holoholo
JF-Expert Member
- May 10, 2023
- 1,859
- 2,986
Kama ilivyo simba sc ya daslamHata Rais nae analalamika watendaji wake hawamwelewi. Yaani ni awamu ya malalmiko
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama ilivyo simba sc ya daslamHata Rais nae analalamika watendaji wake hawamwelewi. Yaani ni awamu ya malalmiko
Khe! Kwani ilikuwa ni siri?Mkuu wa Wilaya anastahili pongezi kwa kufichua huo uovu wa Wanajeshi, wakamatwe waletwe Mahakamani na wakipatikana na hatia waning'inizwe.
Ameyasema hayo mbele ya Mkuu wa Mkoa Mh Chalamila alipofanya ziara wilayani hapo. Mheshimiwa Chalamila ameahidi kukutana na Mkuu wa Majeshi.
Hii imekaaje wadau maana naona kiongozi wa Serikali anaituhumu Serikali yake mbele ya wananchi . Nadhani angefanya vile Mbunge au Diwani ndio ingekuwa sahii, lakini kwa mkuu wa wilaya asingetakiwa kusubiria ziara ya mkuu wa Mkoa .
Anyway huyo Mhe ni Mtoto wa Mzee Bulembo.
Tuhuma za kuua wananchi ni kubwa sana na ni vema kama ni kweli basi hatua zichukul
Mkuu; Hawavuliwi magwanda kihovyo-hovyo au kirahisi-rahisi kama unavyodhani. Tena kibarua kuotesha majani kibarua chao napo ni kazi pia.Wavuliwe Magwanda kibarua kioteshwe majani wasifikiri kuwa wao ni Miungu watu.
Kiongozi kuwa Whistle-blower ndio inatakiwa kwenye hizi Chaotic African Governments.ameiumbua Serikali iliyomweka hapo Ofisini
Asa inakuaje mkuu wa ulinzi na usalama wa wilaya nzima anashindwa kutatua jambo kama hilo!?Kama ilivyo simba sc ya daslam
Achukue hatua kama zipi?Mkuu wa Wilaya ni Mwenyekiti wa Kamati ya Ulinzi na Usalama katika eneo lake la Utawala,hivyo majeshi yote yaliyopo ndani ya mipaka yake ya Utawala yapo chini yake.Hakupaswa kulalamika mbele ya Rc bali alitakiwa kuwachukulia hatua kama ni kweli au angepeleka taarifa hizo kwa Rc ofisini na si public.
Kwa umri wangu huu nimeona wengi wakitimuliwa na kufukuzwa kazi kwa makosa mbali mbali yakiwemo ya utovu wa nidhamu.Mkuu; Hawavuliwi magwanda kihovyo-hovyo au kirahisi-rahisi kama unavyodhani. Tena kibarua kuotesha majani kibarua chao napo ni kazi pia.
Dah! Hiyo ndo kazi ilinishindaga.Kiongozi kuwa Whistle-blower ndio inatakiwa kwenye hizi Chaotic African Governments.
Mkuu; Ukisikia "Utovu wa nidhamu" Jeshini unaficha mengi sana. Usidhani ni neno jepesi kivile kauli hiyo. Unaweza kukumbuka ni wanajeshi wangapi wamelambana shaba na ni kwa nini? Unajua ni kwa nini mwanajeshi anatambulika kwa namba na sio jina tu?Kwa umri wangu huu nimeona wengi wakitimuliwa na kufukuzwa kazi kwa makosa mbali mbali yakiwemo ya utovu wa nidhamu.
Wewe raia unapata wapi jeuri ya kutuita sisi makamanda ni washamba?Nchi tumeiepusha kwenye kuvamiwa na maadui wewe unatuita washamba?hebu fafanua maana ya ushambaJeshi la tanzania ndo jeshi linaloongoza kwa ushamba kuliko majeshi yote duniani.
Wanazo mahakama zao !Wavuliwe Magwanda kibarua kioteshwe majani wasifikiri kuwa wao ni Miungu watu.
Watoto wenye baba dizaini yako, hao watoto ni yatimaMkuu kama n kweli hizi tuhuma zifanyiwe kazi ....m niliwahi toka beach na familia yangu sikumoja narudi hme sijui walikuwa wanamtafuta mtu kilagari ikawa inasimamishwa pemben kuna madogo wanapigishwa kichura chura hatare...ajabu kufungua mlango wakasalimia akaniuliza mbona ujafjbga mkanda pony yangu nilianza na sorry wakuu...wakaona vile vitioto vinaangalia zile adhaabu za wengine wakaniruhusu aisee sijawahi kanyaga tena yaan Beach sijui kuogele an kunduchi
Hapo sasa !! 😳🙏Wewe raia unapata wapi jeuri ya kutuita sisi makamanda ni washamba?Nchi tumeiepusha kwenye kuvamiwa na maadui wewe unatuita washamba?hebu fafanua maana ya ushamba
Jibu sahihi...Mkuu wa Wilaya ni Mwenyekiti wa Kamati ya Ulinzi na Usalama katika eneo lake la Utawala,hivyo majeshi yote yaliyopo ndani ya mipaka yake ya Utawala yapo chini yake.Hakupaswa kulalamika mbele ya Rc bali alitakiwa kuwachukulia hatua kama ni kweli au angepeleka taarifa hizo kwa Rc ofisini na si public.
Jamaa baadhi hawana akili na hawajitambui kabisa, hawana upendo kwa watu wengineKwa kweli baadhi ya wanajeshi wana ubabe wa kishamba sana. Juzi wametaka kutuua pale mbezi beach, tangi bovu.
Lori la jeshi lilikuwa likipita service road kwa spidi kubwa sambamba na daladala niliyopanda.
Lilipofika ukingoni mwa service road dereva wa jeshi aliingiza lori wangu-wangu main road, bila kujali hata usalama wa askari jeshi aliowapakia nyuma.
Ilibidi dreva wa daladala ashike break ya nguvu sana mpaka gari likazimika, abiria wameangukiana hovyo.
Jamaa wakatuangalia kwa jicho la "mngetugusa muone" na hawakusimama wala kuonesha kujali, bila kufikiri kwamba ajali ingetokea isingebagua.
Kila abiria aliyetaka kutukana akabaki anamung'unya maneno kooni baada ya kuona jamaa wa mabakabaka ndiyo waliotaka kutusabishia ajali. Nilisikitika sana.
Kama ni wao kwa wao lakini kwenye hili la Murder dhidi ya Civilians waletwe huku wakanyongwe huko Uyui.Wanazo mahakama zao !
PointKwani RC si mkubwa wake?kama jeshi linapiga watu hadharani kwanini yeye akatoe hyo taarifa SIRINI?
Labda wanamdharau pia inawezekana kashindwa kutimiza jukumu lake km mwenyeki wa ulinzi wa wilayaya husikaAmeyasema hayo mbele ya Mkuu wa Mkoa Mh Chalamila alipofanya ziara wilayani hapo. Mheshimiwa Chalamila ameahidi kukutana na Mkuu wa Majeshi.
Hii imekaaje wadau maana naona kiongozi wa Serikali anaituhumu Serikali yake mbele ya wananchi . Nadhani angefanya vile Mbunge au Diwani ndio ingekuwa sahii, lakini kwa mkuu wa wilaya asingetakiwa kusubiria ziara ya mkuu wa Mkoa .
Anyway huyo Mhe ni Mtoto wa Mzee Bulembo.
Tuhuma za kuua wananchi ni kubwa sana na ni vema kama ni kweli basi hatua zichukuliwe