- Thread starter
- #21
Sahihi, ila kwa sasa amepewa permanent resident permitPk keshamkosakosa marambili huko huko South Africa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sahihi, ila kwa sasa amepewa permanent resident permitPk keshamkosakosa marambili huko huko South Africa.
wewe na yeye nani anajua zaidi kuhusu Rwanda na Kagame?Porojo zake tu kwa vile alishindwa kumpindua Kagame.
Ni nani huyu mkuu? Fuatilia historia yake. Si kila kisemwacho ni ukweli au uongo. Huyu bwana kumbuka alikimbia nchi. Alikuwa mwanajeshi! Automatically ni traitor. Unategemea angesema lipi jema? Sawa,huenda anayoyasema anazo taarifa za uhakika.Amekiri Rwanda inaiba madini Congo na kupeleka Rwanda kwa ajili ya kuyauza nje na anasema kila eneo wanaloshika M23 lenye madini, madini uanza kusafirishwa haraka kwenda Rwanda.
Kagame ataua wangapi, hata hapo amesema kagame hawezi kumaliza tatizo kwa kuwaua Wanyarwanda wenzako.Ajiandae kudedishwa tu maana kagame kama mosad tu wanakuchukua popote ulipo
Aliyewahi kuwa mkuu wa ujasusi Rwanda na Balozi wa Rwanda nchini India, Lt. Gen Kayumba anasema matatizo yote yanayotokea mashariki ya Congo yanasababishwa na kagame.
Anasema Congo hamna tena tatizo la Banyamulenge ,lilishakwisha zamani na wana haki sawa na wanahudumu hata sasa katika serikali ya Congo.
Anasema kagame amekuwa Congo zaidi ya miaka 30 akiwaua wahutu wa Fdrl baada ya Genocide mpaka leo, na kwamba hana kisingizio tena kuhusu Fdrl nchini Congo.
Anasema M23 wameiburiwa upya na Rwanda 2021 baada ya Tshikedi kuingia makubaliano na Burundi na Uganda, ndipo Kagame alichukia na kusema kama hajakaribishwa atajikaribisha mwenyewe.
Amekiri Rwanda inaiba madini Congo na kupeleka Rwanda kwa ajili ya kuyauza nje na anasema kila eneo wanaloshika M23 lenye madini, madini uanza kusafirishwa haraka kwenda Rwanda.
Anakiri RDF inatoa sapoti ya 100% kwa M23.
Anasema Rwanda akiikamata Kivu yote, ataivamia Burundi na huo ndio mpango.
Anakiri ndani ya Rwanda wahutu wamefungwa minyororo na kufuri hawana pakuongelea na hawana mtetezi.
Anakiri Rwanda ina wakimbizi wengi wahutu na watusi ambao hawakubalina na sera na utawala wa kagame, na kwamba kagame asipowasikiliza kuna hatarii ya kutokea Genocide nyingine Rwanda.
Kumbuka huyu Mtusi kama ilivyo kwa kagame.
Hapa chini nimeweka interview yake yote ya leo wakati akihojiwa akiwa uhamishoni nchini Afrika Kusini.
View: https://x.com/Sentletse/status/1885998079419003033?t=XrJ7G6I2xDOUSU6Sr__OXg&s=19
Yap,ingawa bado PK anamlia timing amle kichwa hapahapo south.Sahihi, ila kwa sasa amepewa permanent resident permit
Mtusi wa wapi Burundi Congo Uganda Tanzania?!Ndiyo huyo Yoda ni Mtusi.
Na imhotepNdiyo huyo Yoda ni Mtusi.
Kwamba unaijua Rwanda, Kagame na mambo yake kumzidi Lt. Gen. Nyamwasa?Porojo zake tu kwa vile alishindwa kumpindua Kagame.
Anakwambia ni porojo tu. Anayeitwa mtoa porojo ni Lt. Gen. na former CoS wa jeshi ambaye baadhi ya majukumu na mipango hiyo kafanya yeye.wewe na yeye nani anajua zaidi kuhusu Rwanda na Kagame?
Leta hoja kumpinga sio unabeza tu
Nyamwasa anatuhumiwa na Umoja wa Mataifa kuanzisha kundi la mamluki wa kijeshi linaloitwa P5 (Platform Five) nchini Congo DRC kupambama kumuondoa Kagame madarakani kijeshi.Kwamba unaijua Rwanda, Kagame na mambo yake kumzidi Lt. Gen. Nyamwasa?
Angeyasema hayo mapema, sio baada ya kukurofishana na Kagame katika kinachoonekana na mgongano wa maslahi binafsi.Anakwambia ni porojo tu. Anayeitwa mtoa porojo ni Lt. Gen. na former DG wa intel ambaye baadhi ya majukumu na mipango hiyo kafanya yeye.
Huyu mtu ni balaa .........amesha koswa koswa kuuawa kama mara 6.........huyo pia general na ni mafia pia kagame kashindwa kumtoa roho............yupo kwa uwezo na ulinzi wa munguAna ulinzi wa uhakika?
Au ndiyo baada muda tutasikia R.I.P?
Nyamwasa amekuwa na tuhuma nyingi sana mbaya dhidi yake, sio credible witness.wewe na yeye nani anajua zaidi kuhusu Rwanda na Kagame?
Leta hoja kumpinga sio unabeza tu
Ipo wazi Kagame ni mwizi wa mali asili za Congo.Angeyasema hayo mapema, sio baada ya kukurofishana na Kagame katika kinachoonekana na mgongano wa maslahi binafsi.