Uchaguzi 2020 Mkuu wa Mkoa wa Morogoro awa nje kituo chake cha kazi kwa takriban mwezi mmoja kisa Ubunge wa Monduli

Uchaguzi 2020 Mkuu wa Mkoa wa Morogoro awa nje kituo chake cha kazi kwa takriban mwezi mmoja kisa Ubunge wa Monduli

Wanajamvi salama?

Wakati joto la uchaguzi likizidi kupanda hatimaye mkuu wa mkoa wa Morogoro bwana Loata Sanare amediriki kuwa nje ya kituo chake cha kazi mwezi mmoja sasa.

Nilizozipata asubuhi ya leo kutoka vyanzo vyangu zinàsema tokea ateuliwe amekuwa akisononeka sana moyoni na kuanza kumlaumu mh Rais kwa kumteua kuwa RC Morogoro kwani uteuzi huo ni sawa na kumkosesha ubunge wa Monduli.

Habari zadi zinasema tokea atoroke kwenye kituo chake cha kazi amekuwa akifanya vikao usiku kwa usiku lengo ni kumhujumu mbunge mh Julius Kalanga huku akijiapiza kuwa hatakama yeye Rc hatogombea atahakikisha mbunge wa sasa hatorudi bungeni.

Habari kutoka Morogoro zinaeleza tokea ameaga anaenda msibani Monduli hadi leo hajarudi kwenye kituo chake kazi huku mgogoro wa wakulima na wafugaji ukizidi kufuka moshi kwenye mkoa wake.

Habari zaidi zinasema wiki nzima amekuwa akitumia gari ya serikali kupita vijijini kuonana na wajumbe kuwashawishi kuwa wasije msahau kwani naye anaingia kwenye kinyanganyiro cha ubunge wa monduli huku uongozi wa chama wilaya ukimfumbia macho.ameendelea kujitapa zaidi kuwa hata rais na katibu mkuu wa chama wamempa baraka zote.

Ninaomba chama wilaya watoe tamko kuhusu huyu Sanare kwani amekuwa anafanya kampeni za wazi wazi kabla ya ratiba za bunge kuvunjwa.

Rc amekuwa akivuruga chama kuanzia ngazi ya wilaya hadi mkoa na mtakumbuka baada ya yeye kuteuliwa kura RC bado alirudi kuhakikisha anampinga mwenyekiti wa sasa wa mkoa wa arusha mh zelothe lakin bado hakufanikiwa.

Naomba chama Wilaya waliangalie hili kwa macho matatu kwani RC huyu anaivuruga wilaya ya Monduli badala ya kurudi kwenye kituo chake cha kazi kutatua migogoro inayofukuta moshi ndani ya mkoa wake
Siupige ile namba? Au kuchafuana2
 
NI HABARIILA IMEKAA KIMBEA MBEA

Mwambieni kwanza akajifunze kuongoza
Hatutaki kiongozi anayewagawa wananchi
Hizo hasira za kunyimwa ardhi monduli kwajili ya kutaka kujinufaisha na familia yake apeleke huko
Kalanga atapita mchana kweupe wala hawezi kututisha
 
Wanajamvi salama?

Wakati joto la uchaguzi likizidi kupanda hatimaye mkuu wa mkoa wa Morogoro bwana Loata Sanare amediriki kuwa nje ya kituo chake cha kazi mwezi mmoja sasa.

Nilizozipata asubuhi ya leo kutoka vyanzo vyangu zinàsema tokea ateuliwe amekuwa akisononeka sana moyoni na kuanza kumlaumu mh Rais kwa kumteua kuwa RC Morogoro kwani uteuzi huo ni sawa na kumkosesha ubunge wa Monduli.

Habari zadi zinasema tokea atoroke kwenye kituo chake cha kazi amekuwa akifanya vikao usiku kwa usiku lengo ni kumhujumu mbunge mh Julius Kalanga huku akijiapiza kuwa hatakama yeye Rc hatogombea atahakikisha mbunge wa sasa hatorudi bungeni.

Habari kutoka Morogoro zinaeleza tokea ameaga anaenda msibani Monduli hadi leo hajarudi kwenye kituo chake kazi huku mgogoro wa wakulima na wafugaji ukizidi kufuka moshi kwenye mkoa wake.

Habari zaidi zinasema wiki nzima amekuwa akitumia gari ya serikali kupita vijijini kuonana na wajumbe kuwashawishi kuwa wasije msahau kwani naye anaingia kwenye kinyanganyiro cha ubunge wa monduli huku uongozi wa chama wilaya ukimfumbia macho.ameendelea kujitapa zaidi kuwa hata rais na katibu mkuu wa chama wamempa baraka zote.

Ninaomba chama wilaya watoe tamko kuhusu huyu Sanare kwani amekuwa anafanya kampeni za wazi wazi kabla ya ratiba za bunge kuvunjwa.

Rc amekuwa akivuruga chama kuanzia ngazi ya wilaya hadi mkoa na mtakumbuka baada ya yeye kuteuliwa kura RC bado alirudi kuhakikisha anampinga mwenyekiti wa sasa wa mkoa wa arusha mh zelothe lakin bado hakufanikiwa.

Naomba chama Wilaya waliangalie hili kwa macho matatu kwani RC huyu anaivuruga wilaya ya Monduli badala ya kurudi kwenye kituo chake cha kazi kutatua migogoro inayofukuta moshi ndani ya mkoa wake
Kalanga ulidhani unarudi Bungeni? Wewe ni matunda ya upepp ambao ulishapoa kwahiyo kazi yako kwisha
 
Kalanga anatapatapa maji yamemfika shingoni. Huku silalei hatutaki hata kumsikia

Hakuna mahali wanamkubali kalanga kama hiyo kata yenu ya esilalei.tunajuwa mnadanganyana na kwa taarifa tulizo nazo tu huyo sanare wenu wameamuwa kumuunga mkono mtoto wa lowasa lakini tunawasubiri uwanjani
 
Kalanga anatapatapa maji yamemfika shingoni. Huku silalei hatutaki hata kumsikia
Hafai mkuu kijana hana Adabu kabsaa
Mtoto anasaliwa tunaona Leo anatukana wasee wetu
Akija tutampiga
 
Mgambo wanaruka nakukanyagana,ongeza kuni tukoleze moto.
 
Kalanga acha unaaa kaka
Weee ni kati ya wabunge hewa uliyewai kuitawala Monduli
Nana uhakika hutorudii Bungeni
Huwezii kututukana sisi wananchi wa Mondulii na ndio utaacha kujisikiaa
Kijana mdogo unanyata kama hujui umezaliwa wapiii
Utawajua tui watu waliojulia hela ukubwanii

PILI Loata akirudi Monduli inakuhusu nini
Si nyimbani kwake.
Uku wa Mkoa nitaasisi si mtu mmojaa
Kwa hiyo kaa kimyaa tukufundishe utumishi.
Siasa za Monduli ni za ajabu sana. Hakuna dira wala malengo bali ni kuabudiana tu. Mkuu leo atakuwa kwenye msiba boma fulani tukampe joto. Mkuu leo atakuwa pale Engutoto au Emanyata twendeni pale tuwakomeshe wale wapambe wa Makuyuni. Upuuzi mtupu.

Monduli miaka nenda rudi iko vile vile hata ule mji mdogo wa Mto wa Mbu una afadhali. Kisa nani ni nani na anamuunga mkono nani au kundi gani.

Acheni ushamba jengeni Monduli yenu kwani ni kwa faida ya wote na si kama mfanyavyo hivi sasa kama Monduli ni ya Watu fulani pale Monduli Centre. Mpeni mtu mwenye sifa za uongozi bila kuangalia anatokea kundi gani. Awe wa Engaruka Mto wa Mbu Silale Makuyuni Mbuyuni kwa Sironga au maeneo mengine mpeni mradi ana sifa. Siyo kuhamishana vituo vya kazi eti uwe mbali na siasa za pale. Mf kuna Bw mmoja aliyewahi kuonyesha nia ya kutaka kuwa kwenye siasa za Monduli aliishia kupelekwa Kiteto kikazi. Sasa ninaamini kama alikuwa na nia basi hiki ndiyo kipindi chake. Asahau yale yote yaliyompata kwenye kinyang'anyiro cha Udiwani Kata ya Makuyuni. Wale Wafitini wake wemefitinika wenyewe hawana nguvu tena. Kama ni Simba amekwishang'olewa meno. Amebaki kupanua mdomo tu.

Mimi si wa Monduli ila nimefanya kazi miaka ya kutosha na hivi sasa nina mashamba maeneo fulani (sitaji). Hivyo nawafahamu sana. Hata kijana wa Mzee (mzee ni mmoja tu Monduli) nae amekwishaonyesha nia.
 
Kaka naomba hiyo link manake sasahivi tumeshaanza kumtafutia ushahidi wa madudu yake anayofanya nje ya ofisi ambayo rais amempa lakini hataki kutulia bado anarudi kuhangaika jimboni.hadi leo tumeshindwa kujuwa huyu bwana nani anampa hicho kiburi.wakati wa uchaguzi wa mwenyekiti wa ccm mkoa wa arusha ulipofanyika alifunga safari kutoka moro goro kwa lengo la kuja kumfanyia kampeni mtu wake lakin nashukuru mh jafo waziri alienda kufanya ziara mkoani kwake lakin hakumkuta kwnye kituo chake cha kazi hali iliyopelekea waziri kumpigia simu mara na kumpa masaa awe amerudi kwenye kituo chake cha kazi
Pole sana Mkuu. Ila muache tu aendelee na majukumu yake wewe pambana uingie kwenye kinyang'anyiro na mtoto wa Mzee. Kwa upade wa Kalanga habari yake imekwisha. Kwa tetezi nilizozipata ni kwamba safari hii Mbunge anatakiwa atoke Kata ya Makuyuni ili kumaliza/kutatua tatizo la maji na mgogoro wa ardhi. Nafikiri hata wewe mwenyewe hilo umelisikia na ndiyo maana Watia nia wote walihudhuria mazishi ya Oloiboni ili kujinadi nawe ukiwa mmoja wao.

Hapo ni ushahidi tosha kuwa sibahatishi siasa za Monduli.
 
Siasa za Monduli ni za ajabu sana. Hakuna dira wala malengo bali ni kuabudiana tu. Mkuu leo atakuwa kwenye msiba boma fulani tukampe joto. Mkuu leo atakuwa pale Engutoto au Emanyata twendeni pale tuwakomeshe wale wapambe wa Makuyuni. Upuuzi mtupu.

Monduli miaka nenda rudi iko vile vile hata ule mji mdogo wa Mto wa Mbu una afadhali. Kisa nani ni nani na anamuunga mkono nani au kundi gani.

Acheni ushamba jengeni Monduli yenu kwani ni kwa faida ya wote na si kama mfanyavyo hivi sasa kama Monduli ni ya Watu fulani pale Monduli Centre. Mpeni mtu mwenye sifa za uongozi bila kuangalia anatokea kundi gani. Awe wa Engaruka Mto wa Mbu Silale Makuyuni Mbuyuni kwa Sironga au maeneo mengine mpeni mradi ana sifa. Siyo kuhamishana vituo vya kazi eti uwe mbali na siasa za pale. Mf kuna Bw mmoja aliyewahi kuonyesha nia ya kutaka kuwa kwenye siasa za Monduli aliishia kupelekwa Kiteto kikazi. Sasa ninaamini kama alikuwa na nia basi hiki ndiyo kipindi chake. Asahau yale yote yaliyompata kwenye kinyang'anyiro cha Udiwani Kata ya Makuyuni. Wale Wafitini wake wemefitinika wenyewe hawana nguvu tena. Kama ni Simba amekwishang'olewa meno. Amebaki kupanua mdomo tu.

Mimi si wa Monduli ila nimefanya kazi miaka ya kutosha na hivi sasa nina mashamba maeneo fulani (sitaji). Hivyo nawafahamu sana. Hata kijana wa Mzee (mzee ni mmoja tu Monduli) nae amekwishaonyesha nia.

Unafahamika vizuri sana wala hutupi shida
Na tunafahamu wewe ndo uliyehamishwa
Kalanga ndio mbunge wetu tena kwa miaka mitano hadi achoke mwenyewe
 
Hafai mkuu kijana hana Adabu kabsaa
Mtoto anasaliwa tunaona Leo anatukana wasee wetu
Akija tutampiga

Mbunge kazi yake ni kuwakilisha wananchi ulitaka aje nyumani kwako akupikie ndio uone ana adabu
 
Unafahamika vizuri sana wala hutupi shida
Na tunafahamu wewe ndo uliyehamishwa
Kalanga ndio mbunge wetu tena kwa miaka mitano hadi achoke mwenyewe
Wewe vp hugombei tena?? Kalanga hata yeye mwenyewe anajijua. Mimi nakuunga mkono wewe kwani hata kipindi kile cha Udiwani wa Makuyuni nilikupambania lkn Wafitini wako wakatuzidi nguvu kwenye ngazi ya Mkoa.
Achana na Kalanga wewe pambana nitakuunga mkono.

Mbunge lazimza atoke Kata ya Makuyuni. Sasa wewe wa Mbuyuni kwa Sironga lazima ni zamu yenu. Hakuna mbadala ukilinganisha na elimu yako mkuu. Au hujioni nini??
Achana na siasa za makundi ya pale Engutoto na Emanyata. Tumia elimu yako mkuu.
 
Wewe vp hugombei tena?? Kalanga hata yeye mwenyewe anajijua. Mimi nakuunga mkono wewe kwani hata kipindi kile cha Udiwani wa Makuyuni nilikupambania lkn Wafitini wako wakatuzidi nguvu kwenye ngazi ya Mkoa.
Achana na Kalanga wewe pambana nitakuunga mkono.

Mbunge lazimza atoke Kata ya Makuyuni. Sasa wewe wa Mbuyuni kwa Sironga lazima ni zamu yenu. Hakuna mbadala ukilinganisha na elimu yako mkuu. Au hujioni nini??
Achana na siasa za makundi ya pale Engutoto na Emanyata. Tumia elimu yako mkuu.

Halaiser nyakati zinabadilika kaka.
Japo nafikir unanichanganya.mimi siishi monduli lakin wananchi wananipigia simu wanavyo ona mbunge wao akihujumiwa na wajinga wajinga wasio itakiwa monduli mema
 
Najua unaishi Arusha na hivi sasa kikazi uko Kipaya nafikiri umenipata. Nina matumaini makubwa kwako this time. Tutaonana muda ukifika.
Halaiser nyakati zinabadilika kaka.
Japo nafikir unanichanganya.mimi siishi monduli lakin wananchi wananipigia simu wanavyo ona mbunge wao akihujumiwa na wajinga wajinga wasio itakiwa monduli mema
 
Wanajamvi salama?

Wakati joto la uchaguzi likizidi kupanda hatimaye mkuu wa mkoa wa Morogoro bwana Loata Sanare amediriki kuwa nje ya kituo chake cha kazi mwezi mmoja sasa.

Nilizozipata asubuhi ya leo kutoka vyanzo vyangu zinàsema tokea ateuliwe amekuwa akisononeka sana moyoni na kuanza kumlaumu mh Rais kwa kumteua kuwa RC Morogoro kwani uteuzi huo ni sawa na kumkosesha ubunge wa Monduli.

Habari zadi zinasema tokea atoroke kwenye kituo chake cha kazi amekuwa akifanya vikao usiku kwa usiku lengo ni kumhujumu mbunge mh Julius Kalanga huku akijiapiza kuwa hatakama yeye Rc hatogombea atahakikisha mbunge wa sasa hatorudi bungeni.

Habari kutoka Morogoro zinaeleza tokea ameaga anaenda msibani Monduli hadi leo hajarudi kwenye kituo chake kazi huku mgogoro wa wakulima na wafugaji ukizidi kufuka moshi kwenye mkoa wake.

Habari zaidi zinasema wiki nzima amekuwa akitumia gari ya serikali kupita vijijini kuonana na wajumbe kuwashawishi kuwa wasije msahau kwani naye anaingia kwenye kinyanganyiro cha ubunge wa monduli huku uongozi wa chama wilaya ukimfumbia macho.ameendelea kujitapa zaidi kuwa hata rais na katibu mkuu wa chama wamempa baraka zote.

Ninaomba chama wilaya watoe tamko kuhusu huyu Sanare kwani amekuwa anafanya kampeni za wazi wazi kabla ya ratiba za bunge kuvunjwa.

Rc amekuwa akivuruga chama kuanzia ngazi ya wilaya hadi mkoa na mtakumbuka baada ya yeye kuteuliwa kura RC bado alirudi kuhakikisha anampinga mwenyekiti wa sasa wa mkoa wa arusha mh zelothe lakin bado hakufanikiwa.

Naomba chama Wilaya waliangalie hili kwa macho matatu kwani RC huyu anaivuruga wilaya ya Monduli badala ya kurudi kwenye kituo chake cha kazi kutatua migogoro inayofukuta moshi ndani ya mkoa wake
Toka hapaaa wewe Julius kalanga fanya na wewe kampeni kama unaweza!
 
Week video au Audio tuone

Nakuhakikishia hili haipiti wiki tunakuwekea sauti yake hapa na watu anaowasiliana nao kwa simu.mara ya mwisho amekaa na wajumbe kwenye bar maarufu sana hapo monduli akawachomea nyama na akawapa rushwa
Tuna habari zake ya vikao anavyofanya na mwenyekiti wa chama wilaya monduli kila pale tembo club taarifa zote tunazo
 
Back
Top Bottom