econonist
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 20,189
- 29,663
- Thread starter
- #101
Hawachelewi kusema mkuu wa kitengo Cha silaha wa hamas ni mtoto, ko Israel wameua mtoto😁😁 hayo magaidi yachakatwe mpka yakome
Ni style ya Hamas. Wakiona wamefanya uchokozi na wanapigwa hukimbilia kuhamasisha maanadamano ya kusitishwa mapigano. Sasa mwaka huu yamegonga mwamba.