Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Mh Chalamila astuka , Atengua zuio la kufunga Bar kuzuia Corona

Mkuu lakini wanywaji wengi huzingatia masharti na taratibu ktk awamu za ulabu. Zikiingia vyema kichwani huwa juu ya sheria, hivyo hujikuta wanavunja masharti na taratibu zote, kinachobaki ni kuongea lugha ya Kiingereza kwa saana tu, kutoa ahadi za ajira kwa warembo, kucheza mziki na kukumbatia hovyo warembo.

Lkn yote ya yote ni kuishia kwenye kale kamchezo ka baba na mama, tena pengine kavu kavu bila kinga ya VVU na hii sasa Corona. Ambapo naamini kutumia zana zote mbili za vita kwa pamoja inahitaji mbinu za medani na uvumilivu wa hali ya juu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sms ya saa saba usiku ilisomeka namna hii;

Mkuu : Hivi wewe unavyopunguzia watu muda wa kunywa bia hizo kodi utaziripa wewe?
Chalamila : Samahani Mkuu nimekuelewa.
Mkuu: Na usinipigie simu tena.
Chalamila: Asante mkuu nimekuelewa nisamehe sana.
 
Huyu jamaa anachezea nguvu ya shetani!!!,

Shetani anataka watu walewe watende zambi afurahi.

Shetani anataka watu wapate corona wafe.

Taifa linasema tuombe Mungu alafu linaacha watu walewe kwenye mabaa.

Kwa maoni yangu ili maombi yetu yamfikie Mungu serikali ingezuia kabisa pombe nchini maana unaweza kuta laana ya ulevi ndio imeleta corona.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyo mropokaji mpya huwa anajaribu kuvaa viatu vya mropokaji mkuu wa mzizima
 
Hata mteuaji mwenyewe ni shida tupu, kifupi mteuaji na mteuliwa wote akili zao ziko sawa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sms ya saa saba usiku ilisomeka namna hii;

Mkuu : Hivi wewe unavyopunguzia watu muda wa kunywa bia hizo kodi utaziripa wewe?
Chalamila : Samahani Mkuu nimekuelewa.
Mkuu: Na usinipigie simu tena.
Chalamila: Asante mkuu nimekuelewa nisamehe sana.

Kwa jinsi ninavyomjua huyo Mkuu kwa jinsi Matusi yalivyo Mlangoni mwa Mdomo wake na Viganjani ni lazima alimtukana tu.
 
Si kiherere ni tabia yake kukurupuka. Kama alivyowashambulia kimwili wale watoto wa shule
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…