ,kwakuwa nakujua vyema classmate nikameza fundo la mate ,nisiharibu taswira yangu ya kesho ,Sasa njoo ground tuhusstle wote mwanangu , walisema Wana wa malkia Karma is bitch ,usiniulize maana yake maana unajua ni vipi kingereza nakiogopa 😃

Alhamdulilah
Mkuu weka picha yake..
 
Ulikuwa mjivuni sana mzee baba ,last time tu milioni twangu uligoma kututoa kisa dada Stella hapo masijala yako ,ukanitolea shombo mbele ya vimada vyako ofisini ,kwakuwa nakujua vyema classmate nikameza fundo la mate ,nisiharibu taswira yangu ya kesho ,Sasa njoo ground tuhusstle wote mwanangu , walisema Wana wa malkia Karma is bitch ,usiniulize maana yake maana unajua ni vipi kingereza nakiogopa 😃

Alhamdulilah
Alimdharirisha mkuuwa shule fulani iko simiyu,ni mtu wa kumzaa lakini kamtukana kwa maneno ya shombo,mpuuzi sana bwana yule,akafie mbali na ufirauni wake
 
Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi wa Viongozi kama ifuatavyo:
1. Amemteua Bw. Kenan Laban Kihongosi kuwa Mkuu wa Mkoa wa Simiyu. Kabla ya uteuzi, Bw. Kihongosi alikuwa Mkuu wa Wilaya ya Momba. Bw. Kihongosi anachukua nafasi ya Dkt. Yahaya Ismail Nawanda ambaye uteuzi wake umetenguliwa.

2. Amemteua Bw. Elias Daniel Mwandobo kuwa Mkuu wa Wilaya ya Momba. Kabla uteuzi, Bw. Mwandobo alikuwa Afisa Mwandamizi, Ofisi ya Rais Ikulu.

3. Amemteua Bw. Christopher Magala kuwa Mkuu wa Wilaya ya Nanyumbu. Bw. Magala anachukua nafasi ya Dkt. Stephen Isaac Mwakajumilo ambaye uteuzi wake umetenguliwa.

4. Amemteua Bw. George Hillary Herbet kuwa Msajili wa Mahakama ya Rufani. Kabla ya uteuzi, Bw. Herbet alikuwa Naibu Msajili wa Mahakama ya Rufani.

Uapisho wa Mkuu wa Mkoa na Msajili wa Mahakama ya Rufani utafayika kwa tarehe itakayopangwa baadaye.

====

Pias soma: MCL: Mkuu wa Mkoa adaiwa kumlawiti mwanafunzi
Hivi vetting hufanyika kweli nchi hii? Mbona habari hizi zimekuwa nyingi miaka hii? Je ni masharti ya waganga au watu wa nyota?

1718095361358.png
 
Tutubu sana Kwa ajili ya taifa hili..
Uovu,Uasi na machukizo mbele Za Muumba husababisha mapigo Kwa nchi na taifa..

Haya ya Sodoma na Gomola si ya kuchekea wala kushabikia..Tutaangamia na kuangamiza vizazi..

Najiuliza mengi

Amewafanyia wangapi? Kike/kiume
Wangapi Wapo kimya?
Ni Tatizo la AFYA ya kiroho? Kimwili? AFYA ya akili?
Tuna viongozi wangapi wa jinsi hii?

Tunapataje baraka na neema Za Muumba?
 
Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi wa Viongozi kama ifuatavyo:
1. Amemteua Bw. Kenan Laban Kihongosi kuwa Mkuu wa Mkoa wa Simiyu. Kabla ya uteuzi, Bw. Kihongosi alikuwa Mkuu wa Wilaya ya Momba. Bw. Kihongosi anachukua nafasi ya Dkt. Yahaya Ismail Nawanda ambaye uteuzi wake umetenguliwa.

2. Amemteua Bw. Elias Daniel Mwandobo kuwa Mkuu wa Wilaya ya Momba. Kabla uteuzi, Bw. Mwandobo alikuwa Afisa Mwandamizi, Ofisi ya Rais Ikulu.

3. Amemteua Bw. Christopher Magala kuwa Mkuu wa Wilaya ya Nanyumbu. Bw. Magala anachukua nafasi ya Dkt. Stephen Isaac Mwakajumilo ambaye uteuzi wake umetenguliwa.

4. Amemteua Bw. George Hillary Herbet kuwa Msajili wa Mahakama ya Rufani. Kabla ya uteuzi, Bw. Herbet alikuwa Naibu Msajili wa Mahakama ya Rufani.

Uapisho wa Mkuu wa Mkoa na Msajili wa Mahakama ya Rufani utafayika kwa tarehe itakayopangwa baadaye.

====

Pias soma: MCL: Mkuu wa Mkoa adaiwa kumlawiti mwanafunzi
Hongera Sana Mama Samia kwa Kusimamia Haki!
 
Ni Kenan huyu huyu alipokuwa kuwa DC Arusha mkewe alifadhiliwa birthday party na account ya huyo mkewe kunoneshwa toka mapato ya halmashauri ya jiji la Arusha?
Sasa amepata cheki ilyosainiwa bila kujazwa kiasi (blank cheque)
 
Kumbe ni Doctor!!
Ameidhalilisha taaluma yake
Amekidhalilisha chama chake
Ameidhalilisha jamii yake
Ameidhalilisha familia yake

Je anaizungumziaje vita ya ngono kama ile anayopambana nayo Chalamila na Dc wake wa Ubungo au mapenzi ya jinsia moja? alishawahi kusikika akikemea jambo hilo?

My take:
Kuwe na mstari kwenye kiapo cha chama chetu unaosema sitatenda kitendo cha aibu
 
Back
Top Bottom