St. Paka Mweusi
JF-Expert Member
- Sep 3, 2010
- 7,956
- 5,149
Asa si ushachoka kufanya Siri shehe..Signature yako uliwaza nini chief 😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asa si ushachoka kufanya Siri shehe..Signature yako uliwaza nini chief 😂
Sasa mkuu wa wilaya kigamboni unamwambia nani? Kwani kabla ya ziara ya mkuu wa mkoa ulikuwa hulijui hilo? Sasa ulichukua hatua gani?Ameyasema hayo mbele ya Mkuu wa Mkoa Mh Chalamila alipofanya ziara wilayani hapo. Mheshimiwa Chalamila ameahidi kukutana na Mkuu wa Majeshi.
Hii imekaaje wadau maana naona kiongozi wa Serikali anaituhumu Serikali yake mbele ya wananchi . Nadhani angefanya vile Mbunge au Diwani ndio ingekuwa sahii, lakini kwa mkuu wa wilaya asingetakiwa kusubiria ziara ya mkuu wa Mkoa .
Anyway huyo Mhe ni Mtoto wa Mzee Bulembo.
Tuhuma za kuua wananchi ni kubwa sana na ni vema kama ni kweli basi hatua zichukuliwe
By the way Halima ni mdogo sana kiumri ukilinganisha na madaraka yake ya u-DC.
Sidhan
La Mwenyekiti wa Kamati ya Ulinzi na Usalama?! Analalamika .! Hadharani! Mhhh Utumishinwa Umma uneingiliwa!Ameyasema hayo mbele ya Mkuu wa Mkoa Mh Chalamila alipofanya ziara wilayani hapo. Mheshimiwa Chalamila ameahidi kukutana na Mkuu wa Majeshi.
Hii imekaaje wadau maana naona kiongozi wa Serikali anaituhumu Serikali yake mbele ya wananchi . Nadhani angefanya vile Mbunge au Diwani ndio ingekuwa sahii, lakini kwa mkuu wa wilaya asingetakiwa kusubiria ziara ya mkuu wa Mkoa .
Anyway huyo Mhe ni Mtoto wa Mzee Bulembo.
Tuhuma za kuua wananchi ni kubwa sana na ni vema kama ni kweli basi hatua zichukuliwe
Exactly. Mkuu wa Wilaya kulalamika kwa mambo yanayotokea ktk eneo lake la ki-utawala, inamaanisha kazi alopewa na Mh. Rais ya kumwakilisha Wilayani hapo IMEMSHINDA. i.e. Ateuliwe mwingine kwani hivyo viatu hawezi kuvivaa.Mkuu wa Wilaya ni Mwenyekiti wa Kamati ya Ulinzi na Usalama katika eneo lake la Utawala,hivyo majeshi yote yaliyopo ndani ya mipaka yake ya Utawala yapo chini yake.Hakupaswa kulalamika mbele ya Rc bali alitakiwa kuwachukulia hatua kama ni kweli au angepeleka taarifa hizo kwa Rc ofisini na si public.
Cha kushangaza huyo Mkuu naye kaagiza yeyote anayevunja nyumba kwa nia ya kuiba akikamatwa auawe. Kalitoa hilo mbele ya wananchi na kuita Afisa mmoja na kumpa amri hiyo. Sababu alizozitoa ni kuwa huyo afanyaye hivyo, anataka mambo matatu. Mosi kuiba, pili kuua mwenye nyumba na tatu kuuawa. Hivyo basi, pindi akikamatwa atimiziwe hilo la mwisho. Nimebaki kinywa wazi kwa mshangao!!!Ameyasema hayo mbele ya Mkuu wa Mkoa Mh Chalamila alipofanya ziara wilayani hapo. Mheshimiwa Chalamila ameahidi kukutana na Mkuu wa Majeshi.
Hii imekaaje wadau maana naona kiongozi wa Serikali anaituhumu Serikali yake mbele ya wananchi . Nadhani angefanya vile Mbunge au Diwani ndio ingekuwa sahii, lakini kwa mkuu wa wilaya asingetakiwa kusubiria ziara ya mkuu wa Mkoa .
Anyway huyo Mhe ni Mtoto wa Mzee Bulembo.
Tuhuma za kuua wananchi ni kubwa sana na ni vema kama ni kweli basi hatua zichukuliwe
Siiafiki kauli hii kwa sababu:-Tatizo tuna Jeshi kubwa wakati hakuna hata dalili za vita.
Dah! Ama kweli walisema kua uyaone. Hata mm nimeshangazwa mno na kauli hii kutoka kinywani mwa Aliyekabidhiwa Dhamana ya Ulinzi na Usalama katika eneo lake. Hii inji bhana ....Cha kushangaza huyo Mkuu naye kaagiza yeyote anayevunja nyumba kwa nia ya kuiba akikamatwa auawe. Kalitoa hilo mbele ya wananchi na kuita Afisa mmoja na kumpa amri hiyo. Sababu alizozitoa ni kuwa huyo afanyaye hivyo, anataka mambo matatu. Mosi kuiba, pili kuua mwenye nyumba na tatu kuuawa. Hivyo basi pindi akikamatwa basi atimiziwe hilo la mwisho. Nimebaki kinywa wazi kwa mshangao!!!

Awachukulie hatua kina nani ??!Mkuu wa Wilaya ni Mwenyekiti wa Kamati ya Ulinzi na Usalama katika eneo lake la Utawala,hivyo majeshi yote yaliyopo ndani ya mipaka yake ya Utawala yapo chini yake.Hakupaswa kulalamika mbele ya Rc bali alitakiwa kuwachukulia hatua kama ni kweli au angepeleka taarifa hizo kwa Rc ofisini na si public.
Iko vile ! 🙏Hujui ulichoandika. Hakuna kongozi yeyote wa utawala wa kiraia mwenye mamlaka ndani ya jeshi na ndio maana umeona mkuu wa mkoa amesema ataonana na mkuu wa majeshi.
DC anaweza kumchukulia hatua gani mwanjeshi? hebu tupe elimu kidogo mkuu huenda namm siku moja naikawa dcMkuu wa Wilaya ni Mwenyekiti wa Kamati ya Ulinzi na Usalama katika eneo lake la Utawala,hivyo majeshi yote yaliyopo ndani ya mipaka yake ya Utawala yapo chini yake.Hakupaswa kulalamika mbele ya Rc bali alitakiwa kuwachukulia hatua kama ni kweli au angepeleka taarifa hizo kwa Rc ofisini na si public.
Nanukuu:Mkuu wa wilaya yupo sahihi,kama amejiridhisha kwa hizo tuhuma kwanini asiseme! Juzijuzi kule Vunjo kuna raia aliuawa na askari wa Tanapa na maiti yake kukutwa huko msituni lakini kuna kiongozi mmoja alitoa taarifa kwamba marehemu alijinyonga lakini uchunguzi wa daktari ulibaini mwili ulikuwa na majeraha ya risasi.
Je mlitaka huyo DC wa Kigamboni naye aseme wananchi wamejipiga na kujiua wenyewe?
Hakuna maajabu ila iko vile !Sasa mkuu wa wilaya kigamboni unamwambia nani? Kwani kabla ya ziara ya mkuu wa mkoa ulikuwa hulijui hilo? Sasa ulichukua hatua gani?
Raia wanalalamika, tena na wewe kiongozi badala ungechukua hatua kwa nafasi yako kutatua hiyo kero na wewe tena unavizia ziara ili ulalamike....
Duuh! Mbona maajabu!!!
Kwakweli 😅😅 !DC anaweza kumchukulia hatua gani mwanjeshi? hebu tupe elimu kidogo mkuu huenda namm siku moja naikawa dc
Nakazia.Iko vile ! 🙏
Huyu nae anashangaza pia. Anataka eti amchukulie mwanajeshi hatua ilhali wanaopaswa kumchukulia hatua wapo?Kwakweli 😅😅 !
Wana mahakama zao makambini kwao !Mkuu wa Wilaya anastahili pongezi kwa kufichua huo uovu wa Wanajeshi, wakamatwe waletwe Mahakamani na wakipatikana na hatia waning'inizwe.
Wavuliwe Magwanda kibarua kioteshwe majani wasifikiri kuwa wao ni Miungu watu.Wana mahakama zao makambini kwao !
Hawawezi kuwapeleka mahakama za kiraia mpaka awe ameacha kazi. !