Prince Kunta
JF-Expert Member
- Mar 27, 2014
- 22,797
- 28,904
Ukishakuwa na kadi ya ccm basi wewe ni raia usiye na shaka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bado ule ubini unamtambulisha kama Mkenya. Mfano, Victor Oladipo, Bam Adebayo , Antetokoumpo(Adetokunbo), Hakeem Olajuwon(basketballers hawa), Karim Onisiwo, na Karim Adeyemi (footballers) , hawa inawezekana hata Nigeria hawajawahi fika ila majina yao yanaonesha asili yao na ukifatilia unagundua wote hawa baba zao ni Wanaija ila wamezaliwa ughaibuni na hawana uraia wa Naija. Na asili yao hawafichi.Acha mambo ya kijinga,jina unapewa na mzazi,hapa bongo Kuna watu wanaitwa George Washington,je wanakuwa wamarekani kisa tu Wana jina kama la Rais wa kwanza wa USA!
Mtoto wa Raila Odinga,anaitwa,Fidel Castro Odinga,je anakuwa Mtu wa Cuba.
Huyo ni mkongo,baba yake alikuwa kiongozi mkubwa huko Congo,alisoma udsm na kuwa lecturer,akaibukia bunge ka katibaMkuu wa mkoa mpya wa Songwe
Francis Kasavubu Michael...ni Mtanzania??niliposikia jina hili wakati yupo katibu wizara ya sayansi. Nilijiuliza hili swali..ni Mtanzania?mbona jina kama Mcongo au mrundi?...
Kuna anaemjua vizuri hapa JF?
Hapo Lazima Utaambiwa Muha Labda Wa Mulyabhibhi Uvinza Ama Muha Wa Kasumo Japo Moja Kwa Moja Ni Uelekeo Wa Burundi, Rwanda, CongoMkuu wa mkoa mpya wa Songwe
Francis Kasavubu Michael...ni Mtanzania??niliposikia jina hili wakati yupo katibu wizara ya sayansi. Nilijiuliza hili swali..ni Mtanzania?mbona jina kama Mcongo au mrundi?...
Kuna anaemjua vizuri hapa JF?
"I don't think this is accidental" or "i do think this is not accidental"Wahamiaji wengi Nchi hii wamefanikies hadi kushika nyazifa kubwa za serikali kupitia CCM.
Kila mtanzania mwenye asili ya nje ya Tanzania ni Mwanaccm
I dont think his is not accidental
Anaweza kuwa ila asili yake haipotei na shida kubwa hawa jamaa hujaribu kuficha historia zao za asili.Kw
ewe mwenyewe ikute ni mmalawi. Kwani Bashe ni Mtanzania ?Maana ana jina la kisomali .
Kwani msomali hawezi kuwa mtanzania!!
🤣🤣🤣😂😂🤣🤣A
ngekua Aballah, Hamisi au Hamza usingehoji ulivyo mdini.
Hili swali lingeylizwa na Luka juu ya Hamisi ungetetea.
Sikuwahi kujua u mdini kiasi hiki.
Na wewe ni wa wapi au mlitangulia kuja tuu? tupe birth certificate ya babu yako alizaliwa TanzaniaNchi hii kuna maforeigner kibao tu
Tena wameshika sehemu nzito nzito tu
Ova
Majina ya koo mtu hajipi au kupewa na mzazi, huyakuta tu. Hata kama utaitwa George Washington Mwainyekule, hiyo Mwainyekule bado itatambulisha asili yenu.Kwa Ulimwengu wa sasa jina halimtambulishi mtu origin yake ,leo nilikuwa nasikiliza njia panda clouds fm walikuwa wanamuhoji mtu aliyejulikana kwa jina lake alilopewa na wazazi wake kama Osama na pia nilishawahi kukutana na mtoto anaitwa mandela(amezaliwa tanzania 1996) ,hapa nasemaje Osama sio muafhganistan au mandela siyo msouth bali ni waTZ.
Hata huyo jamaa haitwi Kasavubu bali ni Kasabubu.
CV ya Dr. Francis
Ikiwa ni kweli ana jina la Kasabubu ni dhahiri hawezi kuwa mtanzania wa asili! Atakuwa na asiri ya Rwanda au Burundi - Sasa wewe kweli unaweza kusimama na kusema Dr. Slaa ni Mtanzania? sio Mwarabu? Karatu kumejaa waarabu kibao mbona hilo husemi? Le Mutuz Systemwww.jamiiforums.com
Na wewe asili yako ya wapi?Anaweza kuwa ila asili yake haipotei na shida kubwa hawa jamaa hujaribu kuficha historia zao za asili.
Ananikumbusha Victoire Ingabire.Wewe mrundi tulia...tutakuja kukuibua soon
TakbiiiiiiiiiiiiiiiiirKwangu Mimi mtu kama ni Mtanzania sijali na sitazami dini yake wala kabila ..
Masuala ya performance naacha Kwa aliewateua.......wala siwezi tukana dini nzima Kwa hasira za kiongozi mmoja..
Wewe unapoita watu wavaa kubazi na wachoma makanisa unaelewa unachofanya au unaropoka?
Ninafahamiana na Kasavubu. Ulichosema ni sahihi. Ni mha. Anatokea Kigoma. Naishia hapoKwa kidogo ninachokifahamu...huyu Jamaa ni Mtanzania...origin yake kama sikosei ni Kigoma(nt sure)...ila huko nyuma aliwahi kuwa pale UDSM kama Lecturer...,Magu ndie aliemuintroduce Serikalini...alianzia kuwa mjumbe wa Bodi TPA .. akaja Naibu Katibu Mkuu..kipindi hicho hicho cha Magu...ndio mpaka leo hapa...
Navyofahamu Dr.Francis ni mzima sana kichwani na ni Mtendaji mzuri sana...yaani ni wale watu ambao wana uwezo wa kuanzisha jambo..na kulisimamia mpaka mwisho...hata kitaalum alianzia kuwa Mwalimu huko akajiendeleza mpaka kuwa na PHD..(unaweza kuona alivyo na juhudi)
Kilichonishangaza sijui kafanya kosa gani hapo...manaake nilisikia kuwa alipewa hiyo nafasi ya KM-ELIMU kwa sababu ya Restructuring inayoendelea kwenye mfumo wa Elimu kutokana na Uwezo alio nao..
Nadhani unafahamu hata Waziri wake nae anasemekana ni kichwa fulani hv...kwa wanaomfahamu...kwa hiyo nadhani combination yao ilidhaniwa ingefanya kitu kizuri...(Wasalam...nilipokosea si kwa makusudi kwani baadhi hasa sifa za academic ni za kuhadithiwa na watu waliosoma nae)
Sent from my SM-A217F using JamiiForums mobile app
Sawa anaweza kuwa amefanya yote hayo akiwa Tanzania, ila kama asili yake ni huko jirani, je hana affiliation yoyote na huko atokako!?Sidhani kama Jina la mtu ndio linahalalisha uraia wake, navyojua mimi Kasavubu kwa ni kigoma amewahi kuwa mwalimu wa secondary ya Mlole kigoma kabla hajajiendeleza kielimu udsm, pia amewahi kuwa coach wa soccer pia mwamuzi wa soccer
Mimi sio Kiongozi serikalini, so sina influence yoyote kimaamuzi. Mtu anayekabidhiwa madaraka serikalini ni mtu mzito kwa sababu anafanya maamuzi mazito.Na wewe asili yako ya wapi?
Aisee! Hatari sana!Zamani hapa JF alikuwa anamuunga mkono Zitto...Hadi Magufuli alipoingia Ikulu akahama akawa mashabiki WA Magufuli...Akikutana na warundi wenzie hapa wanasalimiana 'amohoro"...
Sio ana jina la kisomali... ni MSOMALI by-nature! Ana ndugu zake tele mwanza, Arusha, Dar, mpaka Nairobi Kenya. Huko Ulaya ndo usiseme na Marekani! Ni msomali pure! Alifanya jitihada na shule tu na alizaliwa hapa. Ila kiasili ni Msomali.Wewe mwenyewe ikute ni mmalawi. Kwani Bashe ni Mtanzania ?Maana ana jina la kisomali .
Nimecheka kwa nguvu hadi binti yangu wa miezi tisa nae kacheka. Nicheke kisukuma mie "Helu Mayu"Mimi ni shabiki wa haki ,utawala bora. Sasa Zito akiwa na traits za utawala wa haki ninamuunga mkono, Magufuli pia ,kiongozi yeyote yule. Sema binadamu hawa viongozi hubadilika.Mimi ni muafrica Sheikh. Uniite mrundi sawa tu .Zamani hapa JF alikuwa anamuunga mkono Zitto...Hadi Magufuli alipoingia Ikulu akahama akawa mashabiki WA Magufuli...Akikutana na warundi wenzie hapa wanasalimiana 'amohoro"...