Mkuu wa Mkoa wa Geita, Kiongozi pekee wa Serikali aliyekuwepo kwenye ibada ya Kumuombea Magufuli leo Kanisani


Uaji, mtesi, jizi, mkabila, dhulumaji who cares?
 
Ngusa Samike simjui sana ila Kalemanj na Dotto James hawakuwa na adabu kabisa enzi za utawala wa Dkt Magufuli, yaani walijiona miungu watu tena hawakuwa binaadamu wa kusikiliza shida za watu.
 
Huo mkusanyiko hapo Chato ni haramu! Watu wakafanye shughuli zao haraka!
 
Yani hata bashite hakuwepo?
 
Si mtakatifu na nitakufa najua lakini pamoja na kutokuwa mkamilifu bado sitaweza kuwafanyia binadamu wenzangu unyama wa kuwadhulumu haki zao za asili kama aliofanya magufuli. Mungu ampe adhabu kadiri ya mabaya aliyofanya.
Wewe alikudhurumu nini?
Je una ndugu yeyote aliedhurumiwa na jpm?
Je kipimo cha unyama ni kipi?tueleze kidogo
 
watanzania ni wanafiq
chawa wa mama leo wapo kazini kila mmoja anajitahidi kumponda magu

kuna mmoja namfahamu nimeona amechangia sehemu, eti magu alitutesa sana wakati hadi leo hana kazi anashinda vijiweni
sasa nimejiuliza alimtesa wapi
 
Hata wewe utakufa,tukiacha mkeo hata watoto wako watasahau ulikufa lini na hawatakuja kaburini kwako,haya ni mambo ya muda tu,sio kwa jpm tu

Sasa kama ni hivyo inajulikana sasa mnaanzisha mathread ya nini humu wewe na chawa mwenzako? JPM siyo wa kwanza kufa na kusahaulika,Kafa malikia ,kafa princess diana na watu wameshasahau.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…