Mkuu wa Mkoa Simiyu atenguliwa, Kenan Kihongosi achukua nafasi hiyo

Mkuu wa Mkoa Simiyu atenguliwa, Kenan Kihongosi achukua nafasi hiyo

Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi wa Viongozi kama ifuatavyo:
1. Amemteua Bw. Kenan Laban Kihongosi kuwa Mkuu wa Mkoa wa Simiyu. Kabla ya uteuzi, Bw. Kihongosi alikuwa Mkuu wa Wilaya ya Momba. Bw. Kihongosi anachukua nafasi ya Dkt. Yahaya Ismail Nawanda ambaye uteuzi wake umetenguliwa.

2. Amemteua Bw. Elias Daniel Mwandobo kuwa Mkuu wa Wilaya ya Momba. Kabla uteuzi, Bw. Mwandobo alikuwa Afisa Mwandamizi, Ofisi ya Rais Ikulu.

3. Amemteua Bw. Christopher Magala kuwa Mkuu wa Wilaya ya Nanyumbu. Bw. Magala anachukua nafasi ya Dkt. Stephen Isaac Mwakajumilo ambaye uteuzi wake umetenguliwa.

4. Amemteua Bw. George Hillary Herbet kuwa Msajili wa Mahakama ya Rufani. Kabla ya uteuzi, Bw. Herbet alikuwa Naibu Msajili wa Mahakama ya Rufani.

Uapisho wa Mkuu wa Mkoa na Msajili wa Mahakama ya Rufani utafayika kwa tarehe itakayopangwa baadaye.

====

Pias soma: MCL: Mkuu wa Mkoa adaiwa kumlawiti mwanafunzi
Wote wenye tuhuma za usagaji na ufiraji waondolewe, wengi mno
 
Atarudi tu...---ni nchi inayowakombatia wezi,wazinzi nk

Ova

Mkuu kwa kesi ya ubakaji halafu hukumu anasoma jaji mwanamke hauta amini matokeo.

Anaweza kuagiza chopping board watengeneze sausage ya naniii hiyoo😂😂

Huyu kurudi labda baadae sana. Akishaondoka huyu... Labda kama ni kipindi walimtengenezea akajaa.
 
Pongezi kwake Rais, kiongozi anapaswa kuchukua hatua haraka kwa wateule wake inapotokea mteule kutuhumiwa kwa tuhuma kubwa na mbaya kama ya huyo RC siyo yule mwingine mteule wake anavamia ofisi ya watu na mabunduki halafu mteuzi anajifanya haoni! Huwa nashangaa sana baadhi ya watu wanapodai eti ndiye kiongozi aliyefaa sijui mzalendo! Alikuwa ovyo tu.
Duh we nae kwenu wanakutegemea kwa hizi hiz akili 😀😀😀
 
Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi wa Viongozi kama ifuatavyo:
1. Amemteua Bw. Kenan Laban Kihongosi kuwa Mkuu wa Mkoa wa Simiyu. Kabla ya uteuzi, Bw. Kihongosi alikuwa Mkuu wa Wilaya ya Momba. Bw. Kihongosi anachukua nafasi ya Dkt. Yahaya Ismail Nawanda ambaye uteuzi wake umetenguliwa.

2. Amemteua Bw. Elias Daniel Mwandobo kuwa Mkuu wa Wilaya ya Momba. Kabla uteuzi, Bw. Mwandobo alikuwa Afisa Mwandamizi, Ofisi ya Rais Ikulu.

3. Amemteua Bw. Christopher Magala kuwa Mkuu wa Wilaya ya Nanyumbu. Bw. Magala anachukua nafasi ya Dkt. Stephen Isaac Mwakajumilo ambaye uteuzi wake umetenguliwa.

4. Amemteua Bw. George Hillary Herbet kuwa Msajili wa Mahakama ya Rufani. Kabla ya uteuzi, Bw. Herbet alikuwa Naibu Msajili wa Mahakama ya Rufani.

Uapisho wa Mkuu wa Mkoa na Msajili wa Mahakama ya Rufani utafayika kwa tarehe itakayopangwa baadaye.

====

Pias soma: MCL: Mkuu wa Mkoa adaiwa kumlawiti mwanafunzi
Wamemsingizia tu. Mbona yule naibu waziri aliyepata ajali iliyoua mwanachuo wa UDOM hakutenguliwa ?!
 
Ni Kenan huyu huyu alipokuwa kuwa DC Arusha mkewe alifadhiliwa birthday party na account ya huyo mkewe kunoneshwa toka mapato ya halmashauri ya jiji la Arusha?
Sasa amepata cheki ilyosainiwa bila kujazwa kiasi (blank cheque)
Andika vizuri.... 🙂🙂
 
Kuna haja gani kuwatambua viongozi pasipo kuwawajibisha waende gerezani. Ccm acheni kulea uovu ipo siku vilio vya waathirika nchi hii vitawarudia.
Hatua ya kwanza ni kumvua madaraka, hatua ya pili ndo sheria zichukue mkondo wake. Pita na hapa kuona kama ni faida ktk kizazi chetu
 
Ogopa Sana wadada WA chuo ambao ni machakaramu. Kuna Jamaa yangu alishawahi jaziwa nzi kwamba anataka kumbaka MTU kumbe wakishindwana bei. Demu alimpamdishia bei baada ya kufika geto, so wachunguze vzuri.
 
Back
Top Bottom