Kichuguu
Platinum Member
- Oct 11, 2006
- 17,048
- 22,790
This case is closed.!!!
Kwa vile Ditopile ni mtu wa serikali na ndiyo hiyo hiyo inayomshitaki, ni wazi kuwa marehemu Mbonde hana mteteaji katika hili; amekufa kibudu na Mheshimiwa Ditopile atarudi mitaani kimyakimya tu.
DPP amehalalisha matumizi ya silaha hadharani. Yaani leo hii ukiwa na kisu (wananchi hawatembei na bastola) halafu mtu akakutukana huyo ni halali yako kuchinja. Ditopile alikuwa mwepesi sana wa matusi, kwa hiyo na yeye kumbe alikuwa halali ya aliokuwa akiwatukana. Sidhani kama DPP alitumia utaalamu wake sawasawa wa sheria au labda alishinikizwa kutafuta maarifa ya kumpunguzia mheshimiwa kosa. Ninadhani kuwa alishinikizwa na ndiyo maana akakimbilia kujitetea.
Ninapenda sheria ya Florida: Inaitwa 10 - 20 -LIFE.
Ukimlenga mtu kwa bunduki: miaka kumi jela.
Ukifyatua risasi hata kama haikumpaa mtu : miaka 20 jela
Ukimjeruhi mtu kwa risasi: Unafungwa maisha.
Ukiua Unanyongwa kwa sindano ya sumu.
Kwa vile Ditopile ni mtu wa serikali na ndiyo hiyo hiyo inayomshitaki, ni wazi kuwa marehemu Mbonde hana mteteaji katika hili; amekufa kibudu na Mheshimiwa Ditopile atarudi mitaani kimyakimya tu.
DPP amehalalisha matumizi ya silaha hadharani. Yaani leo hii ukiwa na kisu (wananchi hawatembei na bastola) halafu mtu akakutukana huyo ni halali yako kuchinja. Ditopile alikuwa mwepesi sana wa matusi, kwa hiyo na yeye kumbe alikuwa halali ya aliokuwa akiwatukana. Sidhani kama DPP alitumia utaalamu wake sawasawa wa sheria au labda alishinikizwa kutafuta maarifa ya kumpunguzia mheshimiwa kosa. Ninadhani kuwa alishinikizwa na ndiyo maana akakimbilia kujitetea.
Ninapenda sheria ya Florida: Inaitwa 10 - 20 -LIFE.
Ukimlenga mtu kwa bunduki: miaka kumi jela.
Ukifyatua risasi hata kama haikumpaa mtu : miaka 20 jela
Ukimjeruhi mtu kwa risasi: Unafungwa maisha.
Ukiua Unanyongwa kwa sindano ya sumu.