Mkuu wa Mkoa Simiyu atenguliwa, Kenan Kihongosi achukua nafasi hiyo

Mama ana kazi ngumu sana.
Madhara ya kuchagua wasaidizi kwa kuangalia rangi ya kadi ya chama mtu anachoshabikia. Ifike mahali hawa wachaguliwa wawe wanawasilisha write up ya kazi wanayoenda kuifanya na pia wafnyiwe usaili. Katiba mpya ni muhimu iwe na kipengele husika
 
 
Kenani mwenyewe ni wale wale, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Haya fudengee, sponsaa kapelekwa Simiyu, vipi pale kigas utahama au?

Muambie akuweke Dom, iwe rahis kukufikiaaa. Woiiiiiih
 
Masheikh wanalawiti sana watoto kila mara misikitini, na huyu Muislam mwenzetu RC naye analawiti hovyo....mbona mwaiaibisha dini ya Hakhi?
 
Jiwe alikuwa ni mpumbavu sana na mshamba sana. Chato Kuna mahutu mengi sana makimbizi!!!
 
Masheikh wanalawiti sana watoto kila mara misikitini, na huyu Muislam mwenzetu RC naye analawiti hovyo....mbona mwaiaibisha dini ya Hakhi?
Hahahhahah kwani ukanda wa pwani ushoga ulivojaa watu wa dini gani?
 
Hivi mke wake anajiskiaje?

Haya misogynists nawasubiri mje mseme lazima mkewe anampa stress ndo maana mwanaume kaamua akalawiti na mwanafunzi wa chuo.

Viumbe waharibifu wakubwa na hamheshimu familia zenu! Stupid!
Wanigambila stupid mbele ya my wife?🙆
 
Mara ya mwisho kushuhudia Alhaj akitenda uhalifu ni pale Rage alipokwiba fedha za FAT na kupandishwa kizimbani

Tumuogope Mungu jamani!
 
Akatafute kazi kwenye madanguro!
 
Kenani mwenyewe ni wale wale, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Haya fudengee, sponsaa kapelekwa Simiyu, vipi pale kigas utahama au?

Muambie akuweke Dom, iwe rahis kukufikiaaa. Woiiiiiih
Kumbe naye mdau?
 
Hii adhabu ikitungiwa Sheria vizuri ...inaweza ongeza uwajibikaji kwa makosa madogo madogo ,kuliko kumfunga mtu au kumweka cello.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…