Mkuu wa Shule na Mzazi wa Mwanafunzi walinitengenezea zengwe hadi nikafukuzwa kazi

Mkuu wa Shule na Mzazi wa Mwanafunzi walinitengenezea zengwe hadi nikafukuzwa kazi

1. Ndiyo nilikuwa na ukaribu naye lakini wa kawaida sana.
2. Amewahi kuuza duka langu mara mbili, baada ya vipindi kabla ya saa kumi na mbili.
3. Naamini ni baada ya kupoteza uelekeo na kutokujua hasa ni kitu gani walichokuwa wanakihitaji kwa ajili ya mtoto, kwa sababu baada ya kesi kugeuzwa hakuna aliyeendelea kufuatilia tatizo la usajili na mtoto HAKUSAJILIWA moja kwa moja.

1.. umewahi kuwa karibu na huyo bint?
2. Mara ngapi amekuwa akiuza duka lako au wakati gani?
3. Kama ulikuwa msaada kwa mama na baba wa mtoto imekuaje nao wakugeuke ikiwa hakukuwa na nia yoyote ovu kwa mtoto?
 
Naomba uniweke wazi ulichokigundua kinafichwa, naamini itakuwa ni msaada kwangu
Wote hawawezi kutumia nguvu na resources against you bila ya sababu ya msingi, viongozi wako wanasababu ya kuku-pin vipi kuhusu hao uliokua unawasaidia? Kama ni ushahidi wa kutengeneza mashimo yangekua mengi na ingeonekana kuanzia mwanzo kwamba kuna kitu hakipo sawa , na ubaya zaidi mashahidi walikua wanahojiwa mbele yako , embu tuambie ukiacha ushahidi wa maneno kipi kingine wanakitumia kama ushahidi?
 
Mbona kama hukumu imefanyika mapema sana?, kesi ya kumfukuza mtumishi sio mchezo, kuna kitu hapa
 
Mh maelezo yanatia uwalakini kidogo. Iweje watu wote hao wakubaliane kirahisi na uongo wa mkuu wa shule?
Kuanzia mzazi, mwanafunzi, mratibu, afisa elimu na tcs? Hata walimu wenzio wanaojua ukweli walishindwa kabisa kupenyeza taarifa kwa wahusika au ndo wote hao walipangwa na mkuu wa shule au wote hao wana chuki? Kufukuzwa kazi serikalini siyo ishu rahisi hata kidogo kuna jambo nyuma ya pazia ambalo hauko tayari kuliweka wazi
Nakubaliana nawewe mkuu. Hapo pia sijaona pccb kuhusika.

Ila mjue hawa watu wapo wanaroho mbaya sana.

Nashauri ukiwaunauhakika mwanamke ana ushahidi japo kwa kesi hii mumewe atakuwa amempiga mkwara hevi akae mbale nawe ama sivyo atamuacha na mwanawe.

Kwa namna nilivyoelewa mwanamke alifiwa akaoelewa..naona pia aliolewa harakansana baada ya ndoa ya kwanza kutetereka. Inaonekana mwanamke ni mdhaifu kupindukia
 
1. Ndiyo nilikuwa na ukaribu naye lakini wa kawaida sana.
2. Amewahi kuuza duka langu mara mbili, baada ya vipindi kabla ya saa kumi na mbili.
3. Naamini ni baada ya kupoteza uelekeo na kutokujua hasa ni kitu gani walichokuwa wanakihitaji kwa ajili ya mtoto, kwa sababu baada ya kesi kugeuzwa hakuna aliyeendelea kufuatilia tatizo la usajili na mtoto HAKUSAJILIWA moja kwa moja.
1. Kwa nini umuuzishe mwanafunzi duka? Kumbe hukuwa smart.
2. Huo ukaribu na mtoto wa kike wewe mwalimu hamjafundishwa kuwa na social distance?
 
Shida ya viongozi huwa hawatupani sababu ndio wameshikilia mpini hata kama ni majungu toka kwa mkuu wako mliyegombania demu akikusukia zengwe utoboi.
 
1. Kwa nini umuuzishe mwanafunzi duka? Kumbe hukuwa smart.
2. Huo ukaribu na mtoto wa kike wewe mwalimu hamjafundishwa kuwa na social distance?
Hapa ndio maswali huja jamii ni ngumu kukurlewa hata kama ulikuwa na nia njema
 
Mimi pia sikuridhika na jinsi walivyoendesha kesi yangu! Ilizingatia sana maelezo wa upande mmoja huku ikinitupilia mbali.
Mbona kama hukumu imefanyika mapema sana?, kesi ya kumfukuza mtumishi sio mchezo, kuna kitu hapa
 
1. Kwa nini umuuzishe mwanafunzi duka? Kumbe hukuwa smart.
2. Huo ukaribu na mtoto wa kike wewe mwalimu hamjafundishwa kuwa na social distance?
Kama kila kitu kinatakiwa kichukuliwe hivyo basi shule za kike zisingekuwa na walimu wa kiume.
Kuna umuhimu wa kwenda mazingira halisi zinakofanyikia kazi ndo uhalisia wa kila kinachoendelea kinaweza kuthibitika
 
Mkuu

Ukifanikiwa kuingia Tena Kwa system ,jitahidi kushughulika na issues za maendeleo genaral sio personal!!

Kama ishu ilikua 40000 TU ungetoa hata 20000/= ukawapa mambo yakasonga!!

Rushwa ni mfumo usioisha Bali utapungua tu!

Rushwa IPO Hadi kiroho tunaiiita sadaka Ili mambo yaende!!kajifunze kuhusu yakobo na esau!!

Hata kiongozi akiwa mkali namna gani atapunguza kiwango TU lakini itaendelea kuwepo kidogo!!

Yaani 20000/=au 15000/= ingetosha ku solve mambo yakaisha kabisa!!

Hawa wakuu was shule au maafisa elimi waache wafanye yao maana ndio wakati wait WA kula labda kama inakuathiri ndio utatumia jukwaa kama hili kutoa duku duu lako!!

Binafsi jukwaa hili naliheshimu sana limesaidia issues nilizokua napigania zikatatuliwa kabisa!!

Usipambane na mtu pambana na issues Ili upate ridhiko la nafsi na appreciation binafsi !!
 
Kama kila kitu kinatakiwa kichukuliwe hivyo basi shule za kike zisingekuwa na walimu wa kiume.
Kuna umuhimu wa kwenda mazingira halisi zinakofanyikia kazi ndo uhalisia wa kila kinachoendelea kinaweza kuthibitika
Kwa ubishi huu sasa unaona unachokutana nacho? Walimu wa kiume wapo ukaribu wako na mwanafunzi unaishia Darasani, Shuleni.
Wewe unapata wapi mamlaka ya kumfanya mwanafunzi auze duka lako? Huo ukaribu unautoa wapi? Ni mwanafunzi wa Day?
Una undugu naye?
Umemwajiri?
Ulipata kibali toka kwa wazazi wake?
Je tunajuaje hukuwa na mahusiano naye ya kimapenzi? Wewe kazi yako kufundisha masomo darasani au kufundisha wanafunzi wa kike kuuza duka?
 
Kama kila kitu kinatakiwa kichukuliwe hivyo basi shule za kike zisingekuwa na walimu wa kiume.
Kuna umuhimu wa kwenda mazingira halisi zinakofanyikia kazi ndo uhalisia wa kila kinachoendelea kinaweza kuthibitika
Kwa ubishi huu sasa unaona unachokutana nacho? Walimu wa kiume wapo ukaribu wako na mwanafunzi unaishia Darasani, Shuleni.
Wewe unapata wapi mamlaka ya kumfanya mwanafunzi auze duka lako? Huo ukaribu unautoa wapi? Ni mwanafunzi wa Day?
Una undugu naye?
Umemwajiri?
Ulipata kibali toka kwa wazazi wake? Je tunajuaje hukuwa na mahusiano naye ya kimapenzi? Wewe kazi yako kufundisha masomo darasani au kufundisha wanafunzi wa kike kuuza duka?
 
Back
Top Bottom