Mzee Kigogo
JF-Expert Member
- Jun 3, 2018
- 9,968
- 16,680
Una uhakika na Hilo?
Katibu mkuu UN aliwaambia Israel watoe ushahidi Hamas wameua raia kwenye tamasha,wakatoa macho tuu.
Hamas wenyewe ndio walirusha zile video za kuua watu kikatili huku wakimtukuza allah.