Erythrocyte njoo huku, wakunyumba wamemla kichwa. Sijui naye alikula nn?Dkt. Stephen Isaac Mwakajumilo ambaye uteuzi wake umetenguliwa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Erythrocyte njoo huku, wakunyumba wamemla kichwa. Sijui naye alikula nn?Dkt. Stephen Isaac Mwakajumilo ambaye uteuzi wake umetenguliwa.
Ndio maana tunasema nchi hii hakuna vetting. Mtu mwenye sifa hizi anakuwaje mkuu wa mkoa?PhD.
Jamaa ana sifa balaa. Anapenda kujikweza mno. Alipokuwa Mkuu wa Wilaya ya Tabora, nilishafanya naye kazi moja.
Ni mjivuni na mpenda wanawake. A very shallow candidate!.
Hawa mbumbumbu wa chama kile hawaihesabu hii kama awamu yake, yaani anamalizia awamu ya Mwendazake. Yeye anaanza 2025-2030 hadi 2030-2035Kwamba atakaa temu tatu?
Uchawi Mkuu...Ndio maana tunasema nchi hii hakuna vetting. Mtu mwenye sifa hizi anakuwaje mkuu wa mkoa?
Ni mbumbumbu hawa hawa waliokuwa wnasema 'HII NI AWAMU YA SITA SIO YA TANO' hawa mbumbumbu hawaoni zaidi ya urefu wa pua zao!Hawa mbumbumbu wa chama kile hawaihesabu hii kama awamu yake, yaani anamalizia awamu ya Mwendazake. Yeye anaanza 2025-2030 hadi 2030-2035
Mkuu weka picha yake..Ulikuwa mjivuni sana mzee baba ,last time tu milioni twangu uligoma kututoa kisa dada Stella hapo masijala yako ,ukanitolea shombo mbele ya vimada vyako ofisini ,kwakuwa nakujua vyema classmate nikameza fundo la mate ,nisiharibu taswira yangu ya kesho ,Sasa njoo ground tuhusstle wote mwanangu , walisema Wana wa malkia Karma is bitch ,usiniulize maana yake maana unajua ni vipi kingereza nakiogopa 😃
Alhamdulilah
Alimdharirisha mkuuwa shule fulani iko simiyu,ni mtu wa kumzaa lakini kamtukana kwa maneno ya shombo,mpuuzi sana bwana yule,akafie mbali na ufirauni wakeUlikuwa mjivuni sana mzee baba ,last time tu milioni twangu uligoma kututoa kisa dada Stella hapo masijala yako ,ukanitolea shombo mbele ya vimada vyako ofisini ,kwakuwa nakujua vyema classmate nikameza fundo la mate ,nisiharibu taswira yangu ya kesho ,Sasa njoo ground tuhusstle wote mwanangu , walisema Wana wa malkia Karma is bitch ,usiniulize maana yake maana unajua ni vipi kingereza nakiogopa 😃
Alhamdulilah
Hawatabiriki kabisa, wanacheza na upepo tu, alafu maokoto nje nje kwa nini wasimuachie hadi 2035.Ni mbumbumbu hawa hawa waliokuwa wnasema 'HII NI AWAMU YA SITA SIO YA TANO' hawa mbumbumbu hawaoni zaidi ya urefu wa pua zao!
Hivi vetting hufanyika kweli nchi hii? Mbona habari hizi zimekuwa nyingi miaka hii? Je ni masharti ya waganga au watu wa nyota?Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi wa Viongozi kama ifuatavyo:
1. Amemteua Bw. Kenan Laban Kihongosi kuwa Mkuu wa Mkoa wa Simiyu. Kabla ya uteuzi, Bw. Kihongosi alikuwa Mkuu wa Wilaya ya Momba. Bw. Kihongosi anachukua nafasi ya Dkt. Yahaya Ismail Nawanda ambaye uteuzi wake umetenguliwa.
2. Amemteua Bw. Elias Daniel Mwandobo kuwa Mkuu wa Wilaya ya Momba. Kabla uteuzi, Bw. Mwandobo alikuwa Afisa Mwandamizi, Ofisi ya Rais Ikulu.
3. Amemteua Bw. Christopher Magala kuwa Mkuu wa Wilaya ya Nanyumbu. Bw. Magala anachukua nafasi ya Dkt. Stephen Isaac Mwakajumilo ambaye uteuzi wake umetenguliwa.
4. Amemteua Bw. George Hillary Herbet kuwa Msajili wa Mahakama ya Rufani. Kabla ya uteuzi, Bw. Herbet alikuwa Naibu Msajili wa Mahakama ya Rufani.
Uapisho wa Mkuu wa Mkoa na Msajili wa Mahakama ya Rufani utafayika kwa tarehe itakayopangwa baadaye.
====
Pias soma: MCL: Mkuu wa Mkoa adaiwa kumlawiti mwanafunzi
Mwakajumilo anaponzwa na kuwa mkweliErythrocyte njoo huku, wakunyumba wamemla kichwa. Sijui naye alikula nn?
Ohoo! Mkuu funguka kidogo utsaidie na sisi tujuze japo kwa ufupi, kuwa alisema nn ambacho kimewakwanza inzi wa kijani.Mwakajumilo anaponzwa na kuwa mkweli
Hongera Sana Mama Samia kwa Kusimamia Haki!Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi wa Viongozi kama ifuatavyo:
1. Amemteua Bw. Kenan Laban Kihongosi kuwa Mkuu wa Mkoa wa Simiyu. Kabla ya uteuzi, Bw. Kihongosi alikuwa Mkuu wa Wilaya ya Momba. Bw. Kihongosi anachukua nafasi ya Dkt. Yahaya Ismail Nawanda ambaye uteuzi wake umetenguliwa.
2. Amemteua Bw. Elias Daniel Mwandobo kuwa Mkuu wa Wilaya ya Momba. Kabla uteuzi, Bw. Mwandobo alikuwa Afisa Mwandamizi, Ofisi ya Rais Ikulu.
3. Amemteua Bw. Christopher Magala kuwa Mkuu wa Wilaya ya Nanyumbu. Bw. Magala anachukua nafasi ya Dkt. Stephen Isaac Mwakajumilo ambaye uteuzi wake umetenguliwa.
4. Amemteua Bw. George Hillary Herbet kuwa Msajili wa Mahakama ya Rufani. Kabla ya uteuzi, Bw. Herbet alikuwa Naibu Msajili wa Mahakama ya Rufani.
Uapisho wa Mkuu wa Mkoa na Msajili wa Mahakama ya Rufani utafayika kwa tarehe itakayopangwa baadaye.
====
Pias soma: MCL: Mkuu wa Mkoa adaiwa kumlawiti mwanafunzi
Ili Lucas nae pate au siodah aongexee kidogooo list