Mkuu wa Mkoa Simiyu atenguliwa, Kenan Kihongosi achukua nafasi hiyo

Mkuu wa Mkoa Simiyu atenguliwa, Kenan Kihongosi achukua nafasi hiyo

Mama ana kazi ngumu sana.
Madhara ya kuchagua wasaidizi kwa kuangalia rangi ya kadi ya chama mtu anachoshabikia. Ifike mahali hawa wachaguliwa wawe wanawasilisha write up ya kazi wanayoenda kuifanya na pia wafnyiwe usaili. Katiba mpya ni muhimu iwe na kipengele husika
 
Wala hata sishituki.

Unatoa kibaka unaingiza jambazi.

Gekul yupo gereza gani?

Huyu Kenani haya mamlaka ya kucharaza watu bakora aliyatoa wapi?

Yaani nchi bado ina majambazi yanayovunja sheria kwa kufanya " corporal punishment" ila yanapewa tu nafasi kwa kuhamishwa..

Mbona mafisadi wanaoiba hawacharazwi bakora hadharani.?

Kama kenani aliyewacharaza viboko niwatanzania basi amefanya jambo zuri sana nampa pongezi zangu
 
Kenani mwenyewe ni wale wale, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Haya fudengee, sponsaa kapelekwa Simiyu, vipi pale kigas utahama au?

Muambie akuweke Dom, iwe rahis kukufikiaaa. Woiiiiiih
 
Masheikh wanalawiti sana watoto kila mara misikitini, na huyu Muislam mwenzetu RC naye analawiti hovyo....mbona mwaiaibisha dini ya Hakhi?
 
Pongezi kwake Rais, kiongozi anapaswa kuchukua hatua haraka kwa wateule wake inapotokea mteule kutuhumiwa kwa tuhuma kubwa na mbaya kama ya huyo RC siyo yule mwingine mteule wake anavamia ofisi ya watu na mabunduki halafu mteuzi anajifanya haoni! Huwa nashangaa sana baadhi ya watu wanapodai eti ndiye kiongozi aliyefaa sijui mzalendo! Alikuwa ovyo tu.
Jiwe alikuwa ni mpumbavu sana na mshamba sana. Chato Kuna mahutu mengi sana makimbizi!!!
 
Masheikh wanalawiti sana watoto kila mara misikitini, na huyu Muislam mwenzetu RC naye analawiti hovyo....mbona mwaiaibisha dini ya Hakhi?
Hahahhahah kwani ukanda wa pwani ushoga ulivojaa watu wa dini gani?
 
Hivi mke wake anajiskiaje?

Haya misogynists nawasubiri mje mseme lazima mkewe anampa stress ndo maana mwanaume kaamua akalawiti na mwanafunzi wa chuo.

Viumbe waharibifu wakubwa na hamheshimu familia zenu! Stupid!
Wanigambila stupid mbele ya my wife?🙆
 
Mara ya mwisho kushuhudia Alhaj akitenda uhalifu ni pale Rage alipokwiba fedha za FAT na kupandishwa kizimbani

Tumuogope Mungu jamani!
 
Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi wa Viongozi kama ifuatavyo:
1. Amemteua Bw. Kenan Laban Kihongosi kuwa Mkuu wa Mkoa wa Simiyu. Kabla ya uteuzi, Bw. Kihongosi alikuwa Mkuu wa Wilaya ya Momba. Bw. Kihongosi anachukua nafasi ya Dkt. Yahaya Ismail Nawanda ambaye uteuzi wake umetenguliwa.

2. Amemteua Bw. Elias Daniel Mwandobo kuwa Mkuu wa Wilaya ya Momba. Kabla uteuzi, Bw. Mwandobo alikuwa Afisa Mwandamizi, Ofisi ya Rais Ikulu.

3. Amemteua Bw. Christopher Magala kuwa Mkuu wa Wilaya ya Nanyumbu. Bw. Magala anachukua nafasi ya Dkt. Stephen Isaac Mwakajumilo ambaye uteuzi wake umetenguliwa.

4. Amemteua Bw. George Hillary Herbet kuwa Msajili wa Mahakama ya Rufani. Kabla ya uteuzi, Bw. Herbet alikuwa Naibu Msajili wa Mahakama ya Rufani.

Uapisho wa Mkuu wa Mkoa na Msajili wa Mahakama ya Rufani utafayika kwa tarehe itakayopangwa baadaye.

====

Pias soma: MCL: Mkuu wa Mkoa adaiwa kumlawiti mwanafunzi
Akatafute kazi kwenye madanguro!
 
Kenani mwenyewe ni wale wale, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Haya fudengee, sponsaa kapelekwa Simiyu, vipi pale kigas utahama au?

Muambie akuweke Dom, iwe rahis kukufikiaaa. Woiiiiiih
Kumbe naye mdau?
 
Wala hata sishituki.

Unatoa kibaka unaingiza jambazi.

Gekul yupo gereza gani?

Huyu Kenani haya mamlaka ya kucharaza watu bakora aliyatoa wapi?

Yaani nchi bado ina majambazi yanayovunja sheria kwa kufanya " corporal punishment" ila yanapewa tu nafasi kwa kuhamishwa..

Mbona mafisadi wanaoiba hawacharazwi bakora hadharani.?

View attachment 3014548
Hii adhabu ikitungiwa Sheria vizuri ...inaweza ongeza uwajibikaji kwa makosa madogo madogo ,kuliko kumfunga mtu au kumweka cello.
 
Back
Top Bottom