Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa katiba ipi?Wont happen,yupo hadi 2035,believe me
Si mpaka awepo duniani,hata jiwe kuna watu walitaka awepo hadi 2040 leo hii yuko wapi.Wont happen,yupo hadi 2035,believe me
Wote wenye tuhuma za usagaji na ufiraji waondolewe, wengi mnoRais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi wa Viongozi kama ifuatavyo:
1. Amemteua Bw. Kenan Laban Kihongosi kuwa Mkuu wa Mkoa wa Simiyu. Kabla ya uteuzi, Bw. Kihongosi alikuwa Mkuu wa Wilaya ya Momba. Bw. Kihongosi anachukua nafasi ya Dkt. Yahaya Ismail Nawanda ambaye uteuzi wake umetenguliwa.
2. Amemteua Bw. Elias Daniel Mwandobo kuwa Mkuu wa Wilaya ya Momba. Kabla uteuzi, Bw. Mwandobo alikuwa Afisa Mwandamizi, Ofisi ya Rais Ikulu.
3. Amemteua Bw. Christopher Magala kuwa Mkuu wa Wilaya ya Nanyumbu. Bw. Magala anachukua nafasi ya Dkt. Stephen Isaac Mwakajumilo ambaye uteuzi wake umetenguliwa.
4. Amemteua Bw. George Hillary Herbet kuwa Msajili wa Mahakama ya Rufani. Kabla ya uteuzi, Bw. Herbet alikuwa Naibu Msajili wa Mahakama ya Rufani.
Uapisho wa Mkuu wa Mkoa na Msajili wa Mahakama ya Rufani utafayika kwa tarehe itakayopangwa baadaye.
====
Pias soma: MCL: Mkuu wa Mkoa adaiwa kumlawiti mwanafunzi
Atarudi tu...---ni nchi inayowakombatia wezi,wazinzi nk
Ova
Mnooo yanMama ana kazi ngumu sana.
Duh we nae kwenu wanakutegemea kwa hizi hiz akili 😀😀😀Pongezi kwake Rais, kiongozi anapaswa kuchukua hatua haraka kwa wateule wake inapotokea mteule kutuhumiwa kwa tuhuma kubwa na mbaya kama ya huyo RC siyo yule mwingine mteule wake anavamia ofisi ya watu na mabunduki halafu mteuzi anajifanya haoni! Huwa nashangaa sana baadhi ya watu wanapodai eti ndiye kiongozi aliyefaa sijui mzalendo! Alikuwa ovyo tu.
Kwanini RC mzima afanye jinai ya namna ile.Huyu dada naye ni mwasherati sana, sasa yeye alikuwa anamfuata wa nini??? Badala akae akasome anadekeza ngono! Hii dhambi itawapeleka wengi moton sana
Chawa mkubwa ww kama sio kunguniSafi sana mama,wewe sio wa kupewa miaka mitano tena,Mikumi inakufaa,unajua kuwajibika.
God bless, I admire you more😍😍😍
Mlisema jiwe miaka 30 alafu Mungu akaamua ugomviWont happen,yupo hadi 2035,believe me
Afande Haji?!!Washamba hao hata uwe na elimu ukiwa mshamba ni kazi bure , mtu mzima anafanya mambo ya ajabu ...Elimu zao hazina faida ni takataka kabisa.
PhD ya kununuaNi daktari tabibu au daktari PhD?
Wamemsingizia tu. Mbona yule naibu waziri aliyepata ajali iliyoua mwanachuo wa UDOM hakutenguliwa ?!Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi wa Viongozi kama ifuatavyo:
1. Amemteua Bw. Kenan Laban Kihongosi kuwa Mkuu wa Mkoa wa Simiyu. Kabla ya uteuzi, Bw. Kihongosi alikuwa Mkuu wa Wilaya ya Momba. Bw. Kihongosi anachukua nafasi ya Dkt. Yahaya Ismail Nawanda ambaye uteuzi wake umetenguliwa.
2. Amemteua Bw. Elias Daniel Mwandobo kuwa Mkuu wa Wilaya ya Momba. Kabla uteuzi, Bw. Mwandobo alikuwa Afisa Mwandamizi, Ofisi ya Rais Ikulu.
3. Amemteua Bw. Christopher Magala kuwa Mkuu wa Wilaya ya Nanyumbu. Bw. Magala anachukua nafasi ya Dkt. Stephen Isaac Mwakajumilo ambaye uteuzi wake umetenguliwa.
4. Amemteua Bw. George Hillary Herbet kuwa Msajili wa Mahakama ya Rufani. Kabla ya uteuzi, Bw. Herbet alikuwa Naibu Msajili wa Mahakama ya Rufani.
Uapisho wa Mkuu wa Mkoa na Msajili wa Mahakama ya Rufani utafayika kwa tarehe itakayopangwa baadaye.
====
Pias soma: MCL: Mkuu wa Mkoa adaiwa kumlawiti mwanafunzi
Andika vizuri.... 🙂🙂Ni Kenan huyu huyu alipokuwa kuwa DC Arusha mkewe alifadhiliwa birthday party na account ya huyo mkewe kunoneshwa toka mapato ya halmashauri ya jiji la Arusha?
Sasa amepata cheki ilyosainiwa bila kujazwa kiasi (blank cheque)
Hivi iliishaje ileKesi za hivi zikitokea kwako ndo utajua kuna umuhimu wa uchunguzi
Gazeti linaachapisha kuuza habari
rejea kesi ya mauaji ya scorpion
Hatua ya kwanza ni kumvua madaraka, hatua ya pili ndo sheria zichukue mkondo wake. Pita na hapa kuona kama ni faida ktk kizazi chetuKuna haja gani kuwatambua viongozi pasipo kuwawajibisha waende gerezani. Ccm acheni kulea uovu ipo siku vilio vya waathirika nchi hii vitawarudia.
www.jamiiforums.com
PhD ya kununua
Aliehukumiwa sio scorpion na alishatoka baada ya kushinda rufaaHivi iliishaje ile
😂😂😂😂 Nyie "vijana" mna mambo, kwamba mikumi tena.Safi sana mama,wewe sio wa kupewa miaka mitano tena,Mikumi inakufaa,unajua kuwajibika.
God bless, I admire you more😍😍😍