Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe uliesema waziwazi wakristo ndo wachapakazi na waislam hawatakiwi huoni udini wako...A
ngekua Aballah, Hamisi au Hamza usingehoji ulivyo mdini.
Hili swali lingeylizwa na Luka juu ya Hamisi ungetetea.
Sikuwahi kujua u mdini kiasi hiki.
Mama yenu anaupigwa mwingiMkuu wa mkoa mpya wa Songwe
Francis Kasavubu Michael...ni Mtanzania??niliposikia jina hili wakati yupo katibu wizara ya sayansi. Nilijiuliza hili swali..ni Mtanzania?mbona jina kama Mcongo au mrundi?...
Kuna anaemjua vizuri hapa JF?
Shukran Kwa kunielewaMkuu kwani huyo Osama unayemsema ni jina lake la ukoo, au huyo Mandela ni jina lake la ukoo?
Nimesoma na jamaa anaitwa Saddam Hussein ila jina lake la ukoo ni la kibongo, hapa hatusemi majina ya kuokoteza uko Ulaya na Uarabuni au wapi. Tunasema jina la ukoo ambalo ndio uhalisia wa mtu.
Hivihivi tulijikuta tuna Kanali wa JW ni Mnyarwanda na anatuma taarifa kwa Kagame, alitoroka na sasa ana cheo kikubwa uko kwao. Hivi hivi Syria ilijikuta na Eliyahu Cohen Myahudi pure aliyejifanya anaitwa Kamel Amin alafu akawa mshauri wa usalama na mmojawapo wa vigogo serikalini. Mtu anauliza kujua background ya kiongozi serikalini anatokea muuza gongo analalamika. Hii nchi imejaa vilaza watupu.
Congo hawakuuliza uraia wa maofisa wao serikalini wakajikuta wamejaza Wanyarwanda kila idara. Last month mshauri wa Rais kapigwa msako kakutwa na passport ya siri kutoka Rwanda na ana documents za nyumba anazomiliki uko, yuko under arrest.
Sasa mtauza mihadarati na kupanga kuwadhuru Wakristo saa ngapi mkiwa wachapa kazi?Wewe uliesema waziwazi wakristo ndo wachapakazi na waislam hawatakiwi huoni udini wako...
Nyani haoni ...
Sasa mtauza mihadarati na kupanga kuwadhuru Wakristo saa ngapi mkiwa wachapa kazi?
Unaweza kufananisha utendaji wa mawaziri enzi za Mkapa na kipindi cha Mkewre na Samia?
Kipindi cha awamu ya watawala wa Saudia zaidi ni bata tu na kupanga njama za kuchoma makanisa
Kama unabisha nitajie mawaziri kumi bora kwa utendaji wa upande wenu mimi nikutajie 20 wa upande wetuWewe uliesema waziwazi wakristo ndo wachapakazi na waislam hawatakiwi huoni udini wako...
Nyani haoni ...
Tatizo langu acha udini hutaona koment hizi toka kwangu.We Una tatizo lingine kabisa... Siwezi bishana na wewe
Uwezo wako mdogo Sana wa kuelewa hoja...Kama unabisha nitajie mawaziri kumi bora kwa utendaji wa upande wenu mimi nikutajie 20 wa upande wetu
Kwa hiyo huu ndio uwezo wako mkubwa?Uwezo wako mdogo Sana wa kuelewa hoja...
Thread inahusu Uraia unakuja leta mambo ya dini...
Wapi uliona nikimponda waziri Kwa sababu mkristo au nikimsifia waziri sababu muislam ...hayo mambo yapo kichwani mwako
Kwangu Mimi mtu kama ni Mtanzania sijali na sitazami dini yake wala kabila ..Kwa hiyo huu ndio uwezo wako mkubwa?
Wivu tu na ubaguzi wa kidini unakusumbua. Hapa Africa mipaka iliwekwa na wakoloni.Wewe mrundi tulia...tutakuja kukuibua soon
Aliejitangazia uhuru wa jimbo la katanga alikuwa Tchombe Bali kasavubu alikuwa Rais wa kwanza wa [emoji1078]Kasavubu aliwahi kujitangazia Uhuru miaka ya 1960s jimbo LA Katanga lijitenge na Congo. Mwulizaji naona anasumbuliwa na historia. Anapaswa kufahamu kuwa majina mengi ya kibantu hufanana
Wewe dogo mimi sijakurupuka kukuita mdini.Kwangu Mimi mtu kama ni Mtanzania sijali na sitazami dini yake wala kabila ..
Masuala ya performance naacha Kwa aliewateua.......wala siwezi tukana dini nzima Kwa hasira za kiongozi mmoja..
Wewe unapoita watu wavaa kubazi na wachoma makanisa unaelewa unachofanya au unaropoka?