Mzee Kigogo
JF-Expert Member
- Jun 3, 2018
- 9,968
- 16,680
Una uhakika na Hilo?
Katibu mkuu UN aliwaambia Israel watoe ushahidi Hamas wameua raia kwenye tamasha,wakatoa macho tuu.
Hivi unafahamu hata Hezbollah na Hamas ni nini hapo Gaza Palestine na Lebanon ?Iran, Lebanon kupitia vikundi vya kigaidi kama Islamic Jihad, Hezbollah na Hamas
unamaanisha imani kama ya kina FaizaFoxy
View attachment 2808410
the religion of peace
View attachment 2808411
The religion of piece
View attachment 2808413
Mawakala mazuzu kwenye karakana ya ibilisi
Naam, umeniita? Tatizo nini?
Wewe ni muislam ?Uisilam
Waliwachoma moto mateka wa Israeli,
Apana mi ni buddhaWewe ni muislam ?
Wote wale wale!
Ulishawahi kuona Asad anasema lolote baya juu ya utawala wa Samia?
Hiyo imani ya Uislam umeifahamu vipi kama sio muumini ?Apana mi ni buddha
Kwa hiyo unataka kusemaje, chanzo cha kuwapiga hao Hamasi nini nini?Una uhakika na Hilo?
Katibu mkuu UN aliwaambia Israel watoe ushahidi Hamas wameua raia kwenye tamasha,wakatoa macho tuu.
Ile inayosema ukiuwa utapata bikira 72 huko peponiNdio imani gani hiyo ?
Ni vikundi vya kigaidi vinavyoungwa mkono na gaidi mkuu IranHivi unafahamu hata Hezbollah na Hamas ni nini hapo Gaza Palestine na Lebanon ?
Ndio imani gani hiyo ? Haina jina ?Ile inayosema ukiuwa utapata bikira 72 huko peponi
Wewe ni tahira unajua hata maana ya ugaidi au wakisema wanaume nawe unaunga tu tela kama malaya bila kutumia kichwa chako kufikiriNi vikundi vya kigaidi vinavyoungwa mkono na gaidi mkuu Iran
Daah... Ni Kweli ayseeWote wale wale!
Ulishawahi kuona Asad anasema lolote baya juu ya utawala wa Samia?
News Sources ?Mkuu wa kitengo Cha kutengeneza Silaha, ikiwemo makombora Bwana Mahsein Abu Zina ameuawa na majeshi ya IDF mjini Gaza. Abu Zina ndiye kiongozi aliyekuwa akiaminiwa katika kutengeneza makombora na Silaha zingine.
Kwa Sasa kiongozi wa Hamas Gaza, Yahya Sinwar amezingirwa na majeshi ya IDF na hii imepelekea Hamas kuomba maridhiano na Israel ya kusitisha mapigano ili mateka watolewe.
Yaani US and Israel, kupitia NSA National Security Agency - WikipediaHivi huwa wanaingilia mawasiliano yao?
Ndio imani gani hiyo ? Haina jina ?
Mbona unajiuma uma kucha kama unatongozwa sema.
Ugaidi ni kama ule wa hamas wa oct 7.Wewe ni tahira unajua hata maana ya ugaidi au wakisema wanaume nawe unaunga tu tela kama malaya bila kutumia kichwa chako kufikiri
Ni hatari sanaYaani US and Israel, kupitia NSA National Security Agency - Wikipedia
Ni hatari sana hiyo NSA wanasikiliza mtu yeyote dunia hii na marais, au magaidi au wafalme nchi zote wananasa maongezi yao, mtu yeyote wanaye mtaka, au neno lolote wanalotaka kusemwa linaingia kwenye system, mfano sauti ya mtu huyo inakuwa kwenye system, akiongea tu sehemu yoyote duniani wanajua yuko wapi na anaongea na nani na kila kitu..