Mkuu wa Mkoa Songwe ni Mtanzania? Jina kama Mkongo au Mrundi?

Mkuu wa Mkoa Songwe ni Mtanzania? Jina kama Mkongo au Mrundi?

Nimesoma naye darasa moja PS 1999

Master's alibadili na kusoma MBA na alifanya vizuri sana na wakampa ajira huko

Ni Mwalimu by professional na alikuja mlimani akitokea kazini

Alikuwa mshauri wetu mzuri sana sisi tuliotokea high school moja Kwa moja

Rafiki yake mkubwa darsani ambaye naye akitokea kazini akiwa ofisa wa magereza ni Mkuu wa Magereza Mstaafu Balozi Kasika

Ni sawa na Dkt Bashiru nayeye ni Mwalimu by professional na alisoma PS akitokea kazini (2000)

Ni mtu wa Kigoma kwa asili and he's a gentleman

Ni Kiongozi mzuri sana na yuko poa sana, hana dharau kabisa na mtu wa msaada sana.

Alikuwa Vice president wa Daruso huku Kitila Mkumbo akiwa President

Nilikuwa member wa team yake ya kampeni

Alipata shida kidogo na hilo Jina la Kasavubu lakini alikuwa cleared na akashinda kwa kishindo
 
Mkuu wa mkoa mpya wa Songwe
Francis Kasavubu Michael...ni Mtanzania??niliposikia jina hili wakati yupo katibu wizara ya sayansi. Nilijiuliza hili swali..ni Mtanzania? Mbona jina kama Mcongo au mrundi?...

Kuna anaemjua vizuri hapa JF?
Una matatizo
 
Mkuu wa mkoa mpya wa Songwe
Francis Kasavubu Michael...ni Mtanzania??niliposikia jina hili wakati yupo katibu wizara ya sayansi. Nilijiuliza hili swali..ni Mtanzania? Mbona jina kama Mcongo au mrundi?...

Kuna anaemjua vizuri hapa JF?
Ulishawahi kumsikia Joseph Mungai?
 
Haya maelezo umeandika yanapatikana kwa urahisi tu,swali limeuliza unajua kuwa anaitwa Kasavubu? Na mtoa mada anaulizia asili ya hili jina Kasavubu.
Hilo Jina alipewa pale Kigoma na Waha Wenzie Kwa kucheza Mpira wa Miguu Vizuri. Enzi hiyo alikuwepo mkongomani mcheza Football akiitwa Kasavubu ndio wakampa kumuenzi.
 
Mkuu wa mkoa mpya wa Songwe
Francis Kasavubu Michael...ni Mtanzania??niliposikia jina hili wakati yupo katibu wizara ya sayansi. Nilijiuliza hili swali..ni Mtanzania? Mbona jina kama Mcongo au mrundi?...

Kuna anaemjua vizuri hapa JF?
Kwahiyo mtu akiitwa Washington,amekuwa Mmarekani?
Ujinga mwingi sana nchi hii,
 
Thread inaulizia Uraia..wala sijasema kama sio raia...ni swali tu
Kuuliza Uraia wa mtu kwa kigezo cha jina lake ni upumbafu...
faraja kwako ni kuwa hauko pekeyako uliye na upumbafu huo maana hata Jeshi la Uhamiaji wana huo upumbafu.

*John, Francis, Michael, Peter >>majina kama haya husikii mtu akihofiwa kuwa uraia wake ni wa Ulaya au Amerika
*Abdallah, Saidi, n.k >>husikii hoja kuwa ni mtu wa Asia..
 
Burundi ,Rwanda, Uganda na Zambia majina mengi kutoka hizo nchi yapo Tanzania kutokanana na mwingiliano wa makabila.....

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Mkuu wa mkoa mpya wa Songwe
Francis Kasavubu Michael...ni Mtanzania??niliposikia jina hili wakati yupo katibu wizara ya sayansi. Nilijiuliza hili swali..ni Mtanzania? Mbona jina kama Mcongo au mrundi?...

Kuna anaemjua vizuri hapa JF?
Mbona wapo wengi sana kwenye serikali yetu,?
 
Kwa kidogo ninachokifahamu...huyu Jamaa ni Mtanzania...origin yake kama sikosei ni Kigoma(nt sure)...ila huko nyuma aliwahi kuwa pale UDSM kama Lecturer...,Magu ndie aliemuintroduce Serikalini...alianzia kuwa mjumbe wa Bodi TPA .. akaja Naibu Katibu Mkuu..kipindi hicho hicho cha Magu...ndio mpaka leo hapa...
Navyofahamu Dr.Francis ni mzima sana kichwani na ni Mtendaji mzuri sana...yaani ni wale watu ambao wana uwezo wa kuanzisha jambo..na kulisimamia mpaka mwisho...hata kitaalum alianzia kuwa Mwalimu huko akajiendeleza mpaka kuwa na PHD..(unaweza kuona alivyo na juhudi)

Kilichonishangaza sijui kafanya kosa gani hapo...manaake nilisikia kuwa alipewa hiyo nafasi ya KM-ELIMU kwa sababu ya Restructuring inayoendelea kwenye mfumo wa Elimu kutokana na Uwezo alio nao..
Nadhani unafahamu hata Waziri wake nae anasemekana ni kichwa fulani hv...kwa wanaomfahamu...kwa hiyo nadhani combination yao ilidhaniwa ingefanya kitu kizuri...(Wasalam...nilipokosea si kwa makusudi kwani baadhi hasa sifa za academic ni za kuhadithiwa na watu waliosoma nae)

Sent from my SM-A217F using JamiiForums mobile app
Kama ni kutoka Kigoma basi huyo ni kutoka Burundi
 
Ukikuta mtu anatumia majina ya Kizungu tu anapojitambulisha mara nyingi huwa kuna kitu anaficha

Francis Michael (akaficha Kasavubu)
Furaha Dominic (akaficha nasaba ya Kimagufuli)
Happiness sijui nani (naye alificha nasaba na Magufuli)

Wapo wengi
Ooohhhh Nzambeeeee,Family ya Bujumbura,Maroba ya buuureeee
 
Acha mambo ya kijinga,jina unapewa na mzazi,hapa bongo Kuna watu wanaitwa George Washington,je wanakuwa wamarekani kisa tu Wana jina kama la Rais wa kwanza wa USA!
Mtoto wa Raila Odinga,anaitwa,Fidel Castro Odinga,je anakuwa Mtu wa Cuba.
Wewe itakuwa unatokea kigoma
 
Back
Top Bottom