Ukabila utakuua wewe, ndio maana hupati afya unakonda tu sababu ya gubu!!!!Mkuu wa mkoa mpya wa Songwe
Francis Kasavubu Michael...ni Mtanzania??niliposikia jina hili wakati yupo katibu wizara ya sayansi. Nilijiuliza hili swali..ni Mtanzania?mbona jina kama Mcongo au mrundi?...
Kuna anaemjua vizuri hapa JF?
Mwenyeji wa KigomaMkuu huna haja ya kuuliza hilo jina asili yake ni Burundi. Ukifuatilia utakuta huyo jamaa alitokea kigoma. (Nawaza)
The Boss watu wakawaida hawataelewa msingi wa swali lako.Thread inaulizia Uraia..wala sijasema kama sio raia...ni swali tu
Wahamiaji wengi Nchi hii wamefanikies hadi kushika nyazifa kubwa za serikali kupitia CCM.Atakuwa mkorea mweusi si bure
Kasavubu aliwahi kujitangazia Uhuru miaka ya 1960s jimbo LA Katanga lijitenge na Congo. Mwulizaji naona anasumbuliwa na historia. Anapaswa kufahamu kuwa majina mengi ya kibantu hufananaThe Boss watu wakawaida hawataelewa msingi wa swali lako.
Kasavubu ni jina nadra sana Tanzania lakini lenye deep profile miaka ya 1960 huko DRC.
Mimi nakuelewa sana.
Kuuliza sio ujingaKasavubu aliwahi kujitangazia Uhuru miaka ya 1960s jimbo LA Katanga lijitenge na Congo. Mwulizaji naona anasumbuliwa na historia. Anapaswa kufahamu kuwa majina mengi ya kibantu hufanana
Mkuu unamjua bwana the boss?Ukabila utakuua wewe, ndio maana hupati afya unakonda tu sababu ya gubu!!!!
Hawezi kuwa nayo !! Watu wote ni wahamiaji hamiaji tu duniani kote !! Wakitafuta maisha !!lete birth certificate ya babu yako tuhakikishe kama wewe ni mtanganyika.
ALifukuzwa mwaka juzi kule kigoma UjijiKwani wewe mgeni hapa galilaya Kuna diwani Kama si Kigoma ni mbeya nae alifunguliwa kesi kuwa sio mtanzani
Unakuwa na husuda na nongwa kifuani halafu inakuwa ngumu kutoka balaaaUkiwa na roho mbaya yaani ile wanaita roho ya kwanini unakuwa na mawazo ya kipumbavu sana.
Mjibu kwa wema.Hakuna swali la kijinga.Au uongo?Acha mambo ya kijinga,jina unapewa na mzazi,hapa bongo Kuna watu wanaitwa George Washington,je wanakuwa wamarekani kisa tu Wana jina kama la Rais wa kwanza wa USA!
Mtoto wa Raila Odinga,anaitwa,Fidel Castro Odinga,je anakuwa Mtu wa Cuba.
Mkuu kwani huyo Osama unayemsema ni jina lake la ukoo, au huyo Mandela ni jina lake la ukoo?Kwa Ulimwengu wa sasa jina halimtambulishi mtu origin yake ,leo nilikuwa nasikiliza njia panda clouds fm walikuwa wanamuhoji mtu aliyejulikana kwa jina lake alilopewa na wazazi wake kama Osama na pia nilishawahi kukutana na mtoto anaitwa mandela(amezaliwa tanzania 1996) ,hapa nasemaje Osama sio muafhganistan au mandela siyo msouth bali ni waTZ.
Hata huyo jamaa haitwi Kasavubu bali ni Kasabubu.
CV ya Dr. Francis
Ikiwa ni kweli ana jina la Kasabubu ni dhahiri hawezi kuwa mtanzania wa asili! Atakuwa na asiri ya Rwanda au Burundi - Sasa wewe kweli unaweza kusimama na kusema Dr. Slaa ni Mtanzania? sio Mwarabu? Karatu kumejaa waarabu kibao mbona hilo husemi? Le Mutuz Systemwww.jamiiforums.com
Tangu alambishwe asali enzi za JPM, alibadilka sana huyu Mheshimiwa. Kiufupi hana tofauti na akina Slow slow.Dr Francis Michael Umetuangusha Kwa Hoja dhaifu katika dhana ya utafiti
Ndugu yetu, Daktari wa Filosofia uliyetumainiwa na wenazako hata ukasimamia Chama cha Magwiji wasomi UDSM (UDASA), yaani ndani ya viatu vya kina Prof Chachage, Leo hii bila hiana, unakacha misimamo wako Wote, unakumbatia misimamo wa watu wengine na kutumia hoja dhaifu kuutetea! Umenishtua sana...www.jamiiforums.com
Kweli...ila ni wa huko jikoni.Kwa kidogo ninachokifahamu...huyu Jamaa ni Mtanzania...origin yake kama sikosei ni Kigoma(nt sure)...ila huko nyuma aliwahi kuwa pale UDSM kama Lecturer...,Magu ndie aliemuintroduce Serikalini...alianzia kuwa mjumbe wa Bodi TPA .. akaja Naibu Katibu Mkuu..kipindi hicho hicho cha Magu...ndio mpaka leo hapa...
Navyofahamu Dr.Francis ni mzima sana kichwani na ni Mtendaji mzuri sana...yaani ni wale watu ambao wana uwezo wa kuanzisha jambo..na kulisimamia mpaka mwisho...hata kitaalum alianzia kuwa Mwalimu huko akajiendeleza mpaka kuwa na PHD..(unaweza kuona alivyo na juhudi)
Kilichonishangaza sijui kafanya kosa gani hapo...manaake nilisikia kuwa alipewa hiyo nafasi ya KM-ELIMU kwa sababu ya Restructuring inayoendelea kwenye mfumo wa Elimu kutokana na Uwezo alio nao..
Nadhani unafahamu hata Waziri wake nae anasemekana ni kichwa fulani hv...kwa wanaomfahamu...kwa hiyo nadhani combination yao ilidhaniwa ingefanya kitu kizuri...(Wasalam...nilipokosea si kwa makusudi kwani baadhi hasa sifa za academic ni za kuhadithiwa na watu waliosoma nae)
Sent from my SM-A217F using JamiiForums mobile app