Makari hodari
JF-Expert Member
- May 17, 2022
- 3,339
- 6,666
ALLAHU AKBAR! 🙌🏾Takbiiiiiiiiiiiiiiiiir
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ALLAHU AKBAR! 🙌🏾Takbiiiiiiiiiiiiiiiiir
Jamaa wa kigoma huyo. Alianza kama teacher.....Mkuu wa mkoa mpya wa Songwe
Francis Kasavubu Michael...ni Mtanzania??niliposikia jina hili wakati yupo katibu wizara ya sayansi. Nilijiuliza hili swali..ni Mtanzania?mbona jina kama Mcongo au mrundi?...
Kuna anaemjua vizuri hapa JF?
Hofu yangu ni yeye kupangwa kazi ya siasa ambayo ni ukuu wa mkoa. Ni kama kuwekewa lisasi mguuniJamaa wa kigoma huyo. Alianza kama teacher.....
"I don't think this is accidental" or "i do think this is not accidental
Hii ndio ilikuwa basis ya Swali la The Boss.Mkuu kwani huyo Osama unayemsema ni jina lake la ukoo, au huyo Mandela ni jina lake la ukoo?
Nimesoma na jamaa anaitwa Saddam Hussein ila jina lake la ukoo ni la kibongo, hapa hatusemi majina ya kuokoteza uko Ulaya na Uarabuni au wapi. Tunasema jina la ukoo ambalo ndio uhalisia wa mtu.
Hivihivi tulijikuta tuna Kanali wa JW ni Mnyarwanda na anatuma taarifa kwa Kagame, alitoroka na sasa ana cheo kikubwa uko kwao. Hivi hivi Syria ilijikuta na Eliyahu Cohen Myahudi pure aliyejifanya anaitwa Kamel Amin alafu akawa mshauri wa usalama na mmojawapo wa vigogo serikalini. Mtu anauliza kujua background ya kiongozi serikalini anatokea muuza gongo analalamika. Hii nchi imejaa vilaza watupu.
Congo hawakuuliza uraia wa maofisa wao serikalini wakajikuta wamejaza Wanyarwanda kila idara. Last month mshauri wa Rais kapigwa msako kakutwa na passport ya siri kutoka Rwanda na ana documents za nyumba anazomiliki uko, yuko under arrest.
Mkongomani anaejiita Muha 🤪🤪Mkuu wa mkoa mpya wa Songwe
Francis Kasavubu Michael...ni Mtanzania??niliposikia jina hili wakati yupo katibu wizara ya sayansi. Nilijiuliza hili swali..ni Mtanzania?mbona jina kama Mcongo au mrundi?...
Kuna anaemjua vizuri hapa JF?
Uraia haumundolei mtu asili yake ndio maana kuna watanzania wenye asili ya AsiaSawa anaweza kuwa amefanya yote hayo akiwa Tanzania, ila kama asili yake ni huko jirani, je hana affiliation yoyote na huko atokako!?
Miyuko, Mukobwa, Inswi, Lujugusi, Lunyatuzi, Luyagwa, Lukanuzo, Luniampuki, Luzilankende, lunankiso, etcWacongo na warundi tunashea majina..mihayo,mpango,lugali,
Magu alijaza wahutu wenzieKwa kidogo ninachokifahamu...huyu Jamaa ni Mtanzania...origin yake kama sikosei ni Kigoma(nt sure)...ila huko nyuma aliwahi kuwa pale UDSM kama Lecturer...,Magu ndie aliemuintroduce Serikalini...alianzia kuwa mjumbe wa Bodi TPA .. akaja Naibu Katibu Mkuu..kipindi hicho hicho cha Magu...ndio mpaka leo hapa...
Navyofahamu Dr.Francis ni mzima sana kichwani na ni Mtendaji mzuri sana...yaani ni wale watu ambao wana uwezo wa kuanzisha jambo..na kulisimamia mpaka mwisho...hata kitaalum alianzia kuwa Mwalimu huko akajiendeleza mpaka kuwa na PHD..(unaweza kuona alivyo na juhudi)
Kilichonishangaza sijui kafanya kosa gani hapo...manaake nilisikia kuwa alipewa hiyo nafasi ya KM-ELIMU kwa sababu ya Restructuring inayoendelea kwenye mfumo wa Elimu kutokana na Uwezo alio nao..
Nadhani unafahamu hata Waziri wake nae anasemekana ni kichwa fulani hv...kwa wanaomfahamu...kwa hiyo nadhani combination yao ilidhaniwa ingefanya kitu kizuri...(Wasalam...nilipokosea si kwa makusudi kwani baadhi hasa sifa za academic ni za kuhadithiwa na watu waliosoma nae)
Sent from my SM-A217F using JamiiForums mobile app
Bila kusahau Mzilankende..Miyuko, Mukobwa, Inswi, Lujugusi, Lunyatuzi, Luyagwa, Lukanuzo, Luniampuki, Luzilankende, lunankiso, etc
Ni Mtanzania mwenye asili ya Kisomali.Kw
ewe mwenyewe ikute ni mmalawi. Kwani Bashe ni Mtanzania ?Maana ana jina la kisomali .
Kwani msomali hawezi kuwa mtanzania!!
Mmgh serious??Bila kusahau Mzilankende..
Usiulize sana mkuu,Dr Mpango alipoteuliwa VP ,Burundi ilifanya sherehe kama Kunyaland na Obama
Pole kama hujui uwe unaefuatilia habari,huo ndio ukweli Warundi walifurahia na alialikwa Burundi..Mmgh serious??
Asante Mkuu kwa taarifa! Nitaktafta chemba unufahamishe hao Ndugu zake. Najua unapokaa nitakufata Mkuu.Pole kama hujui uwe unaefuatilia habari,huo ndio ukweli Warundi walifurahia na alialikwa Burundi..
Kwa taarifa Yako ana ndugu Hadi Burundi.
KaribuAsante Mkuu kwa taarifa! Nitaktafta chemba unufahamishe hao Ndugu zake. Najua unapokaa nitakufata Mkuu.
Mbona kuna wajaluo kibao tz wenye ndugu KenyaPole kama hujui uwe unaefuatilia habari,huo ndio ukweli Warundi walifurahia na alialikwa Burundi..
Kwa taarifa Yako ana ndugu Hadi Burundi.
Post in thread 'Burundi: Kwanini Viongozi wetu wakuu wameelekeza nguvu zao huko?' Burundi: Kwanini Viongozi wetu wakuu wameelekeza nguvu zao huko?Mbona kuna wajaluo kibao tz wenye ndugu Kenya
Anajaribu kuvuruga mada huyuUwezo wako mdogo Sana wa kuelewa hoja...
Thread inahusu Uraia unakuja leta mambo ya dini...
Wapi uliona nikimponda waziri Kwa sababu mkristo au nikimsifia waziri sababu muislam ...hayo mambo yapo kichwani mwako
Nchi hii kuna raia kibao walizamia wakiwa wadogo, wamesoma na baadhi wapo ndani ya siasa za ccm wanakula nchi.Francis Kasavubu Michael...ni Mtanzania??