Nyankurungu2020
JF-Expert Member
- Oct 2, 2020
- 4,170
- 6,757
- Thread starter
-
- #121
Ahaaa, hizo sheria na taratibu zinafuatwa kwa niaba ya rais. Hujui hilo?Nimecheka kwa nguvu, kwahiyo picha ya rais iko ukutani maana ni Mungu?! Kwahiyo ukizingua hakuna sheria za kukuwajibisha, bali mpaka rais akuchukulie hatua kali?
Peleka upuuzi huko!Mkuu kwenye hii hospital ninayofanyia kazi siku hizi tunaingia ofisi 07:30 then tunakuwa na vikao vya Morning Report mpaka 09:00 hadi 09:30.
Hapo mtaenda kuhudumia wagonjwa hadi kwenye 10:30 halafu watu wanaenda canteen kunywa chai. Chai inanyweka huku stori zinapigwa hata mpaka 12:00 hivi au zaidi.
Mkirudi mnafanya kazi saa moja au moja na nusu mnarudi canteen kupata lunch ndio mpaka saa 15:30 watu wanarudi ku-sign out. Siku imeisha.
Hiyo ndio nidhamu ya moyoni ya hawa Watanzania hapa nilipo. Enzi za Magufuli tulinyooshwa na kazi zilifanyika kwa weledi knowing ukizingua imekula kwako.
RIP Magufuli.
Actually Rais ni msimamizi wa kila mmoja.Sasa hakuna nchi duniani iliyoendelea kwa mfumo huo mnaotaka wa Rais kuwa msimamizi wa madaktari, manesi, walimu, TRA, polisi, immigration, kilimo n.k
Tafufuteni mfumo mwingine, miaka 60 imetosha kuwapa funzo.
Tuige uongozi wake imara.Huna lolote chawa wa marehemu wewe unampambania mfu? Kwa hivyo unataka afufuke aje aongoze tena au unatakaje?
Usukuma unaingiaje hapa?Usukuma unakusumbua haki! 'Sang'udi'
Enzi za Magufuli hakuwahi kuja hospitalini kwetu ila kulikuwa na nidhamu ya kutosha! Ukiwa kiongozi imara na taasisi zote zinakuwa imara.Peleka upuuzi huko!
Sio kazi ya mkuu wa nchi kufanya micromanagement!
Huhitaji kunyooshwa na ng'ombe yoyote. Wewe na mkuu wako wa kazi jifunzeni majukumu yenu.
Hii nchi imejaa ujinga sana.
Jiandaeni kushuka na kuwa nchi maskini tena, muda si mrefu subiri IMF wafanya kikokotoo chao, mtatafuta pa kujifichaPeleka upimbi huko.
Ni ushamba na ujinga unawasumbua.
Hauhitaji ukali wala kuogopwa ili kuongoza nchi kwa mafanikio.
Tumekuwa tukisisitiza, nchi hii inahitaji taasisi imara. Na sio tu taasisi imara lakini hata ile mihimili mitatu iwe huru na imara.
Ujinga wa ukali, kufoka na kutishiana, mkafanyiane huko na michepuko yenu. Pumbavu.
Kwani Katiba ya JMT ya mwaka 1977 inasemaje kuhusu sifa za Rais? Je haul unayoyataja yapo?Mkuu wa nchi ambae ndio ndio custodian wa mali za taifa la watanzania kudai kuwa hawezi kufokea mtumishi wa umma ni kushangaza umma wa watanzania.
Kwamba watumishi wa umma wakiharibu atawabembeleza?
Nimekaa na wazee wengi waliofanya kazi na hayati Julius Nyerere wanasema wazi kuwa Mwalimu alikuwa mkali sana.
Ilitokea akikuita kwake Msasani au Ikulu ilikuwa lazima upate wasiwasi na woga mkuu.
Wengine aliwaita kuwapongeza lakini hawakuamini walichoitiwa wapo pia aliowafokea hadaharani au hata kifichoni.
Kwamba mkuu wa nchi unafanya kazi kwa kuonea aibu wateule wako? Kwamba utakuwa unawabembeleza?
Mbona hii sio sawa? Mkuu wa kaya lazima uwe mkali ili nidhamu ipatikane kuanzia juu mpaka chini.
Hatusemi ufokee watu kama watoto wako. Bali uwe na maamuzi na maelekezo yenye kuonyesha kuwa kuna kiongozi mwenye mamlaka aisiyetaka mzaha na anataka watu wafanye kazi.
Mfano, tulitegemea umkaripie January Makamba maana mradi wa JNHP unaweweseka kama vile hauna manufaa kwa wanaCcM wenzake.
Haya ndiyo yanayotokea hivi sasa hapa nchini, Mama yu mpole akisingizia vita vya Ukraine na urusi na sasa swaumu eti hataki kuwakaripia viongozi useless serikalini. Matokeo yake sasa huko serikalini tumerudi kwenye zama zile zile za awali, wafanyakazi wako incomptent, rushwa imeshamiri kila upande tena nje nje. Mama anaturudisha nyuma sana kimaendeleo.Mkuu wa nchi ambae ndio ndio custodian wa mali za taifa la watanzania kudai kuwa hawezi kufokea mtumishi wa umma ni kushangaza umma wa watanzania.
Kwamba watumishi wa umma wakiharibu atawabembeleza?
Nimekaa na wazee wengi waliofanya kazi na hayati Julius Nyerere wanasema wazi kuwa Mwalimu alikuwa mkali sana.
Ilitokea akikuita kwake Msasani au Ikulu ilikuwa lazima upate wasiwasi na woga mkuu.
Wengine aliwaita kuwapongeza lakini hawakuamini walichoitiwa wapo pia aliowafokea hadaharani au hata kifichoni.
Kwamba mkuu wa nchi unafanya kazi kwa kuonea aibu wateule wako? Kwamba utakuwa unawabembeleza?
Mbona hii sio sawa? Mkuu wa kaya lazima uwe mkali ili nidhamu ipatikane kuanzia juu mpaka chini.
Hatusemi ufokee watu kama watoto wako. Bali uwe na maamuzi na maelekezo yenye kuonyesha kuwa kuna kiongozi mwenye mamlaka aisiyetaka mzaha na anataka watu wafanye kazi.
Mfano, tulitegemea umkaripie January Makamba maana mradi wa JNHP unaweweseka kama vile hauna manufaa kwa wanaCcM wenzake.
huo upumbavu pelekeni chato sio kwa watu wenye akili utupeleke kama mbuziHakuna Mtanzania anayependa kufanya kazi bila kusukumwa.
Ndio maana sasa hivi ubora wa huduma za umma umeshuka sana.
Tunapewa majibu ya hovyo na hatuna cha kuwafanya.
Ndio Magufuli alikuwa Hana hayo yote ila hatukuwahi kuona umeme unakatika hovyo , inflation rate Leo Ni kubwa kuliko miaka mitano nyuma.Kiongozi Ukiwa mwadilifu,mpen da haki,muwazi, unauependa matokeo mazuri.na makubwa, ...honest,Integrity,principled(Kingereza kwa msisitizo) ...watu watakuogopa by Default...!
JPM hakuwa na hayo ,kama alikuwa nayo kidogo sana ....yeye aliogopwa Kwa kuwa alikuwa mkali ,anatisha,haaminiki,hatabiriki,roho Mbaya,fyatu.....Ili uelewe ZAIDI ilikuwa mi sawa na Mtu Mwenye Sura Mbaya ambaye watoto hutishiwa wasifanye Kitu Fulani!
Nyerere alikuwa anaogopwa kutokana na uadilifu wake,matendo yake mazuri Kwa umma yalimfanya atishe....tena waliokuwa wanamwogopa ZAIDI,ni wazembe,wasio waadilifu ...wasiojiamini...vilaza!
Unafikiri Mtei,Sokoine au Kambona Walikuwa wanamwogopa...Tafuta picha za Nyerere na Sokoime uone body language ya Mwalimu AKIWA na Sokoine [emoji16]
Bahati Mbaya hivi vitu havilazimishwi vinakuja tu na Karama kutoka Kwa Mungu!
Ukilazimisha itafikia kuanzaa kutesa,kukandamiza watu ,pengine hata kuua!
Kwa Chief Hangaya...wote mnamjua ...no comment?[emoji2960][emoji2960][emoji16][emoji16]
Mwisho,hata sisi wananchi tupo tulio na Karama hizo...basi tu hatujapewa jukwaa ,Ndio maana Tunadai Katiba Mpya Ili I- Gorvene ' Uendeshaji wa Nchi ..kuwathibiti Makarmastili kama Nyerere na wale wanaotaka kuwa Makarasmatiki kimichongo!
Na wasio eleweka pia !
Mungu Ibariki TANZANIA!
Uzuri uhalisia hubakia uhalisia hata kama utaukataa.huo upumbavu pelekeni chato sio kwa watu wenye akili utupeleke kama mbuzi
Swala la ajira halitokani na mawazo ya mtu linatokana na sera ya kimataifa na ndio maana kuna sheria za ILO zinazo walinda watumishi ulimwenguni
Ingekuwa hali iko hivyo kama unavyotaka wewe basi watu wengi wange pata ajira kwa kutoa papuchi na wangefukuzwa kazi kwa kugoma kutoa papuchi
Huwezi ukaweka rehani ajira ya mtu aliyo isomea kwa miaka zaid ya kumi iwe chini ya mti mmoja ambaye hujui kesho ataamkaje.
Kama unapenda maisha ya unyapara nenda kaishi jela. Fullstop.Mkuu wa nchi ambae ndio ndio custodian wa mali za taifa la watanzania kudai kuwa hawezi kufokea mtumishi wa umma ni kushangaza umma wa watanzania.
Kwamba watumishi wa umma wakiharibu atawabembeleza?
Nimekaa na wazee wengi waliofanya kazi na hayati Julius Nyerere wanasema wazi kuwa Mwalimu alikuwa mkali sana.
Ilitokea akikuita kwake Msasani au Ikulu ilikuwa lazima upate wasiwasi na woga mkuu.
Wengine aliwaita kuwapongeza lakini hawakuamini walichoitiwa wapo pia aliowafokea hadaharani au hata kifichoni.
Kwamba mkuu wa nchi unafanya kazi kwa kuonea aibu wateule wako? Kwamba utakuwa unawabembeleza?
Mbona hii sio sawa? Mkuu wa kaya lazima uwe mkali ili nidhamu ipatikane kuanzia juu mpaka chini.
Hatusemi ufokee watu kama watoto wako. Bali uwe na maamuzi na maelekezo yenye kuonyesha kuwa kuna kiongozi mwenye mamlaka aisiyetaka mzaha na anataka watu wafanye kazi.
Mfano, tulitegemea umkaripie January Makamba maana mradi wa JNHP unaweweseka kama vile hauna manufaa kwa wanaCcM wenzake.
Nimecheka kwa nguvu, kwahiyo picha ya rais iko ukutani maana ni Mungu?! Kwahiyo ukizingua hakuna sheria za kukuwajibisha, bali mpaka rais akuchukulie hatua kali?
Magufuli alikuwa Mrundi, huu ndio ukweli na utabaki hivyo.Usukuma unaingiaje hapa?
Kwani Wasukuma wote wanampenda Magufuli?
Makabila mengine hawampendi?
Halafu unajua Magufuli mwenyewe hata hakuwa Msukuma!!!