Mkuu wa Wilaya Arusha na mbwembwe za misafara

Daaah huyu sindio yule alichezeaga vitasa vya sir-buyer??
 
Sema vijana tunaoneana wivu sana pia. Kila la kheri kwake mkuu wa wilaya
 
Watu wa huko Arusha mnamatatizo makubwa, mtakuja kunyukana ninyi kwa ninyi, kisa hamtaki kuon mmoja wenu ana cheyo ama ni kiongozi nje ya Chadema,

Endelezeni huo upumbavu wenu wa kijinga na wivu wenu usio na manufaa
 
siku zake zinahesabika hapa Arusha.
Kuna wanafunzi wa jinsia flni pale Makumira university wanamlalamikia, okay , yana mwisho haya mambo.
 
siku zake zinahesabika hapa Arusha.
Kuna wanafunzi wa jinsia flni pale Makumira university wanamlalamikia, okay , yana mwisho haya mambo.
Watu wa kanda yenu mmejaa kijicho sana nyinyi, mmejaa ukabila kiasi kwamba hamtaki kiongozi yeyote nje ya mzao wa kwenu, na hata akiwa nje ya chama chenu pendwa,napo hamtaki awaongoze

Nashangaa sana, kipindi cha nyuma hamkuwa na ujinga huu ambao sasa unashika kasi, Kuchukia wasiowenyeji, hamtaki wasio wenyeji kuwa viongozi wenu, Hicho chama chenu endapo ndio kimekuwa chanzo cha siasa hizi, ni bora mkaachana nacho mkajali maendeleo ya mkoa wenu, maana bila mchanganyiko wa watu, ni wivu na kijicho,

Acheni unaa aroo!!
 
Vipi amepora mali za wafanyabiashara au kuchukua rushwa je ameingia kwenye duka lolote la kubadilishia fedha kwa mitutu na mabaunsa vipi anachukua wadada na kuwalala kilazima na mabaunsa wake wakiona?
 
Mwambie hapo soko kuu mitaro yote imeziba,kwa kujaa uchafu pia kuna baadhi ya mitaro inapitisha maji yenye kinyesi n kuleta harufu kali....jiji linachangamoto nyingi sana
 
Mbona sabaya ni WA Kaskaskizin ila alikuwa ana fanya madudu Moshi na Arusha na kuonea watu heri hata ya huyo kenani kihongosi, mtu akihatibu awajibishwe na isisingiziwe roho ya kijicho, mbona hai wamepita viongoz wengi na hawakulaumiwa, ikiwemo RC mgwira, shiida ilikuwa teuzi za magufuli kukomoa wananchi na sehemu alizokuwa anazichukia kwa kupeleka wapuuzi na waharibifu ka makonda na huyo sabaya
 
Na Viboko nayo njia Mkuu?
 
Za chinichini zilizopo, na ziwe hivyohivyo zisiwe za kweli, ni kuna Uchaga na umaasai hapo
 
Watanzania kwa majungu ndio maana kuendelea kwetu ni kama tembo kupita kwenye tundu la sindano.


Unaona anafaidi enhee?
 
Acha wivu, tafuta shughuli ufanye. kukosa kwako shughuli ndo kunakufanya uwaonee wanaume wenzio wivu na kuanza kupika majungu. Nakushauri nenda kauze hata njugu hutopata muda wa kuleta umbea humu.
 
Huyu dc wa Arusha ni wakufukuza ni Sabaya group
 
Huyu Mhe. Sijajua elimu Yake. Ila nataarifiwa hapa mkeka tayari.
 
Yani wewe nae ni laana tupu hata kwa jamii yani umeumizwa na magari kuwashwa taa tuu..? haya mfukuzeni hahahaha vijana mnachojua ni majungu tuuu
Kama ujui vile .huyu Ndio aliemwachiaga sabaya kuingia Arusha mjini kutenda madhambi .huyu ni timu moja
 
Za chinichini zilizopo, na ziwe hivyohivyo zisiwe za kweli, ni kuna Uchaga na umaasai hapo
Hamna Cha umasai hapo mbona sabaya alikuwa anafanya uhalifu Hadi Arusha kwao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…