Mkuu wa Ujasusi wa Rwanda, Lt. Gen Kayumba Nyanwasa, asema Kagame ni chanzo cha matatizo yote Congo na maziwa makuu

Mkuu wa Ujasusi wa Rwanda, Lt. Gen Kayumba Nyanwasa, asema Kagame ni chanzo cha matatizo yote Congo na maziwa makuu

Akiwa SA atamuua tu...akini watu wamecjpka ma PK
Yap,ingawa bado PK anamlia timing amle kichwa hapahapo south.

Ajiandae kudedishwa tu maana kagame kama mosad tu wanakuchukua popote ulipo
Mnayemsema ni jasusi wa viwango vya juu, hizo hofu mnazoanza kuwa nazo baada ya kumsoma alikwishaziwazia kabla hajaapishwa kile cheo, kabla hajatoroka nchi, hajafanyiwa jaribio la kwanza na kabla hajafanya hii interview.

Mnahofia kitu ambacho anakijua kwa undani kuwazidi. Suala la kuuwawa hata kwa Kagame mwenyewe mbona attempt iliishafanyika na wala haitokuwa ajabu yeye kuuwawa.
Kuna levels mtu anakuwa amevuka kutishiwa kufa, sio migambo hawa.
 
Mnayemsema ni jasusi wa viwango vya juu, hizo hofu mnazoanza kuwa nazo baada ya kumsoma alikwishaziwazia kabla hajaapishwa kile cheo, kabla hajatoroka nchi, hajafanyiwa jaribio la kwanza na kabla hajafanya hii interview.

Mnahofia kitu ambacho anakijua kwa undani kuwazidi. Suala la kuuwawa hata kwa Kagame mwenyewe mbona attempt iliishafanyika na wala haitokuwa ajabu yeye kuuwawa.
Kuna levels mtu anakuwa amevuka kutishiwa kufa, sio migambo hawa.
Mkuu ukiwa ugenini huna ulinzi huna bacl up huna inforner wako uko alone unajificha sana...kosa kujulikama unapoishi.....miaka inaenda huwajui new recruits huwa wanauawa kirahisi sana hata na wahudumu wananunuliwa.....sukia tu ukiwa uhamishonii.....lolote laweza kutokea....PK ana pesa chafu kupoteza....hata miaka 10 anakutumia watu tuu wengine wanasoma wengine biashara....wengine wanawanunua watu wako karobuuu watajua tu....traces kupewa pesa zako watajua address yako....au kwenda bank kutoa pesa kula matumiziiii......sikia tuu mkuuu....watu 10 wapewe kaxi track wewe miaka 5 mingi watajua kitu tuuu
 
Hata kama ingekuwa ni kweli, Je hicho ndicho chanzo cha vita Mashariki ya Congo??
Mkuu si umesikia huyo Lut General hapo anasema PAKA ndiye chanzo...
Imagine PAKA hayupo unafikiri kungetokea vita?
Huyu mzee ni mgomvi mgomvi sana na anapenda vita, ameshasikika mara kibao akiongea kauli tata za kuhatarisha amani kusini mwa bara la Africa.

Anapenda migogoro sana, kuna mambo mengine unakuta ni ya kawaida tu kutumia busara za kiuongozi na utu uzima PAKA hayupo hivyo, ni mshari sana tena sana.
 
Kama ambavyo Kagame anatuhumiwa na UN hiyohiyo.

Kwahiyo Kagame naye hoja zake ambazo nyingi unakubali tuziite porojo?
Nyamwasa walikuwa pamoja na Kagame muda wote kuanzia miaka ya 1990's mpaka 2010 ilipoonekana Kagame anataka kumuondoa kabisa serikalini akakimbilia Africa Kusini ndipo akaanza kutoa hizi tuhuma zake.
 
Nyamwasa anatuhumiwa na Umoja wa Mataifa kuanzisha kundi la mamluki wa kijeshi linaloitwa P5 (Platform Five) nchini Congo DRC kupambama kumuondoa Kagame madarakani kijeshi.
Hamna kitu kama hicho, kasema hayo mashtaka hayana ukweli kwani hata mahakama ilifanya uchunguzi wa mashtaka na kukuta hana hatia.
 
Amekiri Rwanda inaiba madini Congo na kupeleka Rwanda kwa ajili ya kuyauza nje na anasema kila eneo wanaloshika M23 lenye madini, madini uanza kusafirishwa haraka kwenda Rwanda.
Mnasahau hapo aliposema Rwanda inaiba madini yenyewe bila msukumo au ushirikiano wa taifa lolote la nje!
 
Aliyewahi kuwa mkuu wa ujasusi Rwanda na Balozi wa Rwanda nchini India, Lt. Gen Kayumba anasema matatizo yote yanayotokea mashariki ya Congo yanasababishwa na kagame.

Anasema Congo hamna tena tatizo la Banyamulenge ,lilishakwisha zamani na wana haki sawa na wanahudumu hata sasa katika serikali ya Congo.
Anasema kagame amekuwa Congo zaidi ya miaka 30 akiwaua wahutu wa Fdrl baada ya Genocide mpaka leo, na kwamba hana kisingizio tena kuhusu Fdrl nchini Congo.

Anasema M23 wameiburiwa upya na Rwanda 2021 baada ya Tshikedi kuingia makubaliano na Burundi na Uganda, ndipo Kagame alichukia na kusema kama hajakaribishwa atajikaribisha mwenyewe.

Amekiri Rwanda inaiba madini Congo na kupeleka Rwanda kwa ajili ya kuyauza nje na anasema kila eneo wanaloshika M23 lenye madini, madini uanza kusafirishwa haraka kwenda Rwanda.

Anakiri RDF inatoa sapoti ya 100% kwa M23.

Anasema Rwanda akiikamata Kivu yote, ataivamia Burundi na huo ndio mpango.

Anakiri ndani ya Rwanda wahutu wamefungwa minyororo na kufuri hawana pakuongelea na hawana mtetezi.

Anakiri Rwanda ina wakimbizi wengi wahutu na watusi ambao hawakubalina na sera na utawala wa kagame, na kwamba kagame asipowasikiliza kuna hatarii ya kutokea Genocide nyingine Rwanda.

Kumbuka huyu Mtusi kama ilivyo kwa kagame.

Hapa chini nimeweka interview yake yote ya leo wakati akihojiwa akiwa uhamishoni nchini Afrika Kusini.


View: https://x.com/Sentletse/status/1885998079419003033?t=XrJ7G6I2xDOUSU6Sr__OXg&s=19

Akubali alishindwa kuukata ule mchongoma alipojaribu kuipindua, porojo tu aenda uwanja wa vita akasaidie japo kwa kuwapa strategies wapiganaji anaowa-support. Vita si porojo.
 
Back
Top Bottom