Uchaguzi 2020 Mkuu wa Mkoa wa Morogoro awa nje kituo chake cha kazi kwa takriban mwezi mmoja kisa Ubunge wa Monduli

Uchaguzi 2020 Mkuu wa Mkoa wa Morogoro awa nje kituo chake cha kazi kwa takriban mwezi mmoja kisa Ubunge wa Monduli

Karaaaangaaaaaa Outtttttttttttttttttttttttttttttttttttttttttttttt,
 
Wanajamvi salama?

Wakati joto la uchaguzi likizidi kupanda hatimaye mkuu wa mkoa wa Morogoro bwana Loata Sanare amediriki kuwa nje ya kituo chake cha kazi mwezi mmoja sasa.

Nilizozipata asubuhi ya leo kutoka vyanzo vyangu zinàsema tokea ateuliwe amekuwa akisononeka sana moyoni na kuanza kumlaumu mh Rais kwa kumteua kuwa RC Morogoro kwani uteuzi huo ni sawa na kumkosesha ubunge wa Monduli.

Habari zadi zinasema tokea atoroke kwenye kituo chake cha kazi amekuwa akifanya vikao usiku kwa usiku lengo ni kumhujumu mbunge mh Julius Kalanga huku akijiapiza kuwa hatakama yeye Rc hatogombea atahakikisha mbunge wa sasa hatorudi bungeni.

Habari kutoka Morogoro zinaeleza tokea ameaga anaenda msibani Monduli hadi leo hajarudi kwenye kituo chake kazi huku mgogoro wa wakulima na wafugaji ukizidi kufuka moshi kwenye mkoa wake.

Habari zaidi zinasema wiki nzima amekuwa akitumia gari ya serikali kupita vijijini kuonana na wajumbe kuwashawishi kuwa wasije msahau kwani naye anaingia kwenye kinyanganyiro cha ubunge wa monduli huku uongozi wa chama wilaya ukimfumbia macho.ameendelea kujitapa zaidi kuwa hata rais na katibu mkuu wa chama wamempa baraka zote.

Ninaomba chama wilaya watoe tamko kuhusu huyu Sanare kwani amekuwa anafanya kampeni za wazi wazi kabla ya ratiba za bunge kuvunjwa.

Rc amekuwa akivuruga chama kuanzia ngazi ya wilaya hadi mkoa na mtakumbuka baada ya yeye kuteuliwa kura RC bado alirudi kuhakikisha anampinga mwenyekiti wa sasa wa mkoa wa arusha mh zelothe lakin bado hakufanikiwa.

Naomba chama Wilaya waliangalie hili kwa macho matatu kwani RC huyu anaivuruga wilaya ya Monduli badala ya kurudi kwenye kituo chake cha kazi kutatua migogoro inayofukuta moshi ndani ya mkoa wake
Wewe Karanga tulia tuliii Kwa huna Adabu wewe dogo umetukana wana monduli

Kwa taarifa yako usipoteze hela yako Kwa kampeni Bora ukale na mama yeyoo

Hatukupi kura tena ulitukana wasee wetu wewe Mjinga
 
Wanajamvi salama?

Wakati joto la uchaguzi likizidi kupanda hatimaye mkuu wa mkoa wa Morogoro bwana Loata Sanare amediriki kuwa nje ya kituo chake cha kazi mwezi mmoja sasa.

Nilizozipata asubuhi ya leo kutoka vyanzo vyangu zinàsema tokea ateuliwe amekuwa akisononeka sana moyoni na kuanza kumlaumu mh Rais kwa kumteua kuwa RC Morogoro kwani uteuzi huo ni sawa na kumkosesha ubunge wa Monduli.

Habari zadi zinasema tokea atoroke kwenye kituo chake cha kazi amekuwa akifanya vikao usiku kwa usiku lengo ni kumhujumu mbunge mh Julius Kalanga huku akijiapiza kuwa hatakama yeye Rc hatogombea atahakikisha mbunge wa sasa hatorudi bungeni.

Habari kutoka Morogoro zinaeleza tokea ameaga anaenda msibani Monduli hadi leo hajarudi kwenye kituo chake kazi huku mgogoro wa wakulima na wafugaji ukizidi kufuka moshi kwenye mkoa wake.

Habari zaidi zinasema wiki nzima amekuwa akitumia gari ya serikali kupita vijijini kuonana na wajumbe kuwashawishi kuwa wasije msahau kwani naye anaingia kwenye kinyanganyiro cha ubunge wa monduli huku uongozi wa chama wilaya ukimfumbia macho.ameendelea kujitapa zaidi kuwa hata rais na katibu mkuu wa chama wamempa baraka zote.

Ninaomba chama wilaya watoe tamko kuhusu huyu Sanare kwani amekuwa anafanya kampeni za wazi wazi kabla ya ratiba za bunge kuvunjwa.

Rc amekuwa akivuruga chama kuanzia ngazi ya wilaya hadi mkoa na mtakumbuka baada ya yeye kuteuliwa kura RC bado alirudi kuhakikisha anampinga mwenyekiti wa sasa wa mkoa wa arusha mh zelothe lakin bado hakufanikiwa.

Naomba chama Wilaya waliangalie hili kwa macho matatu kwani RC huyu anaivuruga wilaya ya Monduli badala ya kurudi kwenye kituo chake cha kazi kutatua migogoro inayofukuta moshi ndani ya mkoa wake
daah siasa hizi kwahiyo hata kama yuko likizo aendelee kuwa morogoro tu?
 
Amewahi kumsaliti nani na wapi?
Mwambieni huyo sanare wenu amuwe moja
Achie ukuu wa mkoa aje uwanjani kupambana na kalanga.ache kujificha ficha na kuita wajumbe usiku wa manane nyumbani kwake
Tulia mzee uchunwe ngozi ukiwa hai ulitukana wasee wetu wewe Mjinga
 
Wanajamvi salama?

Wakati joto la uchaguzi likizidi kupanda hatimaye mkuu wa mkoa wa Morogoro bwana Loata Sanare amediriki kuwa nje ya kituo chake cha kazi mwezi mmoja sasa.

Nilizozipata asubuhi ya leo kutoka vyanzo vyangu zinàsema tokea ateuliwe amekuwa akisononeka sana moyoni na kuanza kumlaumu mh Rais kwa kumteua kuwa RC Morogoro kwani uteuzi huo ni sawa na kumkosesha ubunge wa Monduli.

Habari zadi zinasema tokea atoroke kwenye kituo chake cha kazi amekuwa akifanya vikao usiku kwa usiku lengo ni kumhujumu mbunge mh Julius Kalanga huku akijiapiza kuwa hatakama yeye Rc hatogombea atahakikisha mbunge wa sasa hatorudi bungeni.

Habari kutoka Morogoro zinaeleza tokea ameaga anaenda msibani Monduli hadi leo hajarudi kwenye kituo chake kazi huku mgogoro wa wakulima na wafugaji ukizidi kufuka moshi kwenye mkoa wake.

Habari zaidi zinasema wiki nzima amekuwa akitumia gari ya serikali kupita vijijini kuonana na wajumbe kuwashawishi kuwa wasije msahau kwani naye anaingia kwenye kinyanganyiro cha ubunge wa monduli huku uongozi wa chama wilaya ukimfumbia macho.ameendelea kujitapa zaidi kuwa hata rais na katibu mkuu wa chama wamempa baraka zote.

Ninaomba chama wilaya watoe tamko kuhusu huyu Sanare kwani amekuwa anafanya kampeni za wazi wazi kabla ya ratiba za bunge kuvunjwa.

Rc amekuwa akivuruga chama kuanzia ngazi ya wilaya hadi mkoa na mtakumbuka baada ya yeye kuteuliwa kura RC bado alirudi kuhakikisha anampinga mwenyekiti wa sasa wa mkoa wa arusha mh zelothe lakin bado hakufanikiwa.

Naomba chama Wilaya waliangalie hili kwa macho matatu kwani RC huyu anaivuruga wilaya ya Monduli badala ya kurudi kwenye kituo chake cha kazi kutatua migogoro inayofukuta moshi ndani ya mkoa wake
Wivu wa kike unakusumbua.
Mh RC anafanya kazi nzuri sana Morogoro,kama umetumwa na Kebwe tujue.
Viva Loata Sanare.
Viva Magufuli.
 
Kaka naomba hiyo link manake sasahivi tumeshaanza kumtafutia ushahidi wa madudu yake anayofanya nje ya ofisi ambayo rais amempa lakini hataki kutulia bado anarudi kuhangaika jimboni.hadi leo tumeshindwa kujuwa huyu bwana nani anampa hicho kiburi.wakati wa uchaguzi wa mwenyekiti wa ccm mkoa wa arusha ulipofanyika alifunga safari kutoka moro goro kwa lengo la kuja kumfanyia kampeni mtu wake lakin nashukuru mh jafo waziri alienda kufanya ziara mkoani kwake lakin hakumkuta kwnye kituo chake cha kazi hali iliyopelekea waziri kumpigia simu mara na kumpa masaa awe amerudi kwenye kituo chake cha kazi
Cha ajabu Jaffo hana ubavu wa kumpigia simu Makonda na kumpa masharti/amri za aina hio.
 
Mkuu huyu tunamchuna ngosi akiwa hai alitukana wasee wetu
Ameen. Niliwaambia vijana, CHADEMA ndio sehemu pekee ambayo ukiwa na ushawishi tu kwa jamii inayokuzunguka unatoboa. Nina uhakika asilimia kubwa ya wabunge wa Chadema wangekuwa CCM hata udiwani wasingepata. Wacha tu waungue, wamechagua moto.
 
Acha uchochezi,binafisi nimekutana nae wiki iliyopita ofisini kwake,unaposema hayupo ofisini mwezi mzima unamaana gani???
 
Wanajamvi salama?

Wakati joto la uchaguzi likizidi kupanda hatimaye mkuu wa mkoa wa Morogoro bwana Loata Sanare amediriki kuwa nje ya kituo chake cha kazi mwezi mmoja sasa.

Nilizozipata asubuhi ya leo kutoka vyanzo vyangu zinàsema tokea ateuliwe amekuwa akisononeka sana moyoni na kuanza kumlaumu mh Rais kwa kumteua kuwa RC Morogoro kwani uteuzi huo ni sawa na kumkosesha ubunge wa Monduli.

Habari zadi zinasema tokea atoroke kwenye kituo chake cha kazi amekuwa akifanya vikao usiku kwa usiku lengo ni kumhujumu mbunge mh Julius Kalanga huku akijiapiza kuwa hatakama yeye Rc hatogombea atahakikisha mbunge wa sasa hatorudi bungeni.

Habari kutoka Morogoro zinaeleza tokea ameaga anaenda msibani Monduli hadi leo hajarudi kwenye kituo chake kazi huku mgogoro wa wakulima na wafugaji ukizidi kufuka moshi kwenye mkoa wake.

Habari zaidi zinasema wiki nzima amekuwa akitumia gari ya serikali kupita vijijini kuonana na wajumbe kuwashawishi kuwa wasije msahau kwani naye anaingia kwenye kinyanganyiro cha ubunge wa monduli huku uongozi wa chama wilaya ukimfumbia macho.ameendelea kujitapa zaidi kuwa hata rais na katibu mkuu wa chama wamempa baraka zote.

Ninaomba chama wilaya watoe tamko kuhusu huyu Sanare kwani amekuwa anafanya kampeni za wazi wazi kabla ya ratiba za bunge kuvunjwa.

Rc amekuwa akivuruga chama kuanzia ngazi ya wilaya hadi mkoa na mtakumbuka baada ya yeye kuteuliwa kura RC bado alirudi kuhakikisha anampinga mwenyekiti wa sasa wa mkoa wa arusha mh zelothe lakin bado hakufanikiwa.

Naomba chama Wilaya waliangalie hili kwa macho matatu kwani RC huyu anaivuruga wilaya ya Monduli badala ya kurudi kwenye kituo chake cha kazi kutatua migogoro inayofukuta moshi ndani ya mkoa wake
NI HABARIILA IMEKAA KIMBEA MBEA
 
Back
Top Bottom