Zogwale
JF-Expert Member
- Jul 10, 2008
- 15,295
- 10,928
🤣🤣🤣🤣🤣🤣hii siyo sehemu ya Rais wetu Samia. Safisha hii taka mama.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣hii siyo sehemu ya Rais wetu Samia. Safisha hii taka mama.
Una tatizo wewe.Hakuna tusi hapo, nikiungo cha binadamu wa jinsia zote wanazo, ingelikuwa ametaja kiungo cha jinsia nyingine kwa mtu wa jinsia nyingine tungesema amemtukana.
Huyo ni kiongozi wa weupe wa CCM.sikujua kama hata Kasesera ana wapambe
ndio ndg,unadhani angesema kichwa chako/chake dereva bajaji watu wangejari?[emoji38][emoji38]
Sahvi akijiona sjui anajionajeNimecheka kama chizi daah
Huyu ndo Richard nimjuae niliesoma nae Mkwawa high school.Hata Ivo ni mtoto mjini.Namuomba apunguze kudemka atakua kiongozi mzuri siku zijazoNaona dibo hapo alipandwa na hasira
Hahaha ila watu wanahudhi kuna siku nyingine atarusha ngumi nao
Ova
Mbona kwenye kupiga hela hakuna jina la ufipa?Hapo unawezakuta ni kijana mmoja tu wa ufipa aliamua kuchafua hali ya hewa.
Leo halali, na wabongo washamvamia kwenye Twitter yake, and wanamtag Mother balaa! Mwamba kafeli sana, hata Afande Sele hawezi kufanya hivyoSahvi akijiona sjui anajionaje
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ova
Wapo mambwiga wenzake humu
Kwani hukumbuki juzi kati hapo kuliibuka na wimbi la ma DC na RC kutandika watu viboko hadharani, mwanao kafanya kosa ama hata ww unaambiwa kamata chini na mtoto mdogo ambaye n Dc ana kulima bakora zakutosha huku unarikodiwa na jioni inarushwa taarifa ya habari mpaka wajukuu zako kama unao wanashuhudia babu katandikwa
Mambo mengine sisi wazima ni aibu kuyatamka hadharani bwashee!Bwashee naona unapaka rangi lugha ya DC.
Umenikumbusha daktari Kigwangalla na ile.....mzaha au siyo mzaha?Kwani hukumbuki juzi kati hapo kuliibuka na wimbi la ma DC na RC kutandika watu viboko hadharani, mwanao kafanya kosa ama hata ww unaambiwa kamata chini na mtoto mdogo ambaye n Dc ana kulima bakora zakutosha huku unarikodiwa na jioni inarushwa taarifa ya habari mpaka wajukuu zako kama unao wanashuhudia babu katandikwa
Sie wengine hata watu wakipita nayo hatuangalii sana, hata kama ni ya tofauti sana.Mambo mengine sisi wazima ni aibu kuyatamka hadharani bwashee!
Hajasema makalio...unamlisha maneno..kasema matako
Mwendazake alimwambia mwananchi abaki na mabaki ya chakula chake nyumbani, like father like son
Uzi upi?Mods unganisheni huu utopolo na ule uzi