Tatizo tuna Jeshi kubwa wakati hakuna hata dalili za vita.Ameyasema hayo mbele ya Mkuu wa Mkoa Mh Chalamila alipofanya ziara wilayani hapo. Mheshimiwa Chalamila ameahidi kukutana na Mkuu wa Majeshi.
Hii imekaaje wadau maana naona kiongozi wa Serikali anaituhumu Serikali yake mbele ya wananchi . Nadhani angefanya vile Mbunge au Diwani ndio ingekuwa sahii, lakini kwa mkuu wa wilaya asingetakiwa kusubiria ziara ya mkuu wa Mkoa .
Anyway huyo Mhe ni Mtoto wa Mzee Bulembo.
Tuhuma za kuua wananchi ni kubwa sana na ni vema kama ni kweli basi hatua zichukuliwe
Halafu kwa nni hao washikaji wanajiona ndio wanahaki sana kuliko wanainchi yaaan ni mafara sanaHuenda na yeye wamempiga mkwala so kaona atangaze public.
Baadhi ya hao jamaa ni washamba sana
Ulitaka amumunyeeAmeyasema hayo mbele ya Mkuu wa Mkoa Mh Chalamila alipofanya ziara wilayani hapo. Mheshimiwa Chalamila ameahidi kukutana na Mkuu wa Majeshi.
Hii imekaaje wadau maana naona kiongozi wa Serikali anaituhumu Serikali yake mbele ya wananchi . Nadhani angefanya vile Mbunge au Diwani ndio ingekuwa sahii, lakini kwa mkuu wa wilaya asingetakiwa kusubiria ziara ya mkuu wa Mkoa .
Anyway huyo Mhe ni Mtoto wa Mzee Bulembo.
Tuhuma za kuua wananchi ni kubwa sana na ni vema kama ni kweli basi hatua zichukuliwe
Umesoma hadi mwisho? Au umecomment kwanza?UJASEMA CHALAMILA AMEJIBUJE
...TUTYAFANYIA KAZI...AMA
UchawiBy the way Halima ni mdogo sana kiumri ukilinganisha na madaraka yake ya u-DC.
Sidhani kama kafika hata 28
CrapBy the way Halima ni mdogo sana kiumri ukilinganisha na madaraka yake ya u-DC.
Sidhani kama kafika hata 28
Hamtaki ukweliMkuu wa Wilaya ni Mwenyekiti wa Kamati ya Ulinzi na Usalama katika eneo lake la Utawala,hivyo majeshi yote yaliyopo ndani ya mipaka yake ya Utawala yapo chini yake.Hakupaswa kulalamika mbele ya Rc bali alitakiwa kuwachukulia hatua kama ni kweli au angepeleka taarifa hizo kwa Rc ofisini na si public.
Nadhani tatizo linaanzia hapa. Kama kiongozi alitakiwa alifikishe swala hilo kwa mamlaka yake ya juu na siyo kutoa lawama. Hii inaonesha kuwa bado hajawa na umri wa uongozi. Nashauri atenguliwe. Over and Out!By the way Halima ni mdogo sana kiumri ukilinganisha na madaraka yake ya u-DC.
Sidhani kama kafika hata 28
Kwani RC si mkubwa wake?kama jeshi linapiga watu hadharani kwanini yeye akatoe hyo taarifa SIRINI?Nadhani tatizo linaanzia hapa. Kama kiongozi alitakiwa alifikishe swala hilo kwa mamlaka yake ya juu na siyo kutoa lawama. Hii inaonesha kuwa bado hajawa na umri wa uongozi. Nashauri atenguliwe. Over and Out!