Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Matak* yapewe jina lingine "kasesera"
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii ataunganisha kwenye mabadiliko ya jumla yanayokuja stay tunedMtihani wa Kwanza huu kwa Rais Samia.
Na wewe uyatulize mzee! Hizi stress za Magu kuondoka tutaona mengi sana. Kuna watu wamepaniki sanaHahahaaaa.. . .DC anamtaka mwananchi atulize makalio!!
Kasesela ni mzee wa Kanisa la KKKT!Hahaha vyeo vya kupewa au kuchomekwa ni shida sana haha
Ova
Hasira za kuvurugiwa kiki!Naona dibo hapo alipandwa na hasira
Hahaha ila watu wanahudhi kuna siku nyingine atarusha ngumi nao
Ova
Amemwiga Aliyemteua sio jambo la kushangaza ndio Aina ya Viongozi Miungu Mtu
Hahahaaaa.... Hiyo ruti ya bajaji ndio inaenda hadi kwenye kanisa la kaka yake mchungaji Msigwa!Hapo unawezakuta ni kijana mmoja tu wa ufipa aliamua kuchafua hali ya hewa.
Aombe radhi tu,maisha yaendeleeHapo unawezakuta ni kijana mmoja tu wa ufipa aliamua kuchafua hali ya hewa.
🤣🤣🤣🤣tuliza matako yako.....huyu jamaa kazi imeisha kwenye matako hapohapo
Msameheni tuMama Samiha Rais wetu nakuomba sana najuwa huwezi kusoma lakini kama utapitia basi tuwekee viongozi wenyewe weledi sio makada tuwekee safu mpya ya wakuu wa wilaya na Mikoa na vijana wapunguze sana weka watu wazima wastarabu vijana ni matusi na mabega yamefika juu, huwezi kuwa kiongozi ukatumia lugha chafu hata ukitukanwa na watu ndio maana wewe kiongozi yule ni mwananchi tu.
Huyu ni mchicha mwiba asamehewe tu.
Nyumbu wa CCM ndiyo zao hizo matusi mwanzo mwisho
Wapo mambwiga wenzake humusikujua kama hata Kasesera ana wapambe
Samia atadharauliwa Kama hatomtimua uyu kichaa ,kiongozi anatukana adharaniHahahaaaa.. . .DC anamtaka mwananchi atulize makalio!!
Alitaka kuchafuaje Mkuu? Wewe ungekuwa DC ungejibu hivyo? Kisa tu kijana wa Ufipa kakupanikisha?Hapo unawezakuta ni kijana mmoja tu wa ufipa aliamua kuchafua hali ya hewa.
Bwashee naona unapaka rangi lugha ya DC.Hahahaaaa.. . .DC anamtaka mwananchi atulize makalio!!