mr chopa
JF-Expert Member
- Aug 26, 2016
- 5,297
- 13,678
Kosa lake lipi hapo
Sent from Tapatalk
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kosa lake lipi hapo
Kosa lake lipi hapoMadada poa pamoja na kwamba wanajiuza kuna muda wanachagua wanaume wa kulala nao, jifunze kwenda na upepo wa wakati husika.
Muda si mrefu umetoka kupinga yaliyo tokea Ngara
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa hapo kosa lake lipi
Mkuu lakini wanywaji wengi huzingatia masharti na taratibu ktk awamu za ulabu. Zikiingia vyema kichwani huwa juu ya sheria, hivyo hujikuta wanavunja masharti na taratibu zote, kinachobaki ni kuongea lugha ya Kiingereza kwa saana tu, kutoa ahadi za ajira kwa warembo, kucheza mziki na kukumbatia hovyo warembo.Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Albert Chalamila ametengua agizo la kufunga baa saa 3:00 usiku alilolitoa Aprili 17, 2020. Amesema uamuzi huo umefikiwa baada ya wamiliki wa baa kuweka mikakati ya kudhibiti virusi vya corona (kuweka vitakasa mikono, kuzingatia umbali) kwenye maeneo yao.
Na nyie Watawala Siku zingine muwe mnatuliza Kwanza Akili zenu hasa pale mnapowateua Wasaidizi wenu hawa Tanzania hii.
Wewe ni mwanamke?
Kama haujamfuatilia hauwezi kujua kosa lakeKosa lake lipi hapo
Sent from Tapatalk
Huyo mropokaji mpya huwa anajaribu kuvaa viatu vya mropokaji mkuu wa mzizimaView attachment 1422530
Hapo Jana Mh Chalamila aliweka utaratibu wa wanywaji wa Mbeya , kwa kutoa muda wa hadi saa 3 usiku wawe wamepukutika kwenye mabar , kwa hoja kwamba baada ya muda huo wengi wanakuwa wamelewa kiasi cha kukiuka kinachoitwa Social Distancing ili kuzuia maambukizi ya virusi vya Corona .
Lakini katika hali ya kushangaza leo hii amefuta amri hiyo , na kwamba wanywaji waendelee kupiga kilaji mpaka watakapotosheka , ili mradi wachukue tahadhari .
#Tuendelee kunawa mikono kwa maji Tiririka ili kuzuia maambukizi ya virusi vya corona
Unapoteza muda wako bure kubishana na hilo ingizo jipya la timu ya Mazuzu. Naona wewe ndo unakutana nalo kwa Mara ya kwanza.Hili ndilo Jibu lenye ' Logic ' katika Hoja yako nililolitaka? Nashukuru umeshanithibitishia jinsi ulivyo na Ubongo ' Mtupu ' Mkuu.
Hata mteuaji mwenyewe ni shida tupu, kifupi mteuaji na mteuliwa wote akili zao ziko sawaMkuu wa Mkoa wa Mbeya, Albert Chalamila ametengua agizo la kufunga baa saa 3:00 usiku alilolitoa Aprili 17, 2020. Amesema uamuzi huo umefikiwa baada ya wamiliki wa baa kuweka mikakati ya kudhibiti virusi vya corona (kuweka vitakasa mikono, kuzingatia umbali) kwenye maeneo yao.
Na nyie Watawala Siku zingine muwe mnatuliza Kwanza Akili zenu hasa pale mnapowateua Wasaidizi wenu hawa Tanzania hii.
Acha ni kuache, nitakuharibia uzi wako maana mwisho wa siku utabakia kutukana tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Kosa lake lipi hapo
Sent from Tapatalk
Sms ya saa saba usiku ilisomeka namna hii;
Mkuu : Hivi wewe unavyopunguzia watu muda wa kunywa bia hizo kodi utaziripa wewe?
Chalamila : Samahani Mkuu nimekuelewa.
Mkuu: Na usinipigie simu tena.
Chalamila: Asante mkuu nimekuelewa nisamehe sana.