Mkuu wa wilaya Kigamboni asema wanajeshi wanapiga na kuua wananchi

Mkuu wa wilaya Kigamboni asema wanajeshi wanapiga na kuua wananchi

Muite

JF-Expert Member
Joined
Sep 10, 2013
Posts
2,971
Reaction score
6,607
Ameyasema hayo mbele ya Mkuu wa Mkoa Mh Chalamila alipofanya ziara wilayani hapo. Mheshimiwa Chalamila ameahidi kukutana na Mkuu wa Majeshi.

Hii imekaaje wadau maana naona kiongozi wa Serikali anaituhumu Serikali yake mbele ya wananchi . Nadhani angefanya vile Mbunge au Diwani ndio ingekuwa sahii, lakini kwa mkuu wa wilaya asingetakiwa kusubiria ziara ya mkuu wa Mkoa .

Anyway huyo Mhe ni Mtoto wa Mzee Bulembo.

Tuhuma za kuua wananchi ni kubwa sana na ni vema kama ni kweli basi hatua zichukuliwe
 
Ameyasema hayo mbele ya Mkuu wa Mkoa Mh Chalamila alipofanya ziara wilayani hapo. Mheshimiwa Chalamila ameahidi kukutana na Mkuu wa Majeshi.

Hii imekaaje wadau maana naona kiongozi wa Serikali anaituhumu Serikali yake mbele ya wananchi . Nadhani angefanya vile Mbunge au Diwani ndio ingekuwa sahii, lakini kwa mkuu wa wilaya asingetakiwa kusubiria ziara ya mkuu wa Mkoa .

Anyway huyo Mhe ni Mtoto wa Mzee Bulembo.

Tuhuma za kuua wananchi ni kubwa sana na ni vema kama ni kweli basi hatua zichukuliwe
Tatizo tuna Jeshi kubwa wakati hakuna hata dalili za vita.
 
Ameyasema hayo mbele ya Mkuu wa Mkoa Mh Chalamila alipofanya ziara wilayani hapo. Mheshimiwa Chalamila ameahidi kukutana na Mkuu wa Majeshi.

Hii imekaaje wadau maana naona kiongozi wa Serikali anaituhumu Serikali yake mbele ya wananchi . Nadhani angefanya vile Mbunge au Diwani ndio ingekuwa sahii, lakini kwa mkuu wa wilaya asingetakiwa kusubiria ziara ya mkuu wa Mkoa .

Anyway huyo Mhe ni Mtoto wa Mzee Bulembo.

Tuhuma za kuua wananchi ni kubwa sana na ni vema kama ni kweli basi hatua zichukuliwe
Ulitaka amumunyee
 
Mkuu kama n kweli hizi tuhuma zifanyiwe kazi ....m niliwahi toka beach na familia yangu sikumoja narudi hme sijui walikuwa wanamtafuta mtu kilagari ikawa inasimamishwa pemben kuna madogo wanapigishwa kichura chura hatare...ajabu kufungua mlango wakasalimia akaniuliza mbona ujafjbga mkanda pony yangu nilianza na sorry wakuu...wakaona vile vitioto vinaangalia zile adhaabu za wengine wakaniruhusu aisee sijawahi kanyaga tena yaan Beach sijui kuogele an kunduchi
 
Mkuu wa Wilaya ni Mwenyekiti wa Kamati ya Ulinzi na Usalama katika eneo lake la Utawala,hivyo majeshi yote yaliyopo ndani ya mipaka yake ya Utawala yapo chini yake.Hakupaswa kulalamika mbele ya Rc bali alitakiwa kuwachukulia hatua kama ni kweli au angepeleka taarifa hizo kwa Rc ofisini na si public.
 
Kwa kweli baadhi ya wanajeshi wana ubabe wa kishamba sana. Juzi wametaka kutuua pale mbezi beach, tangi bovu.
Lori la jeshi lilikuwa likipita service road kwa spidi kubwa sambamba na daladala niliyopanda.
Lilipofika ukingoni mwa service road dereva wa jeshi aliingiza lori wangu-wangu main road, bila kujali hata usalama wa askari jeshi aliowapakia nyuma.
Ilibidi dreva wa daladala ashike break ya nguvu sana mpaka gari likazimika, abiria wameangukiana hovyo.
Jamaa wakatuangalia kwa jicho la "mngetugusa muone" na hawakusimama wala kuonesha kujali, bila kufikiri kwamba ajali ingetokea isingebagua.
Kila abiria aliyetaka kutukana akabaki anamung'unya maneno kooni baada ya kuona jamaa wa mabakabaka ndiyo waliotaka kutusabishia ajali. Nilisikitika sana.
 
Mkuu wa Wilaya ni Mwenyekiti wa Kamati ya Ulinzi na Usalama katika eneo lake la Utawala,hivyo majeshi yote yaliyopo ndani ya mipaka yake ya Utawala yapo chini yake.Hakupaswa kulalamika mbele ya Rc bali alitakiwa kuwachukulia hatua kama ni kweli au angepeleka taarifa hizo kwa Rc ofisini na si public.
Hamtaki ukweli
 
Mzee Abdalah Majurah Bulembo ni mtu muelewa sana kisiasa na kimaadili . SIJUI NI KWANINI WATOTO WA VIONGOZI WAZURI HUWA HAWAWI WAZURI KAMA WAZEE WAO. KIDOGO RAIS WA ZANZIBAR YEYE AMEWEZA
 
By the way Halima ni mdogo sana kiumri ukilinganisha na madaraka yake ya u-DC.

Sidhani kama kafika hata 28
Nadhani tatizo linaanzia hapa. Kama kiongozi alitakiwa alifikishe swala hilo kwa mamlaka yake ya juu na siyo kutoa lawama. Hii inaonesha kuwa bado hajawa na umri wa uongozi. Nashauri atenguliwe. Over and Out!
 
Nadhani tatizo linaanzia hapa. Kama kiongozi alitakiwa alifikishe swala hilo kwa mamlaka yake ya juu na siyo kutoa lawama. Hii inaonesha kuwa bado hajawa na umri wa uongozi. Nashauri atenguliwe. Over and Out!
Kwani RC si mkubwa wake?kama jeshi linapiga watu hadharani kwanini yeye akatoe hyo taarifa SIRINI?
 
Back
Top Bottom