Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Amesema pia Rwanda inachakua madini Congo bila msaada au msukumo wa taifa lolote la nje ila watu wameipuuza hiyo kauli!Ipo wazi Kagame ni mwizi wa mali asili za Congo.
Akiwa SA atamuua tu...akini watu wamecjpka ma PK
Yap,ingawa bado PK anamlia timing amle kichwa hapahapo south.
Mnayemsema ni jasusi wa viwango vya juu, hizo hofu mnazoanza kuwa nazo baada ya kumsoma alikwishaziwazia kabla hajaapishwa kile cheo, kabla hajatoroka nchi, hajafanyiwa jaribio la kwanza na kabla hajafanya hii interview.Ajiandae kudedishwa tu maana kagame kama mosad tu wanakuchukua popote ulipo
Hata kama ingekuwa ni kweli, Je hicho ndicho chanzo cha vita Mashariki ya Congo??Ipo wazi Kagame ni mwizi wa mali asili za Congo.
Kwanini atumike kuua Africans wenzake, hapo ndipo Kagame anakua ni mshenzi na mwenye tamaa...Amesema pia Rwanda inachakua madini Congo bila msaada au msukumo wa taifa lolote la nje ila watu wameipuuza hiyo kauli!
Kama ambavyo Kagame anatuhumiwa na UN hiyohiyo.Nyamwasa anatuhumiwa na Umoja wa Mataifa kuanzisha kundi la mamluki wa kijeshi linaloitwa P5 (Platform Five) nchini Congo DRC kupambama kumuondoa Kagame madarakani kijeshi.
Anatumika na nani??Kwanini atumike kuua Africans wenzake, hapo ndipo Kagame anakua ni mshenzi na mwenye tamaa...
Kasema kuna nchi EAC ambazo zikitoka hadharani na kumwambia aache ni ataacha, ila anashangaa hata zenyewe hazisemi kitu kabisa.Duh aisee halafu PK akiambiwaga ukweli kuhusu hili anakuwa mkali kweli.... Tatizo ni nani wa kumfunga Paka kengele?
Ndiyo naye ni mtusi.Na imhotep
Mkuu ukiwa ugenini huna ulinzi huna bacl up huna inforner wako uko alone unajificha sana...kosa kujulikama unapoishi.....miaka inaenda huwajui new recruits huwa wanauawa kirahisi sana hata na wahudumu wananunuliwa.....sukia tu ukiwa uhamishonii.....lolote laweza kutokea....PK ana pesa chafu kupoteza....hata miaka 10 anakutumia watu tuu wengine wanasoma wengine biashara....wengine wanawanunua watu wako karobuuu watajua tu....traces kupewa pesa zako watajua address yako....au kwenda bank kutoa pesa kula matumiziiii......sikia tuu mkuuu....watu 10 wapewe kaxi track wewe miaka 5 mingi watajua kitu tuuuMnayemsema ni jasusi wa viwango vya juu, hizo hofu mnazoanza kuwa nazo baada ya kumsoma alikwishaziwazia kabla hajaapishwa kile cheo, kabla hajatoroka nchi, hajafanyiwa jaribio la kwanza na kabla hajafanya hii interview.
Mnahofia kitu ambacho anakijua kwa undani kuwazidi. Suala la kuuwawa hata kwa Kagame mwenyewe mbona attempt iliishafanyika na wala haitokuwa ajabu yeye kuuwawa.
Kuna levels mtu anakuwa amevuka kutishiwa kufa, sio migambo hawa.
Mkuu si umesikia huyo Lut General hapo anasema PAKA ndiye chanzo...Hata kama ingekuwa ni kweli, Je hicho ndicho chanzo cha vita Mashariki ya Congo??
Nyamwasa walikuwa pamoja na Kagame muda wote kuanzia miaka ya 1990's mpaka 2010 ilipoonekana Kagame anataka kumuondoa kabisa serikalini akakimbilia Africa Kusini ndipo akaanza kutoa hizi tuhuma zake.Kama ambavyo Kagame anatuhumiwa na UN hiyohiyo.
Kwahiyo Kagame naye hoja zake ambazo nyingi unakubali tuziite porojo?
Hamna kitu kama hicho, kasema hayo mashtaka hayana ukweli kwani hata mahakama ilifanya uchunguzi wa mashtaka na kukuta hana hatia.Nyamwasa anatuhumiwa na Umoja wa Mataifa kuanzisha kundi la mamluki wa kijeshi linaloitwa P5 (Platform Five) nchini Congo DRC kupambama kumuondoa Kagame madarakani kijeshi.
Kwani kuwa Mtusi ni dhambi??Ndiyo huyo Yoda ni Mtusi.
Siyo dhambi hata kidogo.Kwani kuwa Mtusi ni dhambi??
Mnasahau hapo aliposema Rwanda inaiba madini yenyewe bila msukumo au ushirikiano wa taifa lolote la nje!Amekiri Rwanda inaiba madini Congo na kupeleka Rwanda kwa ajili ya kuyauza nje na anasema kila eneo wanaloshika M23 lenye madini, madini uanza kusafirishwa haraka kwenda Rwanda.
Aliyewahi kuwa mkuu wa ujasusi Rwanda na Balozi wa Rwanda nchini India, Lt. Gen Kayumba anasema matatizo yote yanayotokea mashariki ya Congo yanasababishwa na kagame.
Anasema Congo hamna tena tatizo la Banyamulenge ,lilishakwisha zamani na wana haki sawa na wanahudumu hata sasa katika serikali ya Congo.
Anasema kagame amekuwa Congo zaidi ya miaka 30 akiwaua wahutu wa Fdrl baada ya Genocide mpaka leo, na kwamba hana kisingizio tena kuhusu Fdrl nchini Congo.
Anasema M23 wameiburiwa upya na Rwanda 2021 baada ya Tshikedi kuingia makubaliano na Burundi na Uganda, ndipo Kagame alichukia na kusema kama hajakaribishwa atajikaribisha mwenyewe.
Amekiri Rwanda inaiba madini Congo na kupeleka Rwanda kwa ajili ya kuyauza nje na anasema kila eneo wanaloshika M23 lenye madini, madini uanza kusafirishwa haraka kwenda Rwanda.
Anakiri RDF inatoa sapoti ya 100% kwa M23.
Anasema Rwanda akiikamata Kivu yote, ataivamia Burundi na huo ndio mpango.
Anakiri ndani ya Rwanda wahutu wamefungwa minyororo na kufuri hawana pakuongelea na hawana mtetezi.
Anakiri Rwanda ina wakimbizi wengi wahutu na watusi ambao hawakubalina na sera na utawala wa kagame, na kwamba kagame asipowasikiliza kuna hatarii ya kutokea Genocide nyingine Rwanda.
Kumbuka huyu Mtusi kama ilivyo kwa kagame.
Hapa chini nimeweka interview yake yote ya leo wakati akihojiwa akiwa uhamishoni nchini Afrika Kusini.
View: https://x.com/Sentletse/status/1885998079419003033?t=XrJ7G6I2xDOUSU6Sr__OXg&s=19
'Amedai', yatabaki kuwa madai japo inawezekana ukawa ni ukweli.Amekiri Rwanda inaiba madini Congo na kupeleka Rwanda kwa ajili ya kuyauza nje na anasema kila eneo wanaloshika M23 lenye madini, madini uanza kusafirishwa haraka kwenda Rwanda.
Mtusi huyo..mkuuKumbe we ni mtusi wa Rwanda!!..nimekufuatilia sana kwenye hili sakata,sasa nimehitimisha