I can understand it being an accident if the daladala driver was 20 or 30 meters away...lakini that was close to being point blank.Sasa yeye Dito hakujua kuwa alichoshika ni silaha? He is a trained military man,he is well aware of all the safety features and procedures.Wengi tumepitia JKT, na tunajua vizuri kitu cha kwanza muhimu kwenye silaha ni usalama.
Kwa hio in other words tukisema hii ni accident,then arent we setting a precendent? Wenye silaha binafsi(bastola) ni zaidi ya 10,000 hapa Tz If only a 3rd of those practised the same irresponsibility as did Dito and claim ni ajali,tutakuwa wapi?Tuangalie the whole process ya bastola kufyatua risasi: kwanza it has to be drawn,then it has to be cocked(bullet in chamber,it is dangerous having it there without intent of firing),the safety has to be off,vitu vyote hivi Dito kafanya kabla ya kuifyatua hio risasi.sasa kama kweli alikuwa anataka kumtishia,kwa nini asingepiga risaisi hewani?Kwangu mimi hapa sioni alichukua precautions gani za kutojaribu kumdhuru marehemu,hivyo kwa maoni yangu ni kwamba alidhamiria.Na bastola ni muhimu kwenye kesi ya mauaji,maana lazima iende kwenye kitengo cha ballistics polisi ili waweze ku-determine kuwa ile risasi iliyomuua marehemu ilitoka kwenye bastola ya mtuhumiwa.
Kwa hio in other words tukisema hii ni accident,then arent we setting a precendent? Wenye silaha binafsi(bastola) ni zaidi ya 10,000 hapa Tz If only a 3rd of those practised the same irresponsibility as did Dito and claim ni ajali,tutakuwa wapi?Tuangalie the whole process ya bastola kufyatua risasi: kwanza it has to be drawn,then it has to be cocked(bullet in chamber,it is dangerous having it there without intent of firing),the safety has to be off,vitu vyote hivi Dito kafanya kabla ya kuifyatua hio risasi.sasa kama kweli alikuwa anataka kumtishia,kwa nini asingepiga risaisi hewani?Kwangu mimi hapa sioni alichukua precautions gani za kutojaribu kumdhuru marehemu,hivyo kwa maoni yangu ni kwamba alidhamiria.Na bastola ni muhimu kwenye kesi ya mauaji,maana lazima iende kwenye kitengo cha ballistics polisi ili waweze ku-determine kuwa ile risasi iliyomuua marehemu ilitoka kwenye bastola ya mtuhumiwa.