makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 31,583
- 92,670
Nchi hii wageni kibao
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu wa mkoa mpya wa Songwe
Francis Kasavubu Michael...ni Mtanzania??niliposikia jina hili wakati yupo katibu wizara ya sayansi. Nilijiuliza hili swali..ni Mtanzania? Mbona jina kama Mcongo au mrundi?...
Kuna anaemjua vizuri hapa JF?
CDF naye hana akiliYale aliyokua anasema CDF.
Ndiyo ni mtanzania.Mkuu wa mkoa mpya wa Songwe
Francis Kasavubu Michael...ni Mtanzania??niliposikia jina hili wakati yupo katibu wizara ya sayansi. Nilijiuliza hili swali..ni Mtanzania? Mbona jina kama Mcongo au mrundi?...
Kuna anaemjua vizuri hapa JF?
Na wewe ni mhamiaji haramuCDF naye hana akili
Ndio wenyewe hao.Na wewe ni mhamiaji haramu
Waislam ni wadini snA
ngekua Aballah, Hamisi au Hamza usingehoji ulivyo mdini.
Hili swali lingeylizwa na Luka juu ya Hamisi ungetetea.
Sikuwahi kujua u mdini kiasi hiki.
Kasavunu ni wakongo Tena aliwahi kuepo Joseph Kasavunu raisi wa kwanza wakati Lumumba akiwa waziri mkuu wakeMkuu wa mkoa mpya wa Songwe, Francis Kasavubu Michael ni Mtanzania? Niliposikia jina hili wakati yupo katibu Wizara ya sayansi nilijiuliza hili swali ni Mtanzania? Mbona jina kama Mcongo au mrundi?...
Kuna anaemjua vizuri hapa JF?
Ndio maan kafukuzwa Kaz aisee waahamiaji Ni wengi mnoYale aliyokua anasema CDF.
Ni mjomba wake na Joseph Kasavubu, wazee wa Boma DRC.Mkuu wa mkoa mpya wa Songwe, Francis Kasavubu Michael ni Mtanzania? Niliposikia jina hili wakati yupo katibu Wizara ya sayansi nilijiuliza hili swali ni Mtanzania? Mbona jina kama Mcongo au mrundi?...
Kuna anaemjua vizuri hapa JF?
Ndio kama baba yako tuuNa wewe ni mhamiaji haramu
Kwa taarifa yako asilimia karibia 90 ya watanganyika ni wahamiaji unaweza ukaonekana mzawa kuliko wengine Kwa sababu ulifika Tanganyika mapema.Mkuu wa mkoa mpya wa Songwe, Francis Kasavubu Michael ni Mtanzania? Niliposikia jina hili wakati yupo katibu Wizara ya sayansi nilijiuliza hili swali ni Mtanzania? Mbona jina kama Mcongo au mrundi?...
Kuna anaemjua vizuri hapa JF?
Mkuu kwani kula bata ni shida??? Wewe hupendi bata??? Wa kila bata unapungua nini? Acha nongwa, unawaonea gere!! 🤣 🤣 🤣Sasa mtauza mihadarati na kupanga kuwadhuru Wakristo saa ngapi mkiwa wachapa kazi?
Unaweza kufananisha utendaji wa mawaziri enzi za Mkapa na kipindi cha Mkewre na Samia?
Kipindi cha awamu ya watawala wa Saudia zaidi ni bata tu na kupanga njama za kuchoma makanisa
Mkuu tofautisha mtu kuwa raia wa nchi fulani na mtu kuwa na asili ya watu wa nchi fulani. Hivyo ni vitu tofauti kabisa!Huyo ni mkongo,baba yake alikuwa kiongozi mkubwa huko Congo,alisoma udsm na kuwa lecturer,akaibukia bunge ka katiba
Achana nae, huyo hajitambui.Kwangu Mimi mtu kama ni Mtanzania sijali na sitazami dini yake wala kabila ..
Masuala ya performance naacha Kwa aliewateua.......wala siwezi tukana dini nzima Kwa hasira za kiongozi mmoja..
Wewe unapoita watu wavaa kubazi na wachoma makanisa unaelewa unachofanya au unaropoka?