Mkuu wa Ujasusi wa Rwanda, Lt. Gen Kayumba Nyanwasa, asema Kagame ni chanzo cha matatizo yote Congo na maziwa makuu

Amekiri Rwanda inaiba madini Congo na kupeleka Rwanda kwa ajili ya kuyauza nje na anasema kila eneo wanaloshika M23 lenye madini, madini uanza kusafirishwa haraka kwenda Rwanda.
Ni nani huyu mkuu? Fuatilia historia yake. Si kila kisemwacho ni ukweli au uongo. Huyu bwana kumbuka alikimbia nchi. Alikuwa mwanajeshi! Automatically ni traitor. Unategemea angesema lipi jema? Sawa,huenda anayoyasema anazo taarifa za uhakika.
Mtoa mada naona arekebishe heading yake
 
Duh aisee halafu PK akiambiwaga ukweli kuhusu hili anakuwa mkali kweli.... Tatizo ni nani wa kumfunga Paka kengele?
 
Kwamantiki hyo naona M23 wametumwa na PK kwa lengo la kuiba madini kama inavozoeleka... lakini pia anawafata Wahutu waliopo Congo kwenda kuwadhibiti..lakini pia anaoneka anampango wa siri wakuja kumega sehemu ya Congo..lakini pia anaonekana ni kibaraka wa wazungu..lakini pia anafanya hvo ilikuona nani anasiraha kali zaidi yake upande wa Afrika mashariki na kati..lakini pia kubwa zaidi kisasi na Wahutu bado kipo..lakini pia anaonekana anatamaa kubwa kupita kiasi...Mwisho kabisa anaonekana ni Kirusi cha Afrika mashariki na kati ambacho kinapaswa kuuliwa au kutolewa kisije kuleta machafuko makubwa ya nchi hizi...Nimemchambua nimemaliza tukiendelea kumlea tusijutie baadaye.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…